MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Soma mashairi ya wimbo SITAKI DEMU wa Juma Nature na ule wa Doing just fine wa Boyz II Men uone tofauti.
Title: Sitaki demu
Artist: Juma Nature
(Verse 1)
Nakuomba usije kwetu mamdogo utatia hasara
Uyo mdogo wangu mwenyewe toka atoke shule hajala
Aaah bwana eh usinifate bwana
We si ukalale uwape mbu faida bwana
Hivi aliyekwambia uzime taa humu ndani nani
Kila ukija nyumbani we unaondoka
Kila ukija nyumbani we unaondoka
Nimetokea upande wa pili nmeenda kwa kina bashir
Na usije kwetu hakuna kitenge wala kanga
Shauri ukija wazazi wangu watakuona mwanga
Nakumbuka ile siku ambayo umenisemelea kwa dingi
Ukadai ya kwamba me uwa nachanganya mitungi
Na kwenye kula ganja kilasiku sijivungi
Ukaondoka na cheko nyuma ukaacha kivumbi
Aya sasa unaona mwenzio umeniachia zogo
Mjeruhi wa simba
Chui mjeruhi wa mbogo
Umesababisha hata majirani wananitupia kisogo
Tena usinibishie ntakupa kidochi chi chi
Tatzo limenisumbua me sitaki unung'unike
Wakati inapita wiki me jombi hasinshike
Na usinilete zile zako za kike kike
Na kuanzia muda huu me naudhu usinshike
Afadhal demu mwenyewe ungekuwa unafunga domo
Hapo ningejipa moyo unalijua somo
Tena angalia sana usinizuge na shikamoo aya nimeghairi nenda kwa huyo huyo J.mo
(chorus)
Walimwengu walikwisha niambia kuwa demu wangu mimi hafai(hafai)
Mimi nikawabishia nikaona wao ndio hawafai
Hivi sasa me najuta sitaki demu sihitaji demu
(Verse:2)
Ukimchekea nyani shambani atakusumbua
Utavuna mabua na usiombee wenzio kujua watakucheka
Kipi kimegusa we kisusa uliyesuswa
Mpaka ukawambia wenzio unanirusha ''unanirusha''
Ukome kunzushia tena
Mkongwe naitwa kibra mwenye money hachunwi
Ili mradi nshapima nmeonekana sina ngoma
Msichana gani mhuni kila siku unaongwa laki
Sitaki demu ebu uko
huyu demu mtoto wa mzee mwalubadu yule mzee mvuv anayeongoza kwa kuvua ngadu
We mtu gani muhuni wanakujua njia zote
(chorus)
Walimwengu walikwisha niambia kuwa demu wangu mimi hafai(hafai)
Mimi nikawabishia nikaona wao ndio hawafai
Hivi sasa me najuta sitaki demu sihitaji demu
Title: Doin just fine
Artist: Boyz II Men
"Doin' Just Fine"
[Nathan:]
There was a time, when I thought life was over and out
When you went away from me
My dying heart made it hard to breathe
Would sit in my room because I didn't want to have to go out
And see you walking by
One look and I'd break right down and cry
Now you say that you made a big mistake
Never meant to take your love away
But you can save your tired apologies
'Cause it may seem hard to believe, but I
[All:]
I'm doin' just fine
Getting along very well without you in my life
I don't need you in my life
But I, I'm doin' just fine
Time made me stronger
You're no longer on my mind
[Shawn:]
You were my earth, my number-one priority
I gave my love to only you
Anything you'd ask of me, I would do
But somewhere down the road
You felt a change in the weather and told
Me that you had to journey on
A kiss in the wind and your love was gone, long gone
Now you say you never meant to play your games
But girl don't you know it's far too late
Because you let our love just fall apart
You no longer have my heart
You don't have my heart
[All:]
I'm doin' just fine
Getting along very well without you in my life
I don't need you in my life
But I, I'm doin' just fine
Time made me stronger
You're no longer on my mind
I don't need you anymore
[Wanya:]
When you said goodbye, I felt so all alone
There were times at night I couldn't sleep
My heart was much too weak to make it on my own
Baby after all the misery and pain you put me through
So unfair to me girl, you're no longer my world
And I ain't missin' you at all
[All:]
I'm fine (I'm doin' just fine baby)
Getting along very well without you in my life
I don't need you in my life
I'm fine (said I'm doin' just fine)
Time made me stronger
You're no longer on my mind
See, baby when you walked away
(I'm doing just fine)
You didn't think that it would end up this way
(Getting along very well without you in my life)
But I knew you'd be coming 'round someday
Just as sure as my name is Wanya
(I don't need you in my life)
But I
Said I'm, I'm doin' just fine
Time made me stronger
You're no longer on my mind
I'm doin' just fine
