Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wapo pale sababu ya NEC na polisiJambo zuri ni kwamba hata ccm wenyewe wanajua kuwa hawakubaliki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo pale sababu ya NEC na polisiJambo zuri ni kwamba hata ccm wenyewe wanajua kuwa hawakubaliki
pamoja na wanafunzi wao na wenyeviti wa mitaa+mabalozi nyumba 10Apo bado kundi la walimu wanao lazimishwa kwenda kwenye mikutabo bila kupenda
Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.
Andiko hili litakua fupi sana.
Hesabu huwa haidanganyi ,
Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.
Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.
Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini
300×2=600
Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.
Hivyo ukichukua
100+600=700
Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100
Hivyo chukua 1
100+700=800
Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200
Hivyo inakua
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .
Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
Rais kusifuwa kwa idadi ya wahudhuriaji wa mikutano yenye uhamasishaji wa kiwango cha kitaifa ni udhaifu mkubwa wa kiuongozi.Ni sawa na kusema CDM wanapokea RUSHWA bila uthibitisho ila mtoa RUSHWA hatakiwi au halaumiwi na wala hakanushi au hashtaki wanaomtuhumu.Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.
Andiko hili litakua fupi sana.
Hesabu huwa haidanganyi ,
Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.
Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.
Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini
300×2=600
Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.
Hivyo ukichukua
100+600=700
Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100
Hivyo chukua 1
100+700=800
Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200
Hivyo inakua
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .
Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
Weka ukweliHuu ni uongo 100%
Halafu bado hawamwelewi naye hajawaelewa kwa takriban miaka minne sasa.Ccm wanajiandaa upepo wenyewe(Pampu inayojijaza upepo) wakitarajia matokeo chama.Mkuu kwa mikutano ile ya mama hata watu 800 hawafiki. Kwa magari yale 150 sawa na watu 300 plus hao uliosema anajikuta anahutubia watu wale wale mikoa yote anatembea nao hao hao.
Sijui hawakereki na hiyo hali au vipiHalafu bado hawamwelewi naye hajawaelewa kwa takriban miaka minne sasa.Ccm wanajiandaa upepo wenyewe(Pampu inayojijaza upepo) wakitarajia matokeo chama.
Wakipokea ndege,wanapishana,wakizindua miradi nk watu wale wale na hotuba/takwimu zile zile kila pahala.
Watanganyika tujiongeze,hawa Watawala hawana jipya na wametepeta kitambo.
Tuandike Katiba yetu na ku-renovate Taifa letu.
Hahahapamoja na wanafunzi wao na wenyeviti wa mitaa+mabalozi nyumba 10
Oyaa, ukweli ni kwamba, Nchi hiii Ndani ya CCM anayekubalika ni MAKONDA.Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.
Andiko hili litakua fupi sana.
Hesabu huwa haidanganyi ,
Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.
Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.
Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini
300×2=600
Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.
Hivyo ukichukua
100+600=700
Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100
Hivyo chukua 1
100+700=800
Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200
Hivyo inakua
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .
Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
Sio kweliOyaa, ukweli ni kwamba, Nchi hiii Ndani ya CCM anayekubalika ni MAKONDA.
ni kweliWakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.
Andiko hili litakua fupi sana.
Hesabu huwa haidanganyi ,
Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.
Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.
Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini
300×2=600
Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.
Hivyo ukichukua
100+600=700
Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100
Hivyo chukua 1
100+700=800
Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200
Hivyo inakuwa
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .
Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
Mimi napinga.Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.
Andiko hili litakua fupi sana.
Hesabu huwa haidanganyi ,
Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.
Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.
Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini
300×2=600
Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.
Hivyo ukichukua
100+600=700
Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100
Hivyo chukua 1
100+700=800
Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200
Hivyo inakuwa
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .
Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
Jumlisha wehu wote na matahira wa eneo husika tuchukulie hesabu ya chini halmashauri ina vichaa na matahira 100, ukiplus unapata 1000+100=1100Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.
Andiko hili litakua fupi sana.
Hesabu huwa haidanganyi ,
Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.
Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.
Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini
300×2=600
Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.
Hivyo ukichukua
100+600=700
Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100
Hivyo chukua 1
100+700=800
Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200
Hivyo inakuwa
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .
Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
Mama yangu nikimkuta kwenye hizi fuso atachezea mboko mpka homeKuna hawa wa kusombwa kama mifugo toka vijijini
Umemaliza mkuuJumlisha wehu wote na matahira wa eneo husika tuchukulie hesabu ya chini halmashauri ina vichaa na matahira 100, ukiplus unapata 1000+100=1100
Sijui mkuuWaafrika ni watu dhaifu sana hasa kwenye kutumia akili. Je, ni mazingira, asili au nini hasa kinatufanya tuwe watu wa hovyo namna hii?
Hamsini na Mwenge , au makam mwenyekiti, katibu , makam ,waziri mkuu bado cha mtoto kwa idadi iyo ,ndogo sanaMimi napinga.
Msafara wa rais ukiwa na magari mengi hayazidi hamsini.