Le professel
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 636
- 960
Motema moto moto. Mabala ya bomwana eleki mpamba.Wimbo unaoimbwa "nyako nyako nyakoko nyako nyako nyakokonya" majamaa walikuwa wamevaa jezi uku wakipiga danadana mpira mbele kukiwa na mic za kuimbia inanikumbusha mbali
You sang to me. Marc Anthony
Mbona hujanijibuOkay bro
Nadhani ni wa yeyote kuanzia pale matukio na wimbo/nyimbo fulani zilipokutana, thou vibabu na vijuve ndio vimejaa humu😅😅😅Huu uzi ni wa wazee!
Ndo nyimbo unayoipenda?
Sio kwelNdo nyimbo unayoipenda?
Mimi napenda ile sehemu yule dada aliyevaa dera lenye maua ya blue alivyotikisa tako moja.Sio kwel
Hiyo hapo kwa miezi hiiNdo nyimbo unayoipenda?
Hii hata mimi naipenda na ile "furaha"