Nyie wakuitwa manabii na mitume kwa nini wote mnakimbilia Dar? Kwani huku wilayani hakuna asiyehitaji upako wenu?

Nyie wakuitwa manabii na mitume kwa nini wote mnakimbilia Dar? Kwani huku wilayani hakuna asiyehitaji upako wenu?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Kila mtoa huduma ambae ana sadikika ana nguvu kubwa ya uponyaji anaweka makazi na huduma yake katika majiji makubwa, why?

Ina maana Hakuna mtumishi mwenye karama kubwa alie inuliwa tandahimba, tarime, bunda, bariadi, etc.

Uhalisia ni upi wa kiroho hawa watu wote kuwepo Dar tu. Ina maana Dar ni chafu kiroho sana kupelekea wote kuwako huko.

Kwa uhalisia wa kibinadamu hawa watu wanaenda Dar for commercial purposes maana Dar inamzunguko mkubwa wa watu kupelekea sadaka kuwa nyingi.

ANYWAY, JIFUNZE KUJISIMAMIA KIMAOMBI, TOFAUTI NA HAPO UTASHINDIA KWENYE MAJUMBA YA MAOMBI YAO KUWAABUDU NA KUWAFAIDISHA HAO JAMAA.
 
Ni vile umeamua kuangalia ila hata hapo ulipo wapo watumishi wa Mungu wakitoa huduma hizi hizi zinazotolewa na hao manabii na mitume tofauti ni kwamba Hawa wa mjini huwa na wafuasi wengi sana sababu mjini watu ni wengi na wale wa vijijini na miji midogo huwa na wafuasi wachache
 
Ni vile umeamua kuangalia ila hata hapo ulipo wapo watumishi wa Mungu wakitoa huduma hizi hizi zinazotolewa na hao manabii na mitume tofauti ni kwamba Hawa wa mjini huwa na wafuasi wengi sana sababu mjini watu ni wengi na wale wa vijijini na miji midogo huwa na wafuasi wachache
Fikiria zaidi mkuu,
 
Kila mtoa huduma ambae ana sadikika ana nguvu kubwa ya uponyaji anaweka makazi na huduma yake katika majiji makubwa, why?

Ina maana Hakuna mtumishi mwenye karama kubwa alie inuliwa tandahimba, tarime, bunda, bariadi, etc.

Uhalisia ni upi wa kiroho hawa watu wote kuwepo Dar tu. Ina maana Dar ni chafu kiroho sana kupelekea wote kuwako huko.

Kwa uhalisia wa kibinadamu hawa watu wanaenda Dar for commercial purposes maana Dar inamzunguko mkubwa wa watu kupelekea sadaka kuwa nyingi.

ANYWAY, JIFUNZE KUJISIMAMIA KIMAOMBI, TOFAUTI NA HAPO UTASHINDIA KWENYE MAJUMBA YA MAOMBI YAO KUWAABUDU NA KUWAFAIDISHA HAO JAMAA.
WAHUNI WANATAFUTA WAPI KUNA HELA
 
Kila mtoa huduma ambae ana sadikika ana nguvu kubwa ya uponyaji anaweka makazi na huduma yake katika majiji makubwa, why?

Ina maana Hakuna mtumishi mwenye karama kubwa alie inuliwa tandahimba, tarime, bunda, bariadi, etc.

Uhalisia ni upi wa kiroho hawa watu wote kuwepo Dar tu. Ina maana Dar ni chafu kiroho sana kupelekea wote kuwako huko.

Kwa uhalisia wa kibinadamu hawa watu wanaenda Dar for commercial purposes maana Dar inamzunguko mkubwa wa watu kupelekea sadaka kuwa nyingi.

ANYWAY, JIFUNZE KUJISIMAMIA KIMAOMBI, TOFAUTI NA HAPO UTASHINDIA KWENYE MAJUMBA YA MAOMBI YAO KUWAABUDU NA KUWAFAIDISHA HAO JAMAA.
mkuu nani kakuambia sisi huku tarime tunahitaji hizo huduma za kulipia
tapelianeni hukohuko
 
Kila mtoa huduma ambae ana sadikika ana nguvu kubwa ya uponyaji anaweka makazi na huduma yake katika majiji makubwa, why?

Ina maana Hakuna mtumishi mwenye karama kubwa alie inuliwa tandahimba, tarime, bunda, bariadi, etc.

Uhalisia ni upi wa kiroho hawa watu wote kuwepo Dar tu. Ina maana Dar ni chafu kiroho sana kupelekea wote kuwako huko.

Kwa uhalisia wa kibinadamu hawa watu wanaenda Dar for commercial purposes maana Dar inamzunguko mkubwa wa watu kupelekea sadaka kuwa nyingi.

ANYWAY, JIFUNZE KUJISIMAMIA KIMAOMBI, TOFAUTI NA HAPO UTASHINDIA KWENYE MAJUMBA YA MAOMBI YAO KUWAABUDU NA KUWAFAIDISHA HAO JAMAA.
waende na Simiyu,Kondoa,katavi,Mbinga sio kulundikana Mjini,Pembezoni mwa nchi Watu ni wengi wanahitaji Huduma za kiroho
 
Back
Top Bottom