Nyimbo za Diamond Platnumz hazikosi mistari inayoashiria vitendo vya ngono

Nyimbo za Diamond Platnumz hazikosi mistari inayoashiria vitendo vya ngono

Mukuu123

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2019
Posts
319
Reaction score
1,223
Mimi siyo mtabiri ila album ya uyu kijana mistari ifuatayo huwezi kosa inavyoingia,ukiinama,ikalie ,rungu la kipepe,naingiza taratibu,unavyoidaka Na kuinyonya.

Itoshe kusema kijana kafika mwisho wa uwezo wake naona saa hii viewers anapata sababu ya jina lakini ubora wa kazi hakuna kitu.
 
"Baby papasa kichwa jusi kafiri nisafishe mtaro,na ulivyojaza nyuma fungu mbili nyanya za masalo" hizi ndio nyimbo za WCB...yaani bila kutaja vitendo vya kulana "ndogo" bado hawajaona kama wametoa wimbo mzuri.
Hakuna mtu anaimba matusi kama huyu Mboso halafu watu wanajifanya hawaelewi kuna mambo ni lazima yakemewe kwa nguvu hizi nyimbo zinakuja kuimbwa na watoto ni aibu sana. Hii nyimbo kusikiliza mbele ya wazazi tu au dada zako unaona aibu.
 
Mimi siyo mtabiri ila album ya uyu kijana mistari ifuatayo huwezi kosa inavyoingia,ukiinama,ikalie ,rungu la kipepe,naingiza taratibu,unavyoidaka Na kuinyonya

Itoshe kusema kijana kafika mwisho wa uwezo wake naona saa hii viewers anapata sababu ya jina lakini ubora wa kazi hakuna kitu
Jamaa alianza kuyumba muda mrefu kidogo. Lakini sio yeye tu, almost wasanii wote. Ukiona mtu anafanya vibaya na bado ana trend jua kabisa hata competitors wake hawana afadhali. I think kuna kitu hakipo sawa kwenye industry ya mziki wa hapa nyumbani.

Sijui ni ukosefu wa ubunifu/ elimu ya mziki ndio ugonjwa wa wasanii wetu au ulimbukeni wa mashabiki wetu wa mziki!

Saivi inaweza ikapita hata miaka mitatu hujaskia kwanja ya maana hata moja. Hapa ndipo tulipofika na kwa bahati mbaya wajomba wa tuzo kubwa Africa na Duniani hawana huruma na kazi mbovu. Wako radhi wampe tuzo mtu mmoja hata mara mia as long as anafanya kazi nzuri.

Kwa kweli saivi hatupo vizuri halafu ni kama Africa nzima imeshatushtukia kuwa mziki wetu ni wa ujanja ujanja. Mambo ya ku copy, edit na paste.

Content za nyimbo nyingi ni very poor to the extent kunatumika nguvu nyingi na gharama kubwa sana kwenye shooting ili tu kulazimisha mashabiki waangalie nyimbo youtube. This is sad. Prime purpose ya mziki ni to be listened to, na sio to be watched. Feli kwenye kumfanya mtu apende kusikiliza ngoma yako and you are done for good.

Kwa kweli we need reformation kwenye mziki kama ilivyo kwenye mpira, we are not good enough!

Btw, Nigerians are very good at this craft. We should sit down and take notes.
 
Hili siyo jambo zuri hata kidogo na siyo yeye tu au kundi lake pekee bali wasanii wengi wamelala hapo, bahati mbaya sana anaonekana diamond kwa sababu yeye ndo anaushape muziki wa Tanzania kwa sasa.

Karibu kila wimbo ni lazima ngono ipewe nafasi tena nyimbo zingine zikichochea kwenda kinyume na maumbile
Hii muda mwingine ni kutegemea na kizazi tulichonacho ambapo nyimbo za kuelimisha si kitu tena.

Mmomonyoko wa maadili umeshamiri sana kiasi kwamba haya mambo yanaonekana ni kawaida tu na wasikilizaji wanapenda

Mabadiliko kutoka kizazi hadi kizazi, utandawazi na kukua kwa teknolojia ni kitu ambacho hatuwezi kukizuia na itafika wakati huko mbele wasanii wa kizazi hicho watazidi mbali zaidi ya hawa wa sasa ili kwenda sawa na soko la kizazi chao ambacho siyo hiki cha kuishia kutaja tu tena kwa kufichaficha baadhi ya maneno.
 
Marekani wasanii wote wakubwa unaowajua wanaimba ngono, drugs, pombe na wanafanya poa dunia nzima! Kwani umelazimishwa kumskiliza diamond?? Wabongo mnapenda kujitesa sana!
 
