Nyie watu wa dar sasa hapa cha ajabu ni kitu gan? Au ni ushamba wenu tu

Aisee kwahiyo wewe unajua kuwa mimi hapa natafuta ajira? Mbona nyie watu wa dar hamuwaz tofaut na kujiajir yaan nyie mnawaza kuajiriwa tu
Read between the lines. Nani kakwambia Mimi mtu wa dar?
Ninacho maanisha story yake iko kwenye wonder land ya Alice.
 
Hiyo ni kawaida Sana kwa sisi watu wa Mikoani,wanajizubaisha na Supu ya Pweza weeee Ila wakiingia Uwanjani....kimoja tu chali ....... Unaibiwaaaaaaaa......rayvann
Hata hiyo supu ya pweza hiv inajaa kweli hata kibakul au ikoje hiyo
 
Hata hiyo supu ya pweza hiv inajaa kweli hata kibakul au ikoje hiyo
Hapo sasa atajaza ataweza?/... Trust me ukila ukishiba Vizuri ndo na Nguvu zinatokea Ila ukila kwa kujifanya wew cjui kimodo cjui Nini hapo wenyewe wanajua .... Nguvu atapata za kujamba tu [emoji106][emoji33][emoji16][emoji16]
 
..........nikazama mfukon nikatoa bulungutu la kama milion tatu hiv acha watu wa dar wanakidoloe na kunitolea mimacho ..
Walikushangaa sana kwasababu ni mara chache sana kumkuta mtu makini ana Million tatu mkononi. Binafsi nikiwa na pesa nyingi mifukoni ni laki moja au mbili kwa matumizi madogo madogo ya siku hiyo kama lunch nakadhalika. Ni ushamba sana siku hizi kubeba bulungutu la minoti mikononi vinginevyo watu Kama Mengi, Rostam au Manji wangeota misuli wangeendekeza ushamba huo
 
Umeniingiza mjini kama hao watu waliokukodolea macho
 
Mtu mwenyewe unajiita Baby boy halafu watu wanategemea utaleta mada ya maana zaidi ya story zenu za instargram
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…