makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Juwata jazaa, urafiki, tabora jazz, sikinde na ottu jazzMkuu,,, unawajua sana hawa waimbaji…
Ebu nitajie band ambazo Hussen jumbe ameimba nazo kuna wimbo nautafuta unaitwa Sarafina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juwata jazaa, urafiki, tabora jazz, sikinde na ottu jazzMkuu,,, unawajua sana hawa waimbaji…
Ebu nitajie band ambazo Hussen jumbe ameimba nazo kuna wimbo nautafuta unaitwa Sarafina
🤣🤣🤣🤣🤣 hii nyimbo kila nilipokuwa nikiisikia zama za RTD nilikuwa nahisi kama naimbiwa mimi maana damu inachemka Primary vitoto vinanipagawisha yani balaa.Mapenzi na shule... Mbaraka Mwishehe.
Oko lela ngai butu nyoso..... Naa muchanaa aaaiiii lemisileeMuchana-kanda bongoman
Vinanda vyake vinaniliwaza japo sielewi lugha wanayoimba
Nausikiliza toka nipo mdogo
Rhumba karibia zote nazielewaAisee kuna hii nyimbo inaitwa; “Sasa ni lunch time tufunge makazi,” nikiisikia lazima nipate hamu ya kula!
Plus kuna nyimbo za marehemu;
Hizi nyimbo hazinitoki.
- Siri ya nini
- Sarafina
- Kachichi
[emoji38][emoji38] hata sielewi natamka nini ila naupenda mnoOko lela ngai butu nyoso..... Naa muchanaa aaaiiii lemisilee
Oko Lela mai ndombe[emoji1787]
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Mzurii mno nyimbo zake hukinaii[emoji38][emoji38] hata sielewi natamka nini ila naupenda mno
Beatrice by Mass media bandAisee kuna hii nyimbo inaitwa; “Sasa ni lunch time tufunge makazi,” nikiisikia lazima nipate hamu ya kula!
Plus kuna nyimbo za marehemu;
Hizi nyimbo hazinitoki.
- Siri ya nini
- Sarafina
- Kachichi
DEKA ya harmonizeAisee kuna hii nyimbo inaitwa; “Sasa ni lunch time tufunge makazi,” nikiisikia lazima nipate hamu ya kula!
Plus kuna nyimbo za marehemu;
Hizi nyimbo hazinitoki.
- Siri ya nini
- Sarafina
- Kachichi
Samba mapangala na ile ya vunja mifupa I'm rhumba therapist Tena ikipgwa karaoke nadata[emoji119]AMIGO
DUNIA TUNAPITA
NIMETUMA BARUA USOME
Party Ya Kuaga Umasikini, Theresa, VIP, Mtatumaliza, Mke Mkubwa na Shoga. Zote hizi za Vijana Sagha Rhumba.Aisee kuna hii nyimbo inaitwa; “Sasa ni lunch time tufunge makazi,” nikiisikia lazima nipate hamu ya kula!
Plus kuna nyimbo za marehemu;
Hizi nyimbo hazinitoki.
- Siri ya nini
- Sarafina
- Kachichi