Nyimbo mpya ya Harmonize(wapo) ni kali sana

Nyimbo mpya ya Harmonize(wapo) ni kali sana

H-baba Diamond alimwibia wimbo wa nataka kulewa? Sikuona mfanano wa wimbo wa H-baba na wa Diamond kuanzia melody na messege isipokuwa jina tu na kama majina ya nyimbo kufanana ni kawaida, mfano kuna nyimbo nyingi zinaitwa my love, au Love, immortal n.k
H-baba uwa anashindana na mtu ambaye uwa hamjibu na kwasasa Diamond na H-baba ni sawa na mbingu na ardhi.
Mkuu an idea is just enough to take you steps. And, that what he did.

Halafu unazungumza kushindana, kuna mtu kasema H. baba anashindana na Diamond.

Diamond ana sikio la Muziki, akisikia tu idea inatosha kabisa, na ndio maana akisigiaga ngoma kali anataka awemo na yeye kama Collabo
 
dah! kumbe ni kweli mkewe walimnaniii... ni haki yake kulalama.
 
Mkuu an idea is just enough to take you steps. And, that what he did.

Halafu unazungumza kushindana, kuna mtu kasema H. baba anashindana na Diamond.

Diamond ana sikio la Muziki, akisikia tu idea inatosha kabisa, na ndio maana akisigiaga ngoma kali anataka awemo na yeye kama Collabo
Lakini ujumbe wa wimbo wa diamond, melody, beat vyote vilikuwa tofauti kabisa na wimbo wa H-baba hazikuwa zinafanana hata kidogo.
H-baba anashindana na diamond, juzi tu katoa wimbo wake full kukandia wimbo wa Waah kwamba sijui kashirikisha mtu, sijui amelipia viewers na maneno mengi utadhani yeye kazuiwa kufanya hivyo.
Yes hiyo ni kawaida, idea ya mziki inaweza toka kokote, kwenye mazungumzo, ukisikia beat, unaweza kusikia wimbo wa mtu mwingine ukapata idea. Ila wimbo wa Hbaba na diamond ulikuwa tofauti kabisa kasoro title ya jina.
 
Mzee Kuna sehemu ume Ni quote.
UMENIAMBIA "SINA AKILI "
nimekunyamazia kimya sijakujibu.
Na Sasa hivi umeniquote tenaa vibaya.
Mwisho wa mwaka huu.
Naomba tuumalize salama.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Barikiwa sanaa.
Avatar yako umeweka mtu wa heshima lakini wewe mwenyewe [emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Hakuna mwenye uwezo wa kuchangisha hela kwa ajili ya baba Yake diamond.hata huyo harmonize HAWEZI.
na maamuzi ya diamond kwa baba Yake HAYAWEZI KUBADILISHWA KWA NYIMBO YA HAMORNIZE.
amemkataa baba Yake amemkataa sababu anazijua mwenyewe.
Kama mnaweza mwambieni baba diamond ampe laana mwanae.
utake usitake, tunatembeza bakuli kumtibu huyo mzee miguu kabla haijakatwa.
 
Mwisho wa siku muda utaongea tu nani ana hesabu nazi na nani ana hesabu makuti,uzuri wa mziki wa sasa hivi upo wazi na ni rahisi kuufanyia tathimini.
 
Kaanza hainishtui,Kushoto kulia,hujanikomoa hakujibiwa hakaona haitoshi kabisa akamtafuta mtu anayefanana na boss wake wa zamani ktk video ya ushamba akajibiwa mara moja tu,anaanza kutafuta huruma,wakati wewe ndio umeanza unatafuta ugomvi wa mawe kumbe unaishi kwenye nyumba ya vioo.

Sasa hivi anasupport ya Clouds,EFM,EATV,H-Baba,Diva,Mwijaku wote wanamsupport yy lkn bado analalamika anabaniwa sasa anabaniwa wapi,wakati kuna wasanii wakali kuliko yeye na wametoa hiti kali mwaka huu lkn hawakupata hata nusu ya promo aliyo ipata yeye.

Yaani na hizi media tena zishaamini wasanii ni Alikiba ,King Musics na Konde Gang na Harmonize hii yote kumkomoa Diamond na WCB kumbe wanawaumiza wasanii wengine kabisa ambao hawa husiki na mabeef yao,matokeo yake wanawasahau wasanii wengine kuwapa promo kila siku wale wale ndio wanaopewa promo za kutosha.Darrasa katoa album lkn hizi media hazipush,Barnaba mtoto wa CMG nae katoa album mtoto wao nae wamemchunia,Young D katoa album wamemchunia,lkn subiri siku Kiba au Harmonize atoe album naona wataifanyia promo mwezi mzima.

Huyo dogo afanye mziki wake mimi naamini msanii mzuri ila hivi vijembe nyimbo karibia tano havito msaidia,mimi naamini sasa hivi ndio anapata promo ya kutosha kuliko zamani akifanya masihala tutamsahau na hao wanaompandisha na kumbeba watamshusha,wewe kipindi chote cha hiki cha mwezi huu wa 12 pamoja na kuwa na album yenye nyimbo 18,pamoja na nyimbo zake nyingine zaidi ya tano lkn hamna hata promota aliyemtafuta kwa ajili ya show.
 
okey hebu niambie hilo tatizo lako nikuchangie japo senti mbili-tatu.


Tatizo langu sijui kama utaweza kulitatua kwa senti mbili tatua, niko na ukoo mzima wote unanialia mimi. Na hapo bado sijakutajia bili zangu za kila mwezi. Yaani wewe bora uendelee na huyohuyo babaake Diamond tu
 
Mzee Kuna sehemu ume Ni quote.
UMENIAMBIA "SINA AKILI "
nimekunyamazia kimya sijakujibu.
Na Sasa hivi umeniquote tenaa vibaya.
Mwisho wa mwaka huu.
Naomba tuumalize salama.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Barikiwa sanaa.


Huyo jamaa hana adabu kabisa, anapita kutukana watu hovyhovyo tu humu. Anafaa kutandikwa makofi kabisa sema ndio hivyo anajificha nyuma ya keyboard tu
 
Back
Top Bottom