Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha wimbo wake wa handsome, kama unao naomba tupia bro!!
Kipindi hiki nilikuwa tayari kijana wa 20's, "nipo na nitazidi kuwepo mpaka maisha yatopofika mwisho hapo....!!"
View attachment 3265965 Enjoy mkuu... Hiki kipindi vijana wengi mlikua machekibobu😅
Hatari sana, hiko kipindi Kila kijana aliyebahele alikua msafi sana😅😅Hiki kipindi nilikuwa ni chekibobu haswa!! Na hili ni pini langu pendwa, nitalisahau kwa muda lakini litarudi tuu!! Kama sasa nalitwanga kwelikweli hapa!!
😂Pendaelli nimeshindwa kusubiri kesho 🙈
Vijana wa 2,000 mje mtuambie na nyie mlikua mnasikiliza nini wakati mnakua Nomadix , makutupora , Poor Brain , Al-mukheef , Cassnzoba , synonym II
#SMOKEY " ... can't be fu*** up the rotation, puff puff give 😂"Kohh kohh kohh
mshangazi pass me de weed imma about to say somethin real sh!t nigga
b0mb0..claa...aaa...aaa..ttt