Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
Hahahaa tatizo Ali ni mbishi hataki kuwa na management nzuri ambayo itamuwezesha kufanya mambo yake kimataifa
Ndy maana hata video zake sio Kali yaan ni low quality,low ideas ,no creativity kwasababu hatoi hela nzur kuwekeza kwenye videos na kutafuta mameneja na team ambayo itamsaidia kufanya vitu kama msanii mkubwa daaah ,
Show kubwa Ila ilikuwa mbovu kasaidiwa tu na wale madansa wa caf ,
Na bora angeperform tu hata nyimbo ya taifa .
Ndy maana hata video zake sio Kali yaan ni low quality,low ideas ,no creativity kwasababu hatoi hela nzur kuwekeza kwenye videos na kutafuta mameneja na team ambayo itamsaidia kufanya vitu kama msanii mkubwa daaah ,
Show kubwa Ila ilikuwa mbovu kasaidiwa tu na wale madansa wa caf ,
Na bora angeperform tu hata nyimbo ya taifa .