Nyomi katika mikutano ya mwenyekiti CCM, robo 3 ni watu wake katika msafara. Hesabu hii hapa

Nyomi katika mikutano ya mwenyekiti CCM, robo 3 ni watu wake katika msafara. Hesabu hii hapa

Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Andiko hili litakua fupi sana.

Hesabu huwa haidanganyi ,

Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.

Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.

Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini

300×2=600

Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.

Hivyo ukichukua
100+600=700

Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100

Hivyo chukua 1

100+700=800

Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200

Hivyo inakuwa
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .

Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
Naona uko sahihi vile+wasanii 100 +wanaokwenda Kwa ajili ya kuwaona wasanii tu 100 +watoto 200=1300+ madereva 300=1600
 
CCM wanayajua yote hayo na 2025 watahangaika sana hawa jamaa, Jiwe alipiga Jiwe na mwisho kuizika rasmi CCM kabla hajaondoka Duniani.
 
Wakuu amani ya Bwana ikiwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Andiko hili litakua fupi sana.

Hesabu huwa haidanganyi ,

Kumekua na propaganda nyingi za kusifia mikutano ya mwenyekiti wa ccm kwamba mikutano yake inakua na nyomi(watu wengi) lengo ni kuadaa watu kwamba mwenyekiti wa ccm anakubalika, wakati sio kweli.

Ukweli wa mambo katika nyomi wanayosema wenda robo tatu ni watu anaokua nao kwenye msafara wake kwa hesabu ya kawaida tu.

Chukulia msafara wa magari ni 300, apa namanisha jumla ya magari ya viongozi na idara zote katika mkoa, plus mawaziri, plus wa mwenyekiti mwenyewe, na chukulia kila gari iwe na watu 2 kwa wastani wa chini

300×2=600

Kwa idadi iyo apo juu jumlisha askari kanzu (kutoka vyombo vya ulinzi ) ambao ujichanganya kwenye nyomi, wastani wa chini tuseme 100.

Hivyo ukichukua
100+600=700

Kuna viongozi wa chama chake katika mkoa husika lazima wawepo katika mikutono yake hasa wa kuanzia wilaya mpaka mkoa wastani wa chini 100

Hivyo chukua 1

100+700=800

Kwa idadi tajwa hapo juu namanisha watu 800 tiyari ni mkutano mkubwa tu, na kwa idadi tajwa hapo juu jumlisha watu wa kubebwa kwanye malori wastani wa chini 200

Hivyo inakuwa
200+800=1000 nyomi tiyari ,kinachobakia ni wapambe kupiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii .

Mwisho
Machawa wote waione kwenye meza zao.
Wanafunzi mana lazima shule zote zifungwe na walimu na watu wa halamshauri ya sehemu husika😃😃😃
 
Wasanii ndio sumaku ya kujaza watu kwenye mikutano. Mafuriko ya watu wengi wanakuja kuona wasanii wakubwa bure.
 
Kuna watu mnafikiri aisee 🤔
Yale magari tuliyohesