Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,207
- 2,981
Sio rahisi mkuu, sasa nitafanya makadiro bure!? Ama bila makubaliano yoyote?? Aidha kama unanipa kazi labda au kama unanilipa boss sababu ni kipengele mkuuOngea hapa hapa mkuu ili nawengine wapate faida yakhe!!
Ramani ya hiyo nyumba utanicharge bei ganiSio rahisi mkuu, sasa nitafanya makadiro bure!? Ama bila makubaliano yoyote?? Aidha kama unanipa kazi labda au kama unanilipa boss sababu ni kipengele mkuu
Inategemea unahitaji vitu gani, aidha kama ni floor plan tu ama utataka na sections na kila kitu complete, so ni ww..... na ni vizuri pia kuzingumza haya DM boss wanguRamani ya hiyo nyumba utanicharge bei gani
Sikia mkuu, Graduate architect mwenye bachelor degree anasoma miaka mitano. Graduate quantity surveyor mwenye bachelor degree, anasomea miaka minne. Hakuna graduate qs au graduate architect anaeweza kukupa estmate ya tofali 1100 kwa nyumba ya standard ya vyumba vitatu, let alone vyumba vitano!Kama vile ulikuwepo [emoji28]nilikuwa nabishana na mafundi kuwa msingi ni tofali 300 pekee matokeo yake zinaenda 1000 nashuhudia kwa macho yangu ,nilikuwa bega kwa bega hata kula siendi
Tofali 1100 ni kijumba police post tena cha slope.Nimetumia tofali za blocks mkuu sio za kuchoma [emoji28]jamaa ameniponza sana mahesabu yangu ilikuwa milioni 3 tu ngoma ishapendeza matokeo yake hata kifusi cha msingi sijamwaga
Mkuu sijawahi kujenga hata kibanda cha kuku ndio maana niliingizwa mkenge kirahisi na mtaalamu fake
weka ramani Floor plan/layout tukupe mimahesabu ya tofaliNimetumia tofali za blocks mkuu sio za kuchoma [emoji28]jamaa ameniponza sana mahesabu yangu ilikuwa milioni 3 tu ngoma ishapendeza matokeo yake hata kifusi cha msingi sijamwaga
Jamaa kapatikana hahahhSi ulikua unatusisitiza tusijenge nyumba kubwa ,imekuaje sasa hayo mavyumba ya mita 5 kwa 5 ,enewei ukiwa unajenga tegemea kupata stress kibao[emoji119][emoji56]
Si ulikua unatusisitiza tusijenge nyumba kubwa ,imekuaje sasa hayo mavyumba ya mita 5 kwa 5 ,enewei ukiwa unajenga tegemea kupata stress kibao[emoji119][emoji56]
Sikia mkuu, Graduate architect mwenye bachelor degree anasoma miaka mitano. Graduate quantity surveyor mwenye bachelor degree, anasomea miaka minne. Hakuna graduate qs au graduate architect anaeweza kukupa estmate ya tofali 1100 kwa nyumba ya standard ya vyumba vitatu, let alone vyumba vitano!
Kwahiyo kabla hatujaanza kutupa lawama kwa wataalam, hebu kwanza tupe uhakika wa taaluma ya huyo jamaa aliekupa hizo estimates za tofali 1100 kwa nyumba ya vyumba vitano!
Umesema alimaliza sekondari akaenda kusomea "mambo ya kuchora ramani"? Ok sawa!
Cheti chake cha ERB(Engineering Registration Board)ulikiona ama cha Architecture ,si umeweka undugu Mbele ukampa dalali kazi SASA UNALIA NINI!??Kuna class mate wangu baada ya kumaliza secondary aliamua kwenye kusomea mambo ya kuchora ramani na ujenzi kwa ujumla, basi baada ya miaka kadhaa kupita nikamtumia picha ya nyumba na ukubwa ninaotaka nyumba za vyumba viwili tu sema vile vyumba vya kujinafasi mita 5 kwa 5, baada ya kuichora akanitumia picha na pia nikamwambia anipigie makadirio itachukua matofali mangapi na bati ngapi!
Alivyopiga hesabu akaniambia tofauti 1100 tu mzigo Tayari unaisha! Nikasema maisha si ndio hayo najenga chap chap! Nilichokutana nacho hizo tofali 1000 zimeisha tu kwenye msingi halafu kiwanja ni tambarare!
Hadi nilivyoandika hapa nimekimbia msingi na aliyechora ramani tumegombana hadi urafiki umeisha
Inategemea na kiwanja mkuu,,,Nikipewa ramani yenye vipimo wala sihitaji mchora ramani wala fundi aniambie nyumba itahitaji tofali ngapi ni vitu viko wazi sana
Hii thread haijashiba na uache kuchafua taaluma za watu.Kuna class mate wangu baada ya kumaliza secondary aliamua kwenye kusomea mambo ya kuchora ramani na ujenzi kwa ujumla, basi baada ya miaka kadhaa kupita nikamtumia picha ya nyumba na ukubwa ninaotaka nyumba za vyumba viwili tu sema vile vyumba vya kujinafasi mita 5 kwa 5, baada ya kuichora akanitumia picha na pia nikamwambia anipigie makadirio itachukua matofali mangapi na bati ngapi!
Alivyopiga hesabu akaniambia tofauti 1100 tu mzigo Tayari unaisha! Nikasema maisha si ndio hayo najenga chap chap! Nilichokutana nacho hizo tofali 1000 zimeisha tu kwenye msingi halafu kiwanja ni tambarare!
Hadi nilivyoandika hapa nimekimbia msingi na aliyechora ramani tumegombana hadi urafiki umeisha
milioni 3 labda kibanda cha kuku lakini sio nyumbaNimetumia tofali za blocks mkuu sio za kuchoma [emoji28]jamaa ameniponza sana mahesabu yangu ilikuwa milioni 3 tu ngoma ishapendeza matokeo yake hata kifusi cha msingi sijamwaga
NI kweli lakini bado utakuwa haupo mbali na makadirio.Inategemea na kiwanja mkuu,,,