msukule mzembe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 253
- 302
Kama ilivyo kwa wanaume wengi hata mimi pia nimetokea kupenda nyimbo za zuchu na kuziacha siwezi. mimi kunikuta naimba KWIKWI ni jambo la kawaida
[emoji16][emoji16][emoji16]
Njia gani nitumie kuepusha hilo maana naona hata wake zangu na watoto wangu wanaanza kufata nyayo zangu
Nawasilisha Cc: msukule mzembe
@macalister
[emoji16][emoji16][emoji16]
Njia gani nitumie kuepusha hilo maana naona hata wake zangu na watoto wangu wanaanza kufata nyayo zangu
Nawasilisha Cc: msukule mzembe
@macalister