Nyimbo za Diamond Platnumz hazikosi mistari inayoashiria vitendo vya ngono

Nyimbo za Diamond Platnumz hazikosi mistari inayoashiria vitendo vya ngono

Mbona wakina six9ine, lil nax, Card B, wanaimba matusi, video zao zimejaa picha chafu na tuzo wanachukuwa na hizohizo nyimbo zao na mkwanja wanaingiza zaidi ya hao unaodhani wapo sahihi. Kwanini mnalazimisha basata wamfungie Diamond!

Kazi ya sanaa ni kuelimisha na kuburudisha, yeye kachagua kuburudisha tena kwa kutumia tafsida. Maana ya kitu ipo kichwani mwako, wewe ndio unatafsiri matusi. Neno "Rungu la kipepe, unavyoidaka, kuinyonya, ukiinama" sio matusi.

Hata wakisema wamfungie hawawezi tena anaweza kuwashtaki na akashinda kesi.

Vitabu vingi vya riwaya, tamthiliya vimejaa maneno ya ukakasi kama hayohayo ya Diamond na vinatumika mashuleni, kwenye majarida magazeti, sijawahi kusikia BAKITA wakilalamika.

Tamthilia kwenye Luninga tena bilashaka unaangalia kwenye luninga yako, zimejaa picha zinazo amasisha ngono lakini TCRA wapo, kwa nini Diamond?

Leo karibia nchi zote za Africa wanatengeneza video za Ngono, na zipo kwenye tube mbalimbali na wanajulikana, na mamlaka ziko kimya. Diamond anachoimba ni afadhali kuliko wengine na uimbaji huohuo ameendelea kuwa nominated kwenye tuzo mbalimbali Duniani na nyingine kushinda.

Dunia ya sasa inapenda nyimbo hizo na ndizo zenye hela ndefu. Hapa bongo karibia 70% wanaimba viashiria kama Diamond, msikilize Gnako, Maua sama, Mabantu nk

Ni vizuri kukijenga kizazi chako katika maadili unayo ona ni sahihi. Dunia ya sasa ilisha chafuka na ndiko hela rahisi zilipo.
Nimesikia wimbo wa Harmonize kuna mistari inahamasisha kula ndogo, eti 'itateleza kuingia Igunga'. Japo si msikilizaji sana ila huwa navutiwa na wao kushindana kwani ndiyo kunawapa chachu ya kuongeza mbinu na ubunifu lakini dah[emoji38][emoji38] ilibidi nicheke.
Yaani eti badala ya lile tundu original la kwichikwichi itateleza mpaka Igunga, in short Bongo flavor artists majority wanatukana sana kwenye nyimbo zao lakini Diamond ndiyo anaonekana zaidi kwa sababu ukubwa wake unaofanya nyimbo zake kuwa ndiyo zinazosikilizwa zaidi. Kile kikohozi cha wavuta bangi ambacho Harmo amekifanya kuwa ni trademark yake angekuwa ni Diamond ile ingekuwa ni big scandal na ingejadiliwa sana mitandaoni.
Hata hao vijana wengine wa WCB hasa Mbosso, yeye Mbosso kwa matusi anamzidi hata Diamond.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hisia za watu na Freemasons inahusu nn? Watu mna vituko na vioja wallah, khaaaah
Imani hizo wanazo watu wenye upungufu wa akili, hao huamini kuwa Freemason ni cult.
 
Sio diamond tu ata za kina wizkidi 90% Ya wasanii wote wakubwa duniani zina ayo mambo shida inayokuandama unaijua mwenyew ata uyo konde si ni ivo ivo au coz mond ndio icon na wizkid je au coz kiingeleza haujui [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom