Hayo ni mawazo yako na ni imani yako ila kumbuka hapa Duniani kama huna haters basi tambua kua huna la maana unalolifanya,
Mwanaume lazima awe na maadui,lazima awe na haters.
What if kaimba tu mashabiki ndiyo tunatafsiri kamsema mtu, na vipi upande mwingine wakiweka mistari flani wao ni sawa?Halafu mapema sana kaanza taarab,akisikia neno hili anatunga wimbo,atakuwa na nyimbo ngapi sasa?
Kina H baba wanamuua kimziki huyu dogo aisee
Jamaa anaamini Diamond yeye aliota kama Uyoga ghafla tu.Kawaida mkuu hata kwa Diamond kuna watu nao wanaona walimpa support kubwa leo ... ndivyo safari ya mafanikio ilivyo lazima wengine uwa tupe, wengine ukae nao na upate wapya
H-baba Diamond alimwibia wimbo wa nataka kulewa? Sikuona mfanano wa wimbo wa H-baba na wa Diamond kuanzia melody na messege isipokuwa jina tu na kama majina ya nyimbo kufanana ni kawaida, mfano kuna nyimbo nyingi zinaitwa my love, au Love, immortal n.kH. Baba beef lake na Diamond linajulikana.
Tangu Diamond amwibie wimbo wa Nataka Kulewa hata kabla hiyo Harmonize hajatoka
Angalia trend ya uimbaji wake wa zamani uliomtoa na wa sasa utajua tu dogo sasa hv ana stress,amepanic.Zamani dogo alikuwa anaimba kikweli kweli.What if kaimba tu mashabiki ndiyo tunatafsiri kamsema mtu, na vipi upande mwingine wakiweka mistari flani wao ni sawa?
Sure, huenda sababu za diamond kuwa adui na clouds japo walikuwa wakimpa support kiasi kwamba kuna hadi kipindi watu wakaanza hadi kudai Ruge ni meneja wake (kitu ambacho hakikuwa kweli), lakini bado akagombana nao basi ndizo hizo hizo sababu zilizomfanya harmonize aondoke WCB.Jamaa anaamini Diamond yeye aliota kama Uyoga ghafla tu.
😀😀
Ushasema zamani hata diamond nenda kamwambie, ukimuona, mbagara siyo sawa Waah, Ongeza, Jeje n.k Kila nyimbo na ladha yake huwezi kuimba same thing every day. Personaly simuoni kama anafanya vizuri toka atoke WCB, ila siungi mkono kwamba kila anachoimba yeye itafsiriwe mashambulizi wakati nao kule wanatupa mawe ila kwao inakuwa sawa kwake inakuwa si sawa.Angalia trend ya uimbaji wake wa zamani uliomtoa na wa sasa utajua tu dogo sasa hv ana stress,amepanic.Zamani dogo alikuwa anaimba kikweli kweli.
Sasa hv kujibizana na vijembe kama vya taarab vitampoteza kwani hatafocus kwenye mziki mzuri yeye atakuwa anawawaza haters wake tu.
ndugu zangu tayari nimeshawasaidia woten hakuna anayeoza miguu kama baba yake diamond..Tunakujua hater. Kwanini usitembeze bakuli kuwasaidia ndugu zako kandambili huko kijijini kwenu? Wabongo hapo ndio mnapofeli, kuna watu wanahitaji misaada yenu lakini mpo busy tu na unafiki.
Hakuna majibu mkuu,zaidi ya nyimbo za makelele Kama anafukuza mwizi.Baada ya kuibiwa huo wimbo akaleta nyimbo gani nyingine ya maana ili kuhalalisha kwetu mashabiki kuwa ni kweli alikuwa mkali ndio maana domo akamuibia huo wimbo?
ndugu zangu tayari nimeshawapelekea wako sawa.Hizo hela si Bora uwapelekee ndugu zako wenye uhitaji?.
ndugu zangu tayari nimeshawapelekea wako sawa.
siwajui hao, namjua baba wa star mkubwa AFrica ambaye anaoza miguu na inaelekea mtoto wake hajafanikiwa kuwa na pesa za kumtibu.Basi wapelekeeni ndugu zake harmonize.
siwajui hao, namjua baba wa star mkubwa AFrica ambaye anaoza miguu na inaelekea mtoto wake hajafanikiwa kuwa na pesa za kumtibu.
Haya hima-hima mjingamimi fanya kuhamasisha mashabiki wenzako wa diaomond tuchange pesa tumtibu baba yake miguu kabla haijakatwa kwa kuoza.
naomba mchango wako hata jero tu, huyu baba aliyewaletea boss anastahili kutibiwa miguu kabla haijakatwa.Diamond baba yake Ni Uncle shamte.
Sasa Kama mnataka kumsaidia huyo mzee msaidieni tu Kama watu wengine Ila msiseme Ni babayake diamond.
naomba mchango wako hata jero tu, huyu baba aliyewaletea boss anastahili kutibiwa miguu kabla haijakatwa.
ndiyo maana tunapitisha bakuli kumsaidia sisi ni watanzania wenzake.Kwani mzee Abdul ana mtoto MMOJA?
Hana ndugu wengine wa kumsaidia?
"KUNA TATIZO"
ndugu zangu tayari nimeshawasaidia woten hakuna anayeoza miguu kama baba yake diamond..
hebu ifike mahali tumsadie Baba yake Diamond tuchajichange japo mia tano-mia tano apate matibabu ya miguu imeanza kuoza na mwanae hana pesa za kumtibu.
hapana aisee baba yangu hajachoka sina roho mbaya kiasi hicho.Unataka kusaidia baba za wengine babaako choka mbaya
hapana aisee baba yangu hajachoka sina roho mbaya kiasi hicho.
mtake msitake huyu baba yenu anayeoza miguu lazima tumchangie na tumtibu.