Nyimbo gani ya zilipendwa ukizisikiliza moyo unatulia?

Nyimbo gani ya zilipendwa ukizisikiliza moyo unatulia?

Party Ya Kuaga Umasikini, Theresa, VIP, Mtatumaliza, Mke Mkubwa na Shoga. Zote hizi za Vijana Sagha Rhumba.

IMG_0440.jpg
 
Nawashukuru wazazi, mume wangu jerry, hiba za sikinde.

Ashbahe, Tuma, huruma kwa wagonjwa za Msondo.

Embakassy le manglepa

Misile ya franco n.k
 
Maria by Vijana jazZ
Mv mpenzi part 1 & 2
Maze by Tabuley
Faux paus by Mbilia Bell
Ba Gerants Ya Mabala by Mbilia
Eswi opie
Opepee
Andrada
Maselina wangu
Nk nk
 
Wacha Wacha waseme,watasemea mchana eeh , usiku watalala


Mshike mshike mtie nanga-Twanga pepeta

Sikutangila,twende kumwona ai ai (sijui wacongo wale mi sijui majina ya nyimbo)

Umgejua ungejua roho yangu inachoma -Suma lee sijui na nani

Mama Africa-Jide& Chameleon

Dunia mapito-Matonya
 
Wacha Wacha waseme,watasemea mchana eeh , usiku watalala


Mshike mshike mtie nanga-Twanga pepeta

Sikutangila,twende kumwona ai ai (sijui wacongo wale mi sijui majina ya nyimbo)

Umgejua ungejua roho yangu inachoma -Suma lee sijui na nani

Mama Africa-Jide& Chameleon

Dunia mapito-Matonya

hii wacha waseme kaimba nani
 
Maria by Vijana jazZ
Mv mpenzi part 1 & 2
Maze by Tabuley
Faux paus by Mbilia Bell
Ba Gerants Ya Mabala by Mbilia
Eswi opie
Opepee
Andrada
Maselina wangu
Nk nk

Hizi zote za kikongo mani
 
Ngoma nyingi mnooo
Ngapulila,
mv mapenzi,
Mtaa wa saba.
Jogoo la shamba
Amigo ya les wanyika.
Karubandika marquis du zaire
VIP ya vijana jazz, ni moto mnoo
Baba jeni ya hamza kalala.
Shoga by vijana jazz bonge la ngoma.
Ngalulala marquis du zaire.
Solemba juwatta jazz na niko zengekala

mkuu nisaidie band ambazo ameimba hussen jumbe
 
1. Mwisho wa Mwezi (Sagha Rhuma)
2. Ogogpa Matapeli (Sagha Rhumba)
3. Penzi la Mwisho (Mlimani Park)
4. Neema (Mlimani Park)
5. V.I.P. (Sagha Rumba)
6. Hujafa Hujaumbika (Twanga Chipolopolo)
7. Dunia Kigeugeu (FM Academia)
8. Mtu Pesa (Twanga Pepeta)
9. Leila (Assossa na Maquiz Original)
10. Siku ya Kufa (Makassy)
11. Mnanioneysha Njia ya Kwetu (Mlimani Park)

Yaani nyimbo za dansi tu zinafurahisha na ziko nyingi sana.
Nyimbo Leila imenitoa machozi nimekumbuka mbali sana, Heko Tshimanga Assosa
 
Siwema
Usia
Ndoa ya mateso
Dunia uwanja wa fujo

Hizo zote zimeimbwa na Marijani Rajabu


Mtoto Jacky imeimbwa na Nico Zengekala.
 
Back
Top Bottom