njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Goood guuud safi sana kali aiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu utopolo tugoood guuud safi sana kali aiseee
Maneno karibu yote, nimeipenda sana hii song kwa kweliWazee wa kujishuku sjui itakuaje sasa! Ila km harmonize katupa jiwe gizani hivi Kuna maneno yanamgusa diamond na kamati YAKE ya roho mbaya
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
goood guuud safi sana kali aiseee
Ila waswahili mna vituko sana.Kwahiyo sasa hivi bifu jipya town ni Diamond Platnumz na Harmonize. Najua Diamond anakwazika sana, unamtoa mtu ulikomtoa, unamsaidia kwa hali na mali halafu baadae anakugeuka na kukipiga vijembe. Dah, kweli usingoje shukurani.
Ila waswahili mna vituko sana.
Hivi alimsaidia au alifanya biashara ?
That was his investment risks.He gambled. He put his money on him. Kwa kifupi mi naona kamsaidia. Lazima tuwe na shukurani wajameni, hii sio poa kabisa.
Ila waswahili mna vituko sana.
Hivi alimsaidia au alifanya biashara ?
Huna akili. Natumia nguvu bure kuelimisha jiswahili takataka.Kwani kipindi kile wakati yupo choka mbaya.watu went hawakumuona harmonize wafanye nae biashara?
Script inamtaka afanye ivyoKwahiyo sasa hivi bifu jipya town ni Diamond Platnumz na Harmonize?Najua Diamond anakwazika sana, unamtoa mtu ulikomtoa, unamsaidia kwa hali na mali halafu baadae anakugeuka na kukipiga vijembe. Dah, kweli usingoje shukurani.
Aisee kesho tunapitisha bakuli kuchangia matibabu ya miguu ya baba yake Diamond imeanza kuoza.Hamna kitu utopolo tu
Halafu mapema sana kaanza taarab, akisikia neno hili anatunga wimbo,atakuwa na nyimbo ngapi sasa?Kwa watu walio karibu naye mwambien ndugu yenu apunguze majungu afanye muziki
Mtu kila siku vijembe kama muimba tarabu.
That was his investment risks. That's what we call business.
Kwahiyo leo Lady Gaga asilale, kutwa kucha Akon awe anazuruka kwenye media kumtangaza kuwa yeye ndio kamtoa ?
Club ya Mbagala na yenyewe ianze majungu kwamba bila sisi Samatta asingefika hapo.
Au Sports Lisbon ianze kumponda CR7 kwamba imemsaidia mnoo hivyo anapaswa kuiabudu kila siku ???
Aisee kesho tunapitisha bakuli kuchangia matibabu ya miguu baba yake diamond imeanza kuoza.