Ni vijiji vya waoga tu ndivyo vinavyoweza kuhama maskani yao ya asili na kuacha makaburi ya mababu zao nyuma eti kwa kukimbia nyoka!Kijiji kikiwa na Koboko huwa kijiji kinahama. Halafu uje utwambie mlikua mnawaua kwa mawe?
Kwanza wakishaona hatari huwa wanaanzisha msaka kwa kugawa himaya kwa kila mmoja kujimilikisha eneo la kutosha kwa ajili ya kulilinda
Unaleta mambo ya Kisu-**** sasa! Swila ni huyo huyo cobra!kwenye hiyo video huyo sio black mamba ni Swira.
Hicho Kijiji watakuwa wanaishi wanaume wa buzaNi vijiji vya waoga tu ndivyo vinavyoweza kuhama maskani yao ya asili na kuacha makaburi ya mababu zao nyuma eti kwa kukimbia nyoka!
Aisee hao wakiingiia kwenye vijiji kama ilivyotajwa hapa ni lazima kwanza watu wahama ili tatizo lishughulikiwe.Hicho Kijiji watakuwa wanaishi wanaume wa buza
Ni vijiji vya waoga tu ndivyo vinavyoweza kuhama maskani yao ya asili na kuacha makaburi ya mababu zao nyuma eti kwa kukimbia nyoka!
Kwa wazee wa kisukuma ni kweli. Ila si kwa mikono tupu.Sasa Huwa ni sinema ile mzee au ? Yale ma elimu tu mbona urambo kuna vichwa vinawakamata kwa ishu za kwenda kuwasukuma kwa wazee wa vilinge.
Huyo we mbwembwe zake zote piga kichwani tu hata na chelewa kwisha kaziSijui mwamba kamuuaje. Au alimkuta kafa?
Kuwa serious basi.Huyo we mbwembwe zake zote piga kichwani tu hata na chelewa kwisha kazi
Huyu Ni mwenyewe , nimekutana naye mala mbili!
Kwa nn aache kutumia technology ndugu yangu?? Unamaanisha nn unaposema aache kutumia chartgpt U deepseek?Mkuu acha kutumia AI
Huyo ni kama bata tu.Kuwa serious basi.
Hapo anawinda, akiamua kutimka mwili wake unalala chini ili mkimbizane.Apo ndugu kwa speed iyo haufiki mbali.
Labda alijua wewe baniani maana hao ndio uwaita kwa miruzi na kucheza nao ..Kuna sehemu kuna mto nilikuwa nataka nioge,nikaanza kupiga uluzi huku najiandaa kuvua nguo,ghafla naona mwamba anatokea kwenye kichaka kichwa kiko juu anakuja kwangu fasta,ilinibidi nikimbie kuokoa maisha yangu.Ambacho sikujua,ni ule mluzi ndio ulimuita au aliniona kuwa natishia tu usalama wake akaamua kunitokea...
Nakubaliana na wewekwenye hiyo video huyo sio black mamba ni Swira.
Umetaja spaghetti umenikumbisha Sicily.Nyegele anamla kama spaghetti
Hivi Badala ya kumpelekea jungu la uji kwanini asipuliziwe sumu kwa kutumia kipulizi chenye nguvu kinachoweza kurusha dawa umbali mrefu ( mt 20-30)?Aisee hao wakiingiia kwenye vijiji kama ilivyotajwa hapa ni lazima kwanza watu wahama ili tatizo lishughulikiwe.
Uzuri wa Koboko ni mmoja, hapandi kelee na interactions. Wanapoona shughuli za kibinaadam zinaanza kuingia mahali basi watasababisha madhara na kuamua kuhama mazima.
Tabora ilowahi kutokea, Koboko walivamia viji, siyo kijiji, wakawa wanaua watu na mifugo. Shughuli za kilmo na kuchunga zikasimama, jambo likafika hadi bungeni ikaombwa Jeshi lipelekwe kupambana nao. Wakaambiwa hiyo siyo namna ya kupamba na Koboko, watahatarisha maisha ya asari wetu bila sababu, swala likashughulikiwa kwa sheria za asili likaisha. Haimaanishi kuwa haiwezekani kumuua, wakijichanganya huwa wanauawa kama kawaida, bu the risks na hasa wakishagundua wanawindwa
Tabora: Nyoka Koboko amekunywa uji wa Moto, amkimbiza Mganga wa Kienyeji | JamiiForums Tabora: Nyoka Koboko amekunywa uji wa Moto, amkimbiza Mganga wa Kienyeji
Aisee mavazi hayo yanapatikana wapi mkuu? Nayatafuta sana.Nyoka yeyeto unaweza mdhibiti kwa kuvaa mavazi maalumu mfano kama yale ya kufundishia mbwa meno yeyeto hayapenyi plus helmet ngumu yenye miwani.