Nyimbo za maana zilizotoka hivi karibuni

Nyimbo za maana zilizotoka hivi karibuni

Jux - utaniua (manekee kaua sana sana maana nyimbo za namna hii yeye ndo mchawi wake)
Bright - Ni wewe (huyu dogo nilikuwa na mu under estimate ila kwa hii ngoma kwakweli nimekubari ni mkali sana sana sana ngoma kali sana)
Zaiid - wowow (hii ngoma ina ubunifu mkali japo alichokiimba !!!!)
Chidbees- kababayee (hii ngoma tamu sana beat ya lufa kaua sana na zile violins)
Jux- utaniua kali
Billnas Sina jambo.
 
Ningependa kuwasikia Zaiid na One The Incredible kwenye track moja mahiri.

Zaiid katika "Sijulikani" anakwambia

"Mi ndo rapper mwenye roho nzuri, nikiua rapper napiga dua juu ya kaburi"

Hahaaaa

 
Yaani kuna wasanii wanatajwa humu siwajui wala siawahi kuwasikia.
 
Ba Zuhura,
Nikajua wewe oldschool m-baknaffek wa kina Das Efx na kina PMD.

Alitisha saana kwenye Mix-tape kanda mbovu.
Mi old school lakini new blood nazijua.

Zaiid anaflow kuliko Future.

Sent from my Kimulimuli
 
Jaribu kuchanganya ladha kama Al-Watan uchangamshe kichwa..

Wasikilize kina One the incredible, Zaiid n.k
Rap!!!!!!!!!!!!!!!
You cant be serious.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ochu sheggy - nisamehe bure
Mayunga - nawekeza
 
Back
Top Bottom