Alivyopiga hesabu akaniambia tofauti 1100 tu mzigo Tayari unaisha!,nikasema maisha si ndio hayo najenga chap chap!nilichokutana nacho hizo tofali 1000 zimeisha tu kwenye msingi
Mkuu nipatie ramani ta hii nyumba , idadi ya tofari pamoja na mabatiInategemea alimaanisha tofali za ukubwa gani na ww umetumia za ukubwa gani[emoji28]
Ukute alikuambia tofali za blocks ww ukatumia za kuchoma ( bricks) hapo lazima mgombane tu![emoji28]
Karibu nikusaidie kuifanyia makadirio upya kama hutojali
Tatizo linaanzia hapoMkuu sijawahi kujenga hata kibanda cha kuku ndio maana niliingizwa mkenge kirahisi na mtaalamu fake
We ulidanganywa, mimi jamaa kanichorea ramani na kanipa BOQ ya kila kitu kaniambia tofali 940 za msingi na kila kitu. Fundi kaja kasema tofali 1200 na mimi nikanunua. Mwishi wa siku kaishia kutumia tofali 918 nyingne zote zimebaki. Nikaamini aliyechora ramani na kuandaa BOQ anajua.Kuna class mate wangu baada ya kumaliza secondary aliamua kwenye kusomea mambo ya kuchora ramani na ujenzi kwa ujumla,basi baada ya miaka kadhaa kupita nikamtumia picha ya nyumba na ukubwa ninaotaka nyumba za vyumba viwili tu sema vile vyumba vya kujinafasi mita 5 kwa 5,baada ya kuichora akanitumia picha na pia nikamwambia anipigie makadirio itachukua matofali mangapi na bati ngapi!
Alivyopiga hesabu akaniambia tofauti 1100 tu mzigo Tayari unaisha!,nikasema maisha si ndio hayo najenga chap chap!nilichokutana nacho hizo tofali 1000 zimeisha tu kwenye msingi halafu kiwanja ni tambarare!
Hadi nivyoandika hapa nimekimbia msingi na aliyechora ramani tumegombana hadi urafiki umeisha
[emoji1787][emoji1787]nina mshakaji wangu mbishi sana alikua na picha na clip ya nyumba fulan kali sana toka 2017 akisema atajenga nyumba kama hii akikaa vizur.
Akamuliza fundi makadirio ya tofali,cement kila kitu ili boma likamilike,, nyumba ya vyumba vi 3 vya kulala, chumba kimoja master, choo public, jiko, sehem ya kulia chakula na sehem ya kupumzika.
Jamaa akafanya kimya kimya et akitaka aje anioneshe boma likikamilika..sasa makadrio ya yule fundi yalikua ni uongo jamaa akaona mbona hela inatosha tu hii baada ya kupiga hesabu kutokana na makadirio ya fundi akakurupuka kuanza ujenzi.
Kaishia kwenye msingi na hela imekata anamtukana kila siku yule fundi..kumbe nilivokua nambishia hiyo hela halitosis yeye akaona mimi namshauri vibaya akamsikiliza fundi alafu mimi akanificha kwanza
Sasa ukikuta Huyo Civil/Archtecture Eng., wakiwa wanabishana na Tajiri na fundi mzoefu ambaye hajasoma mambo ya ujenzi, utacheka.
Fundi: Tajiri unajua mimi ndiye nafanya kazi hapa, wewe si unaona hao ni wasoma ramani tu, hata mwiko hawajui kushika.
Nimetumia tofali za blocks mkuu sio za kuchoma [emoji28]jamaa ameniponza sana mahesabu yangu ilikuwa milioni 3 tu ngoma ishapendeza matokeo yake hata kifusi cha msingi sijamwaga
Kuna class mate wangu baada ya kumaliza secondary aliamua kwenye kusomea mambo ya kuchora ramani na ujenzi kwa ujumla,basi baada ya miaka kadhaa kupita nikamtumia picha ya nyumba na ukubwa ninaotaka nyumba za vyumba viwili tu sema vile vyumba vya kujinafasi mita 5 kwa 5,baada ya kuichora akanitumia picha na pia nikamwambia anipigie makadirio itachukua matofali mangapi na bati ngapi!
Alivyopiga hesabu akaniambia tofauti 1100 tu mzigo Tayari unaisha!,nikasema maisha si ndio hayo najenga chap chap!nilichokutana nacho hizo tofali 1000 zimeisha tu kwenye msingi halafu kiwanja ni tambarare!
Hadi nivyoandika hapa nimekimbia msingi na aliyechora ramani tumegombana hadi urafiki umeisha
Hit DM kwa muongozoMkuu nipatie ramani ta hii nyumba , idadi ya tofari pamoja na mabatiView attachment 2560953
Kwani ukiambiwa mchoraji lazima awe mkadiriaji?Kuna class mate wangu baada ya kumaliza secondary aliamua kwenye kusomea mambo ya kuchora ramani na ujenzi kwa ujumla,basi baada ya miaka kadhaa kupita nikamtumia picha ya nyumba na ukubwa ninaotaka nyumba za vyumba viwili tu sema vile vyumba vya kujinafasi mita 5 kwa 5,baada ya kuichora akanitumia picha na pia nikamwambia anipigie makadirio itachukua matofali mangapi na bati ngapi!
Alivyopiga hesabu akaniambia tofauti 1100 tu mzigo Tayari unaisha!,nikasema maisha si ndio hayo najenga chap chap!nilichokutana nacho hizo tofali 1000 zimeisha tu kwenye msingi halafu kiwanja ni tambarare!
Hadi nivyoandika hapa nimekimbia msingi na aliyechora ramani tumegombana hadi urafiki umeisha
Ongea hapa hapa mkuu ili nawengine wapate faida yakhe!!Hit DM kwa muongozo