Nyimbo ya Mikasi ya Ngwair iliandikwa kwa akili nyingi sana

Nyimbo ya Mikasi ya Ngwair iliandikwa kwa akili nyingi sana

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
Vesi ya kwanza Ngwair anajipanga kutoka ghetto amoga na kuwaka na kuingia kitaa kuanza kula bata, kuanzia supu ya chapati, grave yard kupata nyasi, anawacheki Rich Coast wapi wapi, wanakutana mitaa ya Chaga byte, kupiga ugali mkubwa na samaki, mpaka mitungi ya kupotezea wakati, ukitaka fegi mezani Kuna pakti, iwe SM au Embassy, hapo utakula Raha mpaka mwenyewe utasema basi, makamuzi yanaendelea mpaka night, anacheki mfukoni kiasi kilichobaki,
anajikuta ana kama LAKI, anawaambia washikaji kinachofuata ni Mikasi!
Vesi ya pili inaanza kulewa tushalewa kilichobaki Mikasi washikaji milupo tutapata wapi? Wanendelea wee mpaka wanaita Tax na kupelekea masaki, aliye na bati anaachwa akanywee asubuhi chai chapati wenzake wakielekea kwenye bonge la party
Vesi ya tatu washafika
Mox: Dereva funga break tushafika kwenye party
Ngwair: Ebwana ee kumbe bonge la party
Mox: Cheki mademu kibao utazani kitchen party
Ngwair: cheki yule demu aliyevaa skin tight
Mox: Lipo safi si mchezo babaake unaeza ukaonga LAKI
Ngwair: Aa wapi mtu ka Mimi hanipati usawa wenyewe huu wa kulenga kwa manati
Wanendelea hukoo weee.................. Mpaka
Majani: Oya braza mwenye black unaitwa na yule Anti
Mox: Yu kwapi
Majani: Yule aliyevaa kaki
Mox: Anti Vipi
Rah P: Aah Safi nilikua nahitaji tuwe wote kwenye party au unasemaje
Mox: Mi naona Safi

Upande wa Ngwair mwenye LAKI yake na hakubali kuhonga

Ngwair: Samahani wewe Anti uliyevaa shati hivi unaitwa nani
Rah P: Naitwa Bahati
Ngwair: Hivi anti nshawai kukuona wapi
Rah P: Acha longo longo we sema una shng ngapi? (LAKI inatoka bila ubishi 🤣)

Mox : We mazee mpango wako vipi
Ngwair: Mi mazee mbona mpango wangu safi ( Kinyonge LAKI imempata mwenyewe)
Mox: Ushakua usiku twende zetu tukachukue Tax twenzetu tukapige Mikasi

NB; LAKI ya Ngwair iliwindwa zamani sana Mox kabeba tu kisela Ngwair kadaiwa hela na hakukubali pisi Kali hazing'oki bure huku mfukoni ana LAKI na anataka Mikasi, na Mikasi Ina nguvu lazima aliadmiit kauli ya Mox, "Si mchezo babaake unaeza ukaonga LAKI"

Bonge la Track 2004 miaka 20 iliyopita ila bonge la idea
Master Jay anasema hii production ya P.Funk kwenye hii Traki ndio ilimteyemesha kwenye ushindani wao na Ngwair kwake ndio msanii bora wa muda wote
Kuna ukweli flani kwenye hili, au wewe unasemaje?
BTW, Proceed to Rest Easy Cowbama
 
Long tyme sana ,halafu kulikuwa na version mbili ya mikasi kwenye production.

CNN ,120 ,Kila siku tupo Juu -hizo traxx alizoshiriki ngwair ni noma sana.

"Vipi DJ haupigi hewani na unasikiliza ghetto ,demu wako chumbani anapigia "Bakari nondo" ,P ebu zima instamento"

"Mimi ndiyo me hatuwezi kuwa pair,Hata nikifa leo pengo langu halina spare so nageuka mac regan nawaambia ENDELEAAAA" (Watoto wa 2000 hawaelewi MAC REGAN - ENDELEA ina maanisha nini).
 
