Aisee hao wakiingiia kwenye vijiji kama ilivyotajwa hapa ni lazima kwanza watu wahama ili tatizo lishughulikiwe.
Uzuri wa Koboko ni mmoja, hapandi kelee na interactions. Wanapoona shughuli za kibinaadam zinaanza kuingia mahali basi watasababisha madhara na kuamua kuhama mazima.
Tabora ilowahi kutokea, Koboko walivamia viji, siyo kijiji, wakawa wanaua watu na mifugo. Shughuli za kilmo na kuchunga zikasimama, jambo likafika hadi bungeni ikaombwa Jeshi lipelekwe kupambana nao. Wakaambiwa hiyo siyo namna ya kupamba na Koboko, watahatarisha maisha ya asari wetu bila sababu, swala likashughulikiwa kwa sheria za asili likaisha. Haimaanishi kuwa haiwezekani kumuua, wakijichanganya huwa wanauawa kama kawaida, bu the risks na hasa wakishagundua wanawindwa
Tabora: Nyoka Koboko amekunywa uji wa Moto, amkimbiza Mganga wa Kienyeji | JamiiForums
Tabora: Nyoka Koboko amekunywa uji wa Moto, amkimbiza Mganga wa Kienyeji