Nyimbo kali za club

Nyimbo kali za club

Spartacus boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,727
Reaction score
3,464
Bila kupoteza wakati. Nachelea kuwaletea cluh bangers kali ambazo mtu yeyote mwenye akili timamu akizisikia lazima aruke.

1. Notch_Nuttin no go so
2.sean Paul _ everblazing
3.t.o.k_ gal u a lead
4. Nywear _ mikasi
5.chaka demus_mudder she wrote
6. Rupee_ tempted to touch
7.wyclife jean_ love ft eve
8.Ngoni nasiima gwe
9. Ziggy dee_ eno mic
10. Hardman _ Tamala ft fatma
11. Colie budz_ mamacita
12. Brick and lace _love is wicked
13. Shaa_lavalava
14. Ngoni _ bigula
15. Koffee_ toast
16.Tems_damages
( shusheni na nyie)
Link nitaleta kesho nikipata bundle leo natumia free basics
 
Inapigwa "Church heathen" ya Shaggy, kisha inapigwa "Get busy" ya Sean Paul na kama kawaida inapandishiwa na "like glue".

Kama vile bado haitoshi, inapigwa "Pon de replay" ya Rihanna a.k.a Mr. DJ. Kabla hamjapoa, inapigwa "hips don't lie" ya Shakira.

DJ hana roho mbaya, anapiga "do me" ya P square, kisha anapiga "khona" ya Mafikizolo.

Wakati bado vibe linachanganyia, anapiga "missing you/come over" ya busy signal, anaweka na"loyal" ya Chris Brown.

Then anaamua kupiga ngumu za club, anaweka "in da club" ya 50 cent, inasindikizwa na "Candy shop". Anapiga "run this town" ya Jay Z, kisha anawapooza na "live your life" ya T.I

Akishuka bongo, anapiga "chupa nyingine" ya Mchiz Mox, "mikasi" ya Ngwea then anaisindikiza na "CNN" ya Ngwea. Anapiga "bang" ya Nako2Nako, kisha anapiga "twenzetu" ya tmk.

Ni saa kumi na moja alfajiri, DJ anagundua kuna watoto wa uswazi ndani ya club, na muda umekwisha. Anawaaga na singeli moja "unatoa hutoi".

Dah! Kweli nimezeeka asee!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watoto wa uswahili watimue vumbi au sio?
Inapigwa "Church heathen" ya Shaggy, kisha inapigwa "Get busy" ya Sean Paul na kama kawaida inapandishiwa na "like glue".

Kama vile bado haitoshi, inapigwa "Pon de replay" ya Rihanna a.k.a Mr. DJ. Kabla hamjapoa, inapigwa "hips don't lie" ya Shakira.

DJ hana roho mbaya, anapiga "do me" ya P square, kisha anapiga "khona" ya Mafikizolo.

Wakati bado vibe linachanganyia, anapiga "missing you/come over" ya busy signal, anaweka na"loyal" ya Chris Brown.

Then anaamua kupiga ngumu za club, anaweka "in da club" ya 50 cent, inasindikizwa na "Candy shop". Anapiga "run this town" ya Jay Z, kisha anawapooza na "live your life" ya T.I

Akishuka bongo, anapiga "chupa nyingine" ya Mchiz Mox, "mikasi" ya Ngwea then anaisindikiza na "CNN" ya Ngwea. Anapiga "bang" ya Nako2Nako, kisha anapiga "twenzetu" ya tmk.

Ni saa kumi na moja alfajiri, DJ anagundua kuna watoto wa uswazi ndani ya club, na muda umekwisha. Anawaaga na singeli moja "unatoa hutoi".

Dah! Kweli nimezeeka asee!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Inapigwa "Church heathen" ya Shaggy, kisha inapigwa "Get busy" ya Sean Paul na kama kawaida inapandishiwa na "like glue".

Kama vile bado haitoshi, inapigwa "Pon de replay" ya Rihanna a.k.a Mr. DJ. Kabla hamjapoa, inapigwa "hips don't lie" ya Shakira.

DJ hana roho mbaya, anapiga "do me" ya P square, kisha anapiga "khona" ya Mafikizolo.

Wakati bado vibe linachanganyia, anapiga "missing you/come over" ya busy signal, anaweka na"loyal" ya Chris Brown.

Then anaamua kupiga ngumu za club, anaweka "in da club" ya 50 cent, inasindikizwa na "Candy shop". Anapiga "run this town" ya Jay Z, kisha anawapooza na "live your life" ya T.I

Akishuka bongo, anapiga "chupa nyingine" ya Mchiz Mox, "mikasi" ya Ngwea then anaisindikiza na "CNN" ya Ngwea. Anapiga "bang" ya Nako2Nako, kisha anapiga "twenzetu" ya tmk.

Ni saa kumi na moja alfajiri, DJ anagundua kuna watoto wa uswazi ndani ya club, na muda umekwisha. Anawaaga na singeli moja "unatoa hutoi".

Dah! Kweli nimezeeka asee!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nakupa cheo mkuu. Umetisha
 
Bila kupoteza wakati. Nachelea kuwaletea cluh bangers kali ambazo mtu yeyote mwenye akili timamu akizisikia lazima aruke.

1. Notch_Nuttin no go so
2.sean Paul _ everblazing
3.t.o.k_ gal u a lead
4. Nywear _ mikasi
5.chaka demus_mudder she wrote
6. Rupee_ tempted to touch
7.wyclife jean_ love ft eve
8.Ngoni nasiima gwe
9. Ziggy dee_ eno mic
10. Hardman _ Tamala ft fatma
11. Colie budz_ mamacita
12. Brick and lace _love is wicked
13. Shaa_lavalava
14. Ngoni _ bigula
15. Koffee_ toast
16.Tems_damages
( shusheni na nyie)
Link nitaleta kesho nikipata bundle leo natumia free basics
Sean Paul got Ur lov u
Erique iglesias bailando
Diamond platnum hallelujah
 
Kuna wimbo flani wazamani ni katiya kutoka kenya uganda autanzania nilikalili kipande ...wana imba alomaiti alomaitii ina skitisha sana ooohh ...kama kiluga flani kinaendelea nisaidien jina na muimbajii
 
Kuna wimbo flani wazamani ni katiya kutoka kenya uganda autanzania nilikalili kipande ...wana imba alomaiti alomaitii ina skitisha sana ooohh ...kama kiluga flani kinaendelea nisaidien jina na muimbajii
Anaitwa Ziggy Dee _eno mic
 
Back
Top Bottom