Getting along very well without you in my life
I don't need you in my life
Title: Sitaki demu
Artist: Juma Nature
(Verse 1)
Nakuomba usije kwetu mamdogo utatia hasara
Uyo mdogo wangu mwenyewe toka atoke shule hajala
Aaah bwana eh usinifate bwana
We si ukalale uwape mbu faida bwana
Hivi aliyekwambia uzime taa humu ndani nani
Kila ukija nyumbani we unaondoka
Kila ukija nyumbani we unaondoka
Nimetokea upande wa pili nmeenda kwa kina bashir
Na usije kwetu hakuna kitenge wala kanga
Shauri ukija wazazi wangu watakuona mwanga
Nakumbuka ile siku ambayo umenisemelea kwa dingi
Ukadai ya kwamba me uwa nachanganya mitungi
Na kwenye kula ganja kilasiku sijivungi
Ukaondoka na cheko nyuma ukaacha kivumbi
Aya sasa unaona mwenzio umeniachia zogo
Mjeruhi wa simba
Chui mjeruhi wa mbogo
Umesababisha hata majirani wananitupia kisogo
Tena usinibishie ntakupa kidochi chi chi
Tatzo limenisumbua me sitaki unung'unike
Wakati inapita wiki me jombi hasinshike
Na usinilete zile zako za kike kike
Na kuanzia muda huu me naudhu usinshike
Afadhal demu mwenyewe ungekuwa unafunga domo
Hapo ningejipa moyo unalijua somo
Tena angalia sana usinizuge na shikamoo aya nimeghairi nenda kwa huyo huyo J.mo
(chorus)
Walimwengu walikwisha niambia kuwa demu wangu mimi hafai(hafai)
Mimi nikawabishia nikaona wao ndio hawafai
Hivi sasa me najuta sitaki demu sihitaji demu
(Verse:2)
Ukimchekea nyani shambani atakusumbua
Utavuna mabua na usiombee wenzio kujua watakucheka
Kipi kimegusa we kisusa uliyesuswa
Mpaka ukawambia wenzio unanirusha ''unanirusha''
Ukome kunzushia tena
Mkongwe naitwa kibra mwenye money hachunwi
Ili mradi nshapima nmeonekana sina ngoma
Msichana gani mhuni kila siku unaongwa laki
Sitaki demu ebu uko
huyu demu mtoto wa mzee mwalubadu yule mzee mvuv anayeongoza kwa kuvua ngadu
We mtu gani muhuni wanakujua njia zote
(chorus)
Walimwengu walikwisha niambia kuwa demu wangu mimi hafai(hafai)
Mimi nikawabishia nikaona wao ndio hawafai
Hivi sasa me najuta sitaki demu sihitaji demu
Title: Doin just fine
Artist: Boyz II Men
"Doin' Just Fine"
[Nathan:]
There was a time, when I thought life was over and out
When you went away from me
My dying heart made it hard to breathe
Would sit in my room because I didn't want to have to go out
And see you walking by
One look and I'd break right down and cry
Now you say that you made a big mistake
Never meant to take your love away
But you can save your tired apologies
'Cause it may seem hard to believe, but I
[All:]
I'm doin' just fine
Getting along very well without you in my life
I don't need you in my life
But I, I'm doin' just fine
Time made me stronger
You're no longer on my mind
[Shawn:]
You were my earth, my number-one priority
I gave my love to only you
Anything you'd ask of me, I would do
But somewhere down the road
You felt a change in the weather and told
Me that you had to journey on
A kiss in the wind and your love was gone, long gone
Now you say you never meant to play your games
But girl don't you know it's far too late
Because you let our love just fall apart
You no longer have my heart
You don't have my heart
[All:]
I'm doin' just fine
Getting along very well without you in my life
I don't need you in my life
But I, I'm doin' just fine
Time made me stronger
You're no longer on my mind
I don't need you anymore
[Wanya:]
When you said goodbye, I felt so all alone
There were times at night I couldn't sleep
My heart was much too weak to make it on my own
Baby after all the misery and pain you put me through
So unfair to me girl, you're no longer my world
And I ain't missin' you at all
[All:]
I'm fine (I'm doin' just fine baby)
Getting along very well without you in my life
I don't need you in my life
I'm fine (said I'm doin' just fine)
Time made me stronger
You're no longer on my mind
See, baby when you walked away
(I'm doing just fine)
You didn't think that it would end up this way
(Getting along very well without you in my life)
But I knew you'd be coming 'round someday
Just as sure as my name is Wanya
(I don't need you in my life)
But I
Said I'm, I'm doin' just fine
Time made me stronger
You're no longer on my mind
I'm doin' just fine
Getting along very well without you in my life
I don't need you in my life