Vesi ya kwanza Ngwair anajipanga kutoka ghetto amoga na kuwaka na kuingia kitaa kuanza kula bata, kuanzia supu ya chapati, grave yard kupata nyasi, anawacheki Rich Coast wapi wapi, wanakutana mitaa ya Chaga byte, kupiga ugali mkubwa na samaki, mpaka mitungi ya kupotezea wakati, ukitaka fegi mezani Kuna pakti, iwe SM au Embassy, hapo utakula Raha mpaka mwenyewe utasema basi, makamuzi yanaendelea mpaka night, anacheki mfukoni kiasi kilichobaki,
anajikuta ana kama LAKI, anawaambia washikaji kinachofuata ni Mikasi!
Vesi ya pili inaanza kulewa tushalewa kilichobaki Mikasi washikaji milupo tutapata wapi? Wanendelea wee mpaka wanaita Tax na kupelekea masaki, aliye na bati anaachwa akanywee asubuhi chai chapati wenzake wakielekea kwenye bonge la party
Vesi ya tatu washafika
Mox: Dereva funga break tushafika kwenye party
Ngwair: Ebwana ee kumbe bonge la party
Mox: Cheki mademu kibao utazani kitchen party
Ngwair: cheki yule demu aliyevaa skin tight
Mox: Lipo safi si mchezo babaake unaeza ukaonga LAKI
Ngwair: Aa wapi mtu ka Mimi hanipati usawa wenyewe huu wa kulenga kwa manati
Wanendelea hukoo weee.................. Mpaka
Majani: Oya braza mwenye black unaitwa na yule Anti
Mox: Yu kwapi
Majani: Yule aliyevaa kaki
Mox: Anti Vipi
Rah P: Aah Safi nilikua nahitaji tuwe wote kwenye party au unasemaje
Mox: Mi naona Safi

Upande wa Ngwair mwenye LAKI yake na hakubali kuhonga

Ngwair: Samahani wewe Anti uliyevaa shati hivi unaitwa nani
Rah P: Naitwa Bahati
Ngwair: Hivi anti nshawai kukuona wapi
Rah P: Acha longo longo we sema una shng ngapi? (LAKI inatoka bila ubishi 🤣)

Mox : We mazee mpango wako vipi
Ngwair: Mi mazee mbona mpango wangu safi ( Kinyonge LAKI imempata mwenyewe)
Mox: Ushakua usiku twende zetu tukachukue Tax twenzetu tukapige Mikasi

NB; LAKI ya Ngwair iliwindwa zamani sana Mox kabeba tu kisela Ngwair kadaiwa hela na hakukubali pisi Kali hazing'oki bure huku mfukoni ana LAKI na anataka Mikasi, na Mikasi Ina nguvu lazima aliadmiit kauli ya Mox, "Si mchezo babaake unaeza ukaonga LAKI"

Bonge la Track 2004 miaka 20 iliyopita ila bonge la idea
Master Jay anasema hii production ya P.Funk kwenye hii Traki ndio ilimteyemesha kwenye ushindani wao na Ngwair kwake ndio msanii bora wa muda wote
Kuna ukweli flani kwenye hili, au wewe unasemaje?
BTW, Proceed to Rest Easy Cowbama
Mbona ni wimbo wa kijinga tu, hakuna kitu chochote cha maana hapa? Tuache kusifia ujinga jamani.
 
Pale mikocheni Kuna nyumba ina kijibango kimeandikwa GRAVE YARD, ndipo pale walipoenda kupata nyasi
Yes kama ni pale nyuma ya millineum tower ndio hapo grave yard nyuma ya makaburi
 
Long tyme sana ,halafu kulikuwa na version mbili ya mikasi kwenye production.

CNN ,120 ,Kila siku tupo Juu -hizo traxx alizoshiriki ngwair ni noma sana.

"Vipi DJ haupigi hewani na unasikiliza ghetto ,demu wako chumbani anapigia "Bakari nondo" ,P ebu zima instamento"

"Mimi ndiyo me hatuwezi kuwa pair,Hata nikifa leo pengo langu halina spare so nageuka mac regan nawaambia ENDELEAAAA" (Watoto wa 2000 hawaelewi MAC REGAN - ENDELEA ina maanisha nini).
Kuna demu wangu.. Mox na Ngwair wanabishana Kila mtu anadai n demu wake...

Mox: sikiliza we pimbi huyu demu namega kipindi toka enzi anasoma shule ya msingi..

Ngwair: we mbona unaongea ka taahira, huyu demu mi mwenyewe ndo nimemwonesha dira...

Mox: aah wapi!

Ngwair: nini sasa hutaki, kama unamtokea jua unapoteza tu wakati...
 
Kuna demu wangu.. Mox na Ngwair wanabishana Kila mtu anadai n demu wake...

Mox: sikiliza we pimbi huyu demu namega kipindi toka enzi anasoma shule ya msingi..

Ngwair: we mbona unaongea ka taahira, huyu demu mi mwenyewe ndo nimemwonesha dira...

Mox: aah wapi!

Ngwair: nini sasa hutaki, kama unamtokea jua unapoteza tu wakati...
Ile nayo ilikua moto sana!
 
