samtot
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 258
- 148
Wakati tukiwa kwenye huu nilikuwa nayatafakari sana maneno yake pasi kuyaelewaKatika zooote huu wimbo unanikumbusha mbali sana daaah!! Husna wera ayuu!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati tukiwa kwenye huu nilikuwa nayatafakari sana maneno yake pasi kuyaelewaKatika zooote huu wimbo unanikumbusha mbali sana daaah!! Husna wera ayuu!!??
Hahahah kumbe tulifanyaje sasa ?
Kwa hiyo leo tumepatana Kama Alshabab au HahahaTulipoteana tuu kama Taliban hahahahahahahahaha
Hahahaha huo wimbo ilikua wakati wa kucheza kamba sasa kibinti kimeshabana sketi yake kipindi hicho nyonga imetanuka basi akiruka kijungu kinanesa nesa sasa wakifika kwenye siku ya kwanza utamu hahaha kiuno kinavyobinuliwa ni sheeedah..... lolAmina panda mlima
Siwezi kupanda
Kwann huwezi kupanda?
Naumwa na tumbo
Tumbo hilo kakupa nani?
Kijana hassan
Kwann usikatae ?
Naona utamu
Siku ya kwanza Utamu yes yes utamu
Siku ya pili utamu yes yes utamu
Siku ya tatu utamu yes yes utamu
Siku ya nne ng'aa ng'aa
Hivi akiyetunga nyimbo hii alifilia nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaaa daaah ungekuwa Nyani Ngabu ningekwambia fcuk you. .... unajua kwanini......
We nahisi tulikaa mtaa mmoja au ulikuja kuhamia mtaa ambao sie tulihama hahahahhahahaaa
Hiyo ya yangeyange nipe kucha nyeupe nimefanya sana. Tena nikiwa na kaka zangu, tukienda kwa babu yetu Upanga mtaa wa Malik sijui ule karibu na kwa baba taibali jioni wanapita yangeyange weengiii. Basi tunaanza yangeyange nipe kucha nyeupee hahahahahaha na kweli.....
Huwezi amini hadi sass hivi kucha zangu kama sijapaka hina au rangi ya kucha hizo alama nyeupe zinaonekana daaah
Hahahahahahahahahahaaaa
Kinyuli nyulika mwanangwa wa Jumbe, kavaa nguo mbili, ya tatu kajifunika.Aliye juu aondoke.
Hapo mmefinyana nyumba ya viganja
Ha ha ha kwa baba Taibali break ya saa nne tubavuka barabara kununua Sun Vita! Nimekaa moja ya mtaa off Malik sikutajii.
Mama Nanayakara alikuwa mwalimu wangu wa darasa 7C....na kigugumizi chake. Kasie usiongelee tena mambo ya shule.A aahahahahahahahaa weeweeee kwa mwalimu Ndosi sio na Mama Batalingaya hahahahahahah Mama Nanaayakara ulimkuta?
Jamaniii San vita ya orange na blackcurrant hahahahahaha. I remember baba Taibali.......
Wee ufiche tuu huo mtaa kwenye hiyo Old School Re-union utautaja tuu hehehehehehehehe
sad love story huh...i feel youKatika zooote huu wimbo unanikumbusha mbali sana daaah!! Husna wera ayuu!!??
[emoji23] [emoji23] [emoji23]kuna katoto nilikua nacheza Nako kwa kukarusha juu Na kukadaka. Nakarusha tena Na kukadaka. Nilipo acha kakaniambia "acha us*nge nirushe tena" nikabaki hoi
Kwa hiyo leo tumepatana Kama Alshabab au Hahaha
Fcuk you Kasie Matata
Mama Nanayakara alikuwa mwalimu wangu wa darasa 7C....na kigugumizi chake. Kasie usiongelee tena mambo ya shule.
Sawa panapo majaliwa tutaonana ule mtaa wa pili naona upo na wazee wenzio ngoja niwapisheHahahahaaa haswaaa kama Telaaviv vile hehehehehehehee
Sawa panapo majaliwa tutaonana ule mtaa wa pili naona upo na wazee wenzio ngoja niwapishe
Utaweza sasa na hii miili ya utuuzimani...maana utotoni unabimbirika kama mwanasarakasi hahahhahaWaalaah wakiacha hizo party wanazoandaaga clouds kuzunguka nchi yote halafu wana mziki ndo wanakuwa wanaimba live, wangeandaa tamasha hili la nyimbo za zamani na watuachie tuimbe na kucheza wenyewe. Mbona mngeburudika hahahahaha maana nyimbo zote ningesema na marede yote ningecheza hadi mpira wa tobo bao ningecheza. Hahahahahaa bado zile sarakasi za kuning'inia kwenye bomba halafu unabiringita unatokelezea upande wa pili bila kuachia mikono. Hii niliifanya sana kutokana na kukua na kaka zangu.
Mhhhh kwani kuna muda mzuka wa kunaniii unashuka? Muda wote unanyevua tu asalaleeee utanipa shida hapa inshallah tutakutana Islamabad Mungu akijaliaYaaani leo basi tuu hadi mzuka wa kunanihii umepanda jinsi nilivyo furahi kukumbuka zamani.
Kiukweli nashukuru Mungu utoto wangu haukuwa mbaya nilipata malezi yote mema na ulinzi wa wazazi na ndugu. Ndomaana hapa nina furaha sana hadi kiwi imepanda hehehehehee.
Kuna watu utoto wao ulikuwa mateso chuki na tabu kedekede na imewatokea hivyo sio kwa kupenda ni mazingira waliyoyakuta. ....
Inshallah panapo majaaliwa kama Islamabad basi tutaonana.
Utaweza sasa na hii miili ya utuuzimani...maana utotoni unabimbirika kama mwanasarakasi hahahhaha
Mhhhh kwani kuna muda mzuka wa kunaniii unashuka? Muda wote unanyevua tu asalaleeee utanipa shida hapa inshallah tutakutana Islamabad Mungu akijalia