Marekani wasanii wote wakubwa unaowajua wanaimba ngono, drugs, pombe na wanafanya poa dunia nzima! Kwani umelazimishwa kumskiliza diamond?? Wabongo mnapenda kujitesa sana!
Hatuwezi kuzuia vitu hivi
1 mabadiliko kizazi hadi kizazi
2 teknolojia
3 utandawazi
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mimi siyo mtabiri ila album ya uyu kijana mistari ifuatayo huwezi kosa inavyoingia,ukiinama,ikalie ,rungu la kipepe,naingiza taratibu,unavyoidaka Na kuinyonya

Itoshe kusema kijana kafika mwisho wa uwezo wake naona saa hii viewers anapata sababu ya jina lakini ubora wa kazi hakuna kitu
Muziki unasiadia kupunguza mawazo,muziki unaweza kukufanya hata ukaongeza imani (Kwa mfano Michael Jackson na wengineo pamoja na umahiri na umaarufu wao lakini leo hawapo),muziki unakupa kumbukumbu za muda uliopita.

Kwangu mimi Diamond amenivutia katika nyimbo tatu au nne,Kwetu Mbagala,Sikomi,I miss You na ile anayouza madale na kurudi Tandale.Nyingi zilizofuatia hapo ni matusi na ngono tu!!
 
"Baby papasa kichwa jusi kafiri nisafishe mtaro,na ulivyojaza nyuma fungu mbili nyanya za masalo" hizi ndio nyimbo za WCB...yaani bila kutaja vitendo vya kulana "ndogo" bado hawajaona kama wametoa wimbo mzuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kadiri wanavyotoa nyimbo za aina hiyo ndivyo maadili yanamomonyoka zaidi ktk jamii, kwao hela inazidi kuingia.

Wameuza nafsi Kwa shetani with exchange of power, money, ladies.

Malipo yao ni kumletea wafuasi zaidi shetani
 
Jamaa alianza kuyumba muda mrefu kidogo. Lakini sio yeye tu, almost wasanii wote. Ukiona mtu anafanya vibaya na bado ana trend jua kabisa hata competitors wake hawana afadhali. I think kuna kitu hakipo sawa kwenye industry ya mziki wa hapa nyumbani.

Sijui ni ukosefu wa ubunifu/ elimu ya mziki ndio ugonjwa wa wasanii wetu au ulimbukeni wa mashabiki wetu wa mziki!

Saivi inaweza ikapita hata miaka mitatu hujaskia kwanja ya maana hata moja. Hapa ndipo tulipofika na kwa bahati mbaya wajomba wa tuzo kubwa Africa na Duniani hawana huruma na kazi mbovu. Wako radhi wampe tuzo mtu mmoja hata mara mia as long as anafanya kazi nzuri.

Kwa kweli saivi hatupo vizuri halafu ni kama Africa nzima imeshatushtukia kuwa mziki wetu ni wa ujanja ujanja. Mambo ya ku copy, edit na paste.

Content za nyimbo nyingi ni very poor to the extent kunatumika nguvu nyingi na gharama kubwa sana kwenye shooting ili tu kulazimisha mashabiki waangalie nyimbo youtube. This is sad. Prime purpose ya mziki ni to be listened to, na sio to be watched. Feli kwenye kumfanya mtu apende kusikiliza ngoma yako and you are done for good.

Kwa kweli we need reformation kwenye mziki kama ilivyo kwenye mpira, not good enough!

Btw, Nigerians are very good at this craft. We should sit down and take notes.
Mbona wakina six9ine, lil nax, Card B, wanaimba matusi, video zao zimejaa picha chafu na tuzo wanachukuwa na hizohizo nyimbo zao na mkwanja wanaingiza zaidi ya hao unaodhani wapo sahihi. Kwanini mnalazimisha basata wamfungie Diamond!

Kazi ya sanaa ni kuelimisha na kuburudisha, yeye kachagua kuburudisha tena kwa kutumia tafsida. Maana ya kitu ipo kichwani mwako, wewe ndio unatafsiri matusi. Neno "Rungu la kipepe, unavyoidaka, kuinyonya, ukiinama" sio matusi.

Hata wakisema wamfungie hawawezi tena anaweza kuwashtaki na akashinda kesi.

Vitabu vingi vya riwaya, tamthiliya vimejaa maneno ya ukakasi kama hayohayo ya Diamond na vinatumika mashuleni, kwenye majarida magazeti, sijawahi kusikia BAKITA wakilalamika.

Tamthilia kwenye Luninga tena bilashaka unaangalia kwenye luninga yako, zimejaa picha zinazo amasisha ngono lakini TCRA wapo, kwa nini Diamond?

Leo karibia nchi zote za Africa wanatengeneza video za Ngono, na zipo kwenye tube mbalimbali na wanajulikana, na mamlaka ziko kimya. Diamond anachoimba ni afadhali kuliko wengine na uimbaji huohuo ameendelea kuwa nominated kwenye tuzo mbalimbali Duniani na nyingine kushinda.

Dunia ya sasa inapenda nyimbo hizo na ndizo zenye hela ndefu. Hapa bongo karibia 70% wanaimba viashiria kama Diamond, msikilize Gnako, Maua sama, Mabantu nk

Ni vizuri kukijenga kizazi chako katika maadili unayo ona ni sahihi. Dunia ya sasa ilisha chafuka na ndiko hela rahisi zilipo.
 
Back
Top Bottom