Nyie wakuitwa manabii na mitume kwa nini wote mnakimbilia Dar? Kwani huku wilayani hakuna asiyehitaji upako wenu?

Mijini kuna idadi kubwa ya watu wenye msongo wa mawazo na matatizo ya afya.
Pia wana kipato cha ahueni wanaokamuliwa kirahisi.
 
Moron wengi wapi Dar.💯🥹🥹🥹🥹
 
Unaoakuaje upako km una wasiwasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…