Mbona ni wimbo wa kijinga tu, hakuna kitu chochote cha maana hapa? Tuache kusifia ujinga jamani.
Nimeshangaa nami, akili kubwa ipi ile nyimbo ya starehe tu. Nyimbo za akili kubwa ni starehe, kamanda, elimu dunia, peke yangu, mtizamo nk zinachochea fikra wakati unaiskiliza
 
dah 2004 nilikuwa primary, naukumbuka vizuri niliuchana verse yake kwenye gazeti, nikaubandika mlango wa chumbani kwangu kwa ndani. niliukariri wote, r.i.p Albert Kenneth Mangwea.
 
Vesi ya kwanza Ngwair anajipanga kutoka ghetto amoga na kuwaka na kuingia kitaa kuanza kula bata, kuanzia supu ya chapati, grave yard kupata nyasi, anawacheki Rich Coast wapi wapi, wanakutana mitaa ya Chaga byte, kupiga ugali mkubwa na samaki, mpaka mitungi ya kupotezea wakati, ukitaka fegi mezani Kuna pakti, iwe SM au Embassy, hapo utakula Raha mpaka mwenyewe utasema basi, makamuzi yanaendelea mpaka night, anacheki mfukoni kiasi kilichobaki,
anajikuta ana kama LAKI, anawaambia washikaji kinachofuata ni Mikasi!
Vesi ya pili inaanza kulewa tushalewa kilichobaki Mikasi washikaji milupo tutapata wapi? Wanendelea wee mpaka wanaita Tax na kupelekea masaki, aliye na bati anaachwa akanywee asubuhi chai chapati wenzake wakielekea kwenye bonge la party
Vesi ya tatu washafika
Mox: Dereva funga break tushafika kwenye party
Ngwair: Ebwana ee kumbe bonge la party
Mox: Cheki mademu kibao utazani kitchen party
Ngwair: cheki yule demu aliyevaa skin tight
Mox: Lipo safi si mchezo babaake unaeza ukaonga LAKI
Ngwair: Aa wapi mtu ka Mimi hanipati usawa wenyewe huu wa kulenga kwa manati
Wanendelea hukoo weee.................. Mpaka
Majani: Oya braza mwenye black unaitwa na yule Anti
Mox: Yu kwapi
Majani: Yule aliyevaa kaki
Mox: Anti Vipi
Rah P: Aah Safi nilikua nahitaji tuwe wote kwenye party au unasemaje
Mox: Mi naona Safi

Upande wa Ngwair mwenye LAKI yake na hakubali kuhonga

Ngwair: Samahani wewe Anti uliyevaa shati hivi unaitwa nani
Rah P: Naitwa Bahati
Ngwair: Hivi anti nshawai kukuona wapi
Rah P: Acha longo longo we sema una shng ngapi? (LAKI inatoka bila ubishi 🤣)

Mox : We mazee mpango wako vipi
Ngwair: Mi mazee mbona mpango wangu safi ( Kinyonge LAKI imempata mwenyewe)
Mox: Ushakua usiku twende zetu tukachukue Tax twenzetu tukapige Mikasi

NB; LAKI ya Ngwair iliwindwa zamani sana Mox kabeba tu kisela Ngwair kadaiwa hela na hakukubali pisi Kali hazing'oki bure huku mfukoni ana LAKI na anataka Mikasi, na Mikasi Ina nguvu lazima aliadmiit kauli ya Mox, "Si mchezo babaake unaeza ukaonga LAKI"

Bonge la Track 2004 miaka 20 iliyopita ila bonge la idea
Master Jay anasema hii production ya P.Funk kwenye hii Traki ndio ilimteyemesha kwenye ushindani wao na Ngwair kwake ndio msanii bora wa muda wote
Kuna ukweli flani kwenye hili, au wewe unasemaje?
BTW, Proceed to Rest Easy Cowbama
Hii Ngoma idea yake ilianzia kwa Mox alikua yupo ghetho anarudia haya maneno "kulewa tushalewa kilichobaki Mikasi washikaji milupo tutapata wapi?"

Ngwea akaanzisha verse ya kwanza kuikuta hii ya Mox, kilichofuatia ni balaa ..
 
Siku hizi wasanii wanaimba na hata wanachoandika ni takataka tu

Ova
 
ngwea alikuwa mtundu sana, we fikilia aligundua hiyo ngoma inahitaji mwanzo
Hii Ngoma idea yake ilianzia kwa Mox alikua yupo ghetho anarudia haya maneno "kulewa tushalewa kilichobaki Mikasi washikaji milupo tutapata wapi?"

Ngwea akaanzisha verse ya kwanza kuikuta hii ya Mox, kilichofuatia ni balaa ..
 
Back
Top Bottom