Nyimbo za Chege zina ujumbe murua kuliko za Diamond

Nyimbo za Chege zina ujumbe murua kuliko za Diamond

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Nyimbo za Diamond wa sasa ni takataka tupu na ndio zimepata wafuasi (siyo true fans wa muziki) wengi, maajabu. Nimelinganisha na nyimbo za Chege, huyu bwana ni mwanamziki. Anaimba muziki haswa wenye kila kitu in terms of qualities.

Diamond wa sasa anaimba takataka zinazo haribu vijana wengi huku mtaani. Humo kuna nyimbo zinahamasisha hadi ufirauni, ajabu kuna watu wanamtetea kisa tu maisha yao yanamtegemea yeye.

Abadilike arudishe mziki wa zamani ule ulio mtoa . kuimba takataka kisa unapata pesa haina tofauti na kuuza madawa ya kulevya. Mipovu ruksa kwa waramba miguu ya Diamond.
 
Uzuri wote hao ni wa Kigoma, migebuka na mawese yako kazini.
 
Hiki ndiko anachokitaka Diamond, yaani kusiwepo story yeyote hasa upande wa burudani bila kutajwa yeye!!
Na hii inamfanya apige hela kishenzi!!
 
Na ndo sababu ni genius wa bongo fleva hizo nyimbo za chege mnaimba wabongo tu ila za chibu unazosema za kijinga mpaka Pogba anazisikiliza. Jifunze kutofautisha.
 
Nitajie nyimbo 3 za chage zenye ujumbe na tunzi zinazoifunza jamii.
 
Back
Top Bottom