InshaallahShukran mkuu. Nitakuja. Umuhimu direction tu
Inaonekana iko hivyo mkuu, maana jamaa kauliza kwa passion kweliInaonekana unapenda sana kusimamiwa nyuma na wanaume sio?
kwani we uwajue si niwale wa darWanaume wenye chembe za udada ndo wapoje
Nahisi nitamchukua yule aliye karibu yangu,kimakazi...Hapana, wewe upo convinced sana na mwanamume wa dar au mkoani?
Mfano wakaja wanaume wawili bora kabisa na wanaoendana na vigezo unavyotaka mumeo awe navyo,, mmoja ni wa mkoani na mwingine ni wa dar, utachukua yupi?
Wale wenye tabia za wanawake.Wanaume wenye chembe za udada ndo wapoje
Uyo jamaa ni jauInaonekana iko hivyo mkuu, maana jamaa kauliza kwa passion kweli
[emoji12][emoji12]Ambae ni mimi[emoji122] [emoji122] hongera kwa uchaguzi sahihi
Thibitisha kwa mifanokwani we uwajue si niwale wa dar
Kimakazi kwa wakati huo?Nahisi nitamchukua yule aliye karibu yangu,kimakazi...
Exactly..Kimakazi kwa wakati huo?
Km wote wanaishi nyumba hiyo hiyo unayoishi?Exactly..
Viwili vyachagulika babu weeee...[emoji14]Km wote wanaishi nyumba hiyo hiyo unayoishi?
we uwajui wapaka poda kama kina Ben kinyaiya ,wanajichubua kama yule mwigizaj anayedai anatumia maji na wengi wametoga sikio we unadhani hizo tabia ni za kina nani? Wanaogopa mpaka mendeThibitisha kwa mifano
kama wale wa mkoa wa dareda ktk nchi ya kusadikikaWale wenye tabia za wanawake.
Naomba nafasi kwako mkuu.Duuh! Mie naona mwanaume akishakuwa anajitambua na kuutendea haki uanaume wake basi huyo ndiye mwanaume bora na anayefaa.
Haijalishi ni wa Dsm au Mkoani.
Hahaaaaa. Lolkama wale wa mkoa wa dareda ktk nchi ya kusadikika
Duuh! Umechelewa Mkuu.Naomba nafasi kwako mkuu.
Duuh! Mie naona mwanaume akishakuwa anajitambua na kuutendea haki uanaume wake basi huyo ndiye mwanaume bora na anayefaa.
Haijalishi ni wa Dsm au Mkoani.