rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
[emoji3][emoji3][emoji3] wanasupport harakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3] wanasupport harakati
Unanikumbusha Wabunge wetu walicheza Nyegezi. Hizi nyimbo kwangu hauwezi kuzikuta hazina hadhi na heshima kabisa. Ni matusi kwenda mbele.Aibu zaidi ni pale wanapoimba nyimbo hizo mbele ya viongozi...
Na wala akuna anayekemea..!
Mkuu anawapa wateja wanachohitaji. Huo ujinga ndio umemfikisha aliko sasaMimi siyo mtabiri ila album ya uyu kijana mistari ifuatayo huwezi kosa inavyoingia,ukiinama,ikalie ,rungu la kipepe,naingiza taratibu,unavyoidaka Na kuinyonya
Itoshe kusema kijana kafika mwisho wa uwezo wake naona saa hii viewers anapata sababu ya jina lakini ubora wa kazi hakuna kitu
Hayo ni mashart ya illuminantJamaa alianza kuyumba muda mrefu kidogo. Lakini sio yeye tu, almost wasanii wote. Ukiona mtu anafanya vibaya na bado ana trend jua kabisa hata competitors wake hawana afadhali. I think kuna kitu hakipo sawa kwenye industry ya mziki wa hapa nyumbani.
Sijui ni ukosefu wa ubunifu/ elimu ya mziki ndio ugonjwa wa wasanii wetu au ulimbukeni wa mashabiki wetu wa mziki!
Saivi inaweza ikapita hata miaka mitatu hujaskia kwanja ya maana hata moja. Hapa ndipo tulipofika na kwa bahati mbaya wajomba wa tuzo kubwa Africa na Duniani hawana huruma na kazi mbovu. Wako radhi wampe tuzo mtu mmoja hata mara mia as long as anafanya kazi nzuri.
Kwa kweli saivi hatupo vizuri halafu ni kama Africa nzima imeshatushtukia kuwa mziki wetu ni wa ujanja ujanja. Mambo ya ku copy, edit na paste.
Content za nyimbo nyingi ni very poor to the extent kunatumika nguvu nyingi na gharama kubwa sana kwenye shooting ili tu kulazimisha mashabiki waangalie nyimbo youtube. This is sad. Prime purpose ya mziki ni to be listened to, na sio to be watched. Feli kwenye kumfanya mtu apende kusikiliza ngoma yako and you are done for good.
Kwa kweli we need reformation kwenye mziki kama ilivyo kwenye mpira, we are not good enough!
Btw, Nigerians are very good at this craft. We should sit down and take notes.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hisia za watu na Freemasons inahusu nn? Watu mna vituko na vioja wallah, khaaaahMusic ni moja ya nyenzo muhimu ya freemasons.
Freemsons wana hamasisha ushoga (wcb wapo wa kutosha)
ndio agano lake na shetani.ameharibu kweli kizazi hiki, na kwa hela hizo hizo za ngono anajenga hadi misikiti.Mimi siyo mtabiri ila album ya uyu kijana mistari ifuatayo huwezi kosa inavyoingia,ukiinama,ikalie ,rungu la kipepe,naingiza taratibu,unavyoidaka Na kuinyonya.
Itoshe kusema kijana kafika mwisho wa uwezo wake naona saa hii viewers anapata sababu ya jina lakini ubora wa kazi hakuna kitu.
Kweli kabisa Mkuu.Jamaa amechoka.Mimi siyo mtabiri ila album ya uyu kijana mistari ifuatayo huwezi kosa inavyoingia,ukiinama,ikalie ,rungu la kipepe,naingiza taratibu,unavyoidaka Na kuinyonya.
Itoshe kusema kijana kafika mwisho wa uwezo wake naona saa hii viewers anapata sababu ya jina lakini ubora wa kazi hakuna kitu.