Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Ni mimi wako UWESUTANZANIA,
Leo wacha niwape Fursa vijana wenye vipaji na hawajapata mtu wa kuwashika mkono.
Ndugu yangu kama wewe ni msanii chipukizi na unahangaika siku zote, una kipaji cha kuimba na hausikilizwi,.
Lete nyimbo yako katika coment ambatanisha na namba yako ya simu.
Au hata kama una kijana anajua kuimba na anaimba vizuri, arecodi akiimba wimbo au alete nyimbo zake katika coment na namba yake ya simu.
Au kama zipo youtube weka link,.
Nb
Usiwe umewahi imba nyimbo na msanii yeyote yule mkubwa au kushirikishwa. Mfano (Diamond, Jux, Kiba, harmon, ben, barn, nk
Leo wacha niwape Fursa vijana wenye vipaji na hawajapata mtu wa kuwashika mkono.
Ndugu yangu kama wewe ni msanii chipukizi na unahangaika siku zote, una kipaji cha kuimba na hausikilizwi,.
Lete nyimbo yako katika coment ambatanisha na namba yako ya simu.
Au hata kama una kijana anajua kuimba na anaimba vizuri, arecodi akiimba wimbo au alete nyimbo zake katika coment na namba yake ya simu.
Au kama zipo youtube weka link,.
Nb
Usiwe umewahi imba nyimbo na msanii yeyote yule mkubwa au kushirikishwa. Mfano (Diamond, Jux, Kiba, harmon, ben, barn, nk