Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Kila mtoa huduma ambae ana sadikika ana nguvu kubwa ya uponyaji anaweka makazi na huduma yake katika majiji makubwa, why?
Ina maana Hakuna mtumishi mwenye karama kubwa alie inuliwa tandahimba, tarime, bunda, bariadi, etc.
Uhalisia ni upi wa kiroho hawa watu wote kuwepo Dar tu. Ina maana Dar ni chafu kiroho sana kupelekea wote kuwako huko.
Kwa uhalisia wa kibinadamu hawa watu wanaenda Dar for commercial purposes maana Dar inamzunguko mkubwa wa watu kupelekea sadaka kuwa nyingi.
ANYWAY, JIFUNZE KUJISIMAMIA KIMAOMBI, TOFAUTI NA HAPO UTASHINDIA KWENYE MAJUMBA YA MAOMBI YAO KUWAABUDU NA KUWAFAIDISHA HAO JAMAA.
Ina maana Hakuna mtumishi mwenye karama kubwa alie inuliwa tandahimba, tarime, bunda, bariadi, etc.
Uhalisia ni upi wa kiroho hawa watu wote kuwepo Dar tu. Ina maana Dar ni chafu kiroho sana kupelekea wote kuwako huko.
Kwa uhalisia wa kibinadamu hawa watu wanaenda Dar for commercial purposes maana Dar inamzunguko mkubwa wa watu kupelekea sadaka kuwa nyingi.
ANYWAY, JIFUNZE KUJISIMAMIA KIMAOMBI, TOFAUTI NA HAPO UTASHINDIA KWENYE MAJUMBA YA MAOMBI YAO KUWAABUDU NA KUWAFAIDISHA HAO JAMAA.