Nyomi katika mikutano ya mwenyekiti CCM, robo 3 ni watu wake katika msafara. Hesabu hii hapa

Nyomi katika mikutano ya mwenyekiti CCM, robo 3 ni watu wake katika msafara. Hesabu hii hapa

Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Andiko hili litakua fupi sana.

Hesabu huwa haidanganyi ,

Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.

Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.

Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini

300×2=600

Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.

Hivyo ukichukua
100+600=700

Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100

Hivyo chukua 1

100+700=800

Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200

Hivyo inakua
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .

Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.


Huu ni uongo 100%
 
Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Andiko hili litakua fupi sana.

Hesabu huwa haidanganyi ,

Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.

Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.

Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini

300×2=600

Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.

Hivyo ukichukua
100+600=700

Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100

Hivyo chukua 1

100+700=800

Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200

Hivyo inakua
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .

Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
Rais kusifuwa kwa idadi ya wahudhuriaji wa mikutano yenye uhamasishaji wa kiwango cha kitaifa ni udhaifu mkubwa wa kiuongozi.Ni sawa na kusema CDM wanapokea RUSHWA bila uthibitisho ila mtoa RUSHWA hatakiwi au halaumiwi na wala hakanushi au hashtaki wanaomtuhumu.
Uongozi wa Taifa haitakiwi kutegemea apendacho Kiongozi bali wanaoongozwa na but ndiyo Mkataba.
Tuandike miongozo yetu katika kitabu chetu yaani Katiba,maana Wahenga wametuasa "mali bila Daftari,...."
 
Mkuu kwa mikutano ile ya mama hata watu 800 hawafiki. Kwa magari yale 150 sawa na watu 300 plus hao uliosema anajikuta anahutubia watu wale wale mikoa yote anatembea nao hao hao.
Halafu bado hawamwelewi naye hajawaelewa kwa takriban miaka minne sasa.Ccm wanajiandaa upepo wenyewe(Pampu inayojijaza upepo) wakitarajia matokeo chama.
Wakipokea ndege,wanapishana,wakizindua miradi nk watu wale wale na hotuba/takwimu zile zile kila pahala.
Watanganyika tujiongeze,hawa Watawala hawana jipya na wametepeta kitambo.
Tuandike Katiba yetu na ku-renovate Taifa letu.
 
Halafu bado hawamwelewi naye hajawaelewa kwa takriban miaka minne sasa.Ccm wanajiandaa upepo wenyewe(Pampu inayojijaza upepo) wakitarajia matokeo chama.
Wakipokea ndege,wanapishana,wakizindua miradi nk watu wale wale na hotuba/takwimu zile zile kila pahala.
Watanganyika tujiongeze,hawa Watawala hawana jipya na wametepeta kitambo.
Tuandike Katiba yetu na ku-renovate Taifa letu.
Sijui hawakereki na hiyo hali au vipi
 
Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Andiko hili litakua fupi sana.

Hesabu huwa haidanganyi ,

Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.

Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.

Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini

300×2=600

Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.

Hivyo ukichukua
100+600=700

Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100

Hivyo chukua 1

100+700=800

Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200

Hivyo inakua
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .

Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
Oyaa, ukweli ni kwamba, Nchi hiii Ndani ya CCM anayekubalika ni MAKONDA.



Uliona Samia kaingia Wilaya Fulani,, wewe jua kwamba ,MA Bus yamesomba watu usiku kucha kutoka Wilaya mbalimbali.


SAMIA SULUHU HANA HUO MVUTO, HANAAA!! NA HAO WANAOSOMBWA NI WANA CCM.
 
Mnyonge mnyongeni mumeona hiyo Nyomi ya Sumbawanga?!

Sijui anaogopa nini Uchaguzi uwe HURU na wa HAKI kwakweli sijui.

Au ni mazoea tu ya kuiba Kula.
 
Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Andiko hili litakua fupi sana.

Hesabu huwa haidanganyi ,

Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.

Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.

Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini

300×2=600

Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.

Hivyo ukichukua
100+600=700

Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100

Hivyo chukua 1

100+700=800

Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200

Hivyo inakuwa
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .

Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
ni kweli
 
Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Andiko hili litakua fupi sana.

Hesabu huwa haidanganyi ,

Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.

Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.

Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini

300×2=600

Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.

Hivyo ukichukua
100+600=700

Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100

Hivyo chukua 1

100+700=800

Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200

Hivyo inakuwa
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .

Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
Mimi napinga.
Msafara wa rais ukiwa na magari mengi hayazidi hamsini.
 
Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Andiko hili litakua fupi sana.

Hesabu huwa haidanganyi ,

Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.

Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.

Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini

300×2=600

Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.

Hivyo ukichukua
100+600=700

Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100

Hivyo chukua 1

100+700=800

Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200

Hivyo inakuwa
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .

Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
Jumlisha wehu wote na matahira wa eneo husika tuchukulie hesabu ya chini halmashauri ina vichaa na matahira 100, ukiplus unapata 1000+100=1100
 
Waafrika ni watu dhaifu sana hasa kwenye kutumia akili. Je, ni mazingira, asili au nini hasa kinatufanya tuwe watu wa hovyo namna hii?
 
Back
Top Bottom