Nyie wachora ramani waongo sana

Nyie wachora ramani waongo sana

Ramani ya hiyo nyumba utanicharge bei gani
Inategemea unahitaji vitu gani, aidha kama ni floor plan tu ama utataka na sections na kila kitu complete, so ni ww..... na ni vizuri pia kuzingumza haya DM boss wangu
 
Kama vile ulikuwepo [emoji28]nilikuwa nabishana na mafundi kuwa msingi ni tofali 300 pekee matokeo yake zinaenda 1000 nashuhudia kwa macho yangu ,nilikuwa bega kwa bega hata kula siendi
Sikia mkuu, Graduate architect mwenye bachelor degree anasoma miaka mitano. Graduate quantity surveyor mwenye bachelor degree, anasomea miaka minne. Hakuna graduate qs au graduate architect anaeweza kukupa estmate ya tofali 1100 kwa nyumba ya standard ya vyumba vitatu, let alone vyumba vitano!

Kwahiyo kabla hatujaanza kutupa lawama kwa wataalam, hebu kwanza tupe uhakika wa taaluma ya huyo jamaa aliekupa hizo estimates za tofali 1100 kwa nyumba ya vyumba vitano!

Umesema alimaliza sekondari akaenda kusomea "mambo ya kuchora ramani"? Ok sawa!
 
Nimetumia tofali za blocks mkuu sio za kuchoma [emoji28]jamaa ameniponza sana mahesabu yangu ilikuwa milioni 3 tu ngoma ishapendeza matokeo yake hata kifusi cha msingi sijamwaga
Tofali 1100 ni kijumba police post tena cha slope.
 
Si ulikua unatusisitiza tusijenge nyumba kubwa ,imekuaje sasa hayo mavyumba ya mita 5 kwa 5 ,enewei ukiwa unajenga tegemea kupata stress kibao[emoji119][emoji56]

Niliongeza ukubwa kwa sababu ya mtaalamu fake kunishauri kuwa kujenga ni rahisi kama kushuka mlima kitonga kumbe balaa buluu
 
Sikia mkuu, Graduate architect mwenye bachelor degree anasoma miaka mitano. Graduate quantity surveyor mwenye bachelor degree, anasomea miaka minne. Hakuna graduate qs au graduate architect anaeweza kukupa estmate ya tofali 1100 kwa nyumba ya standard ya vyumba vitatu, let alone vyumba vitano!

Kwahiyo kabla hatujaanza kutupa lawama kwa wataalam, hebu kwanza tupe uhakika wa taaluma ya huyo jamaa aliekupa hizo estimates za tofali 1100 kwa nyumba ya vyumba vitano!

Umesema alimaliza sekondari akaenda kusomea "mambo ya kuchora ramani"? Ok sawa!

Vyumba vitano vimekujaje tena hapa ama unatumia pombe kali [emoji276]
 
Kuna class mate wangu baada ya kumaliza secondary aliamua kwenye kusomea mambo ya kuchora ramani na ujenzi kwa ujumla, basi baada ya miaka kadhaa kupita nikamtumia picha ya nyumba na ukubwa ninaotaka nyumba za vyumba viwili tu sema vile vyumba vya kujinafasi mita 5 kwa 5, baada ya kuichora akanitumia picha na pia nikamwambia anipigie makadirio itachukua matofali mangapi na bati ngapi!

Alivyopiga hesabu akaniambia tofauti 1100 tu mzigo Tayari unaisha! Nikasema maisha si ndio hayo najenga chap chap! Nilichokutana nacho hizo tofali 1000 zimeisha tu kwenye msingi halafu kiwanja ni tambarare!

Hadi nilivyoandika hapa nimekimbia msingi na aliyechora ramani tumegombana hadi urafiki umeisha
Cheti chake cha ERB(Engineering Registration Board)ulikiona ama cha Architecture ,si umeweka undugu Mbele ukampa dalali kazi SASA UNALIA NINI!??
 
Kwa mfumo wa rasmi wa elimu ya mambo ya Ujenzi nchini...
Mchora ramani ni elimu ya VETA - CIVIL DRAUGHTSMAN.

Hapa ulipaswa kusema kasomea fani gani haswa,kwa maana kuna wachora ramani za Mipango miji.

Ni ngumu sana mtu Aliyesomea Usanifu Majengo au Uhandisi wa Ujenzi Majengo, kushindwa kukupa hiyo Hesabu simple, hata awe kilaza kiasi gani.

Lakini pia, je, nawe inawezekana ulitaka huduma kwa bei mteremko, so akaamua kukukomoa...
 
Kuna class mate wangu baada ya kumaliza secondary aliamua kwenye kusomea mambo ya kuchora ramani na ujenzi kwa ujumla, basi baada ya miaka kadhaa kupita nikamtumia picha ya nyumba na ukubwa ninaotaka nyumba za vyumba viwili tu sema vile vyumba vya kujinafasi mita 5 kwa 5, baada ya kuichora akanitumia picha na pia nikamwambia anipigie makadirio itachukua matofali mangapi na bati ngapi!

Alivyopiga hesabu akaniambia tofauti 1100 tu mzigo Tayari unaisha! Nikasema maisha si ndio hayo najenga chap chap! Nilichokutana nacho hizo tofali 1000 zimeisha tu kwenye msingi halafu kiwanja ni tambarare!

Hadi nilivyoandika hapa nimekimbia msingi na aliyechora ramani tumegombana hadi urafiki umeisha
Hii thread haijashiba na uache kuchafua taaluma za watu.
Ukubwa wa kiwanja hauainisha hapa,na pia eneo lilipo kiwanja haujaweka hapa.
 
Nimetumia tofali za blocks mkuu sio za kuchoma [emoji28]jamaa ameniponza sana mahesabu yangu ilikuwa milioni 3 tu ngoma ishapendeza matokeo yake hata kifusi cha msingi sijamwaga
milioni 3 labda kibanda cha kuku lakini sio nyumba
 
Back
Top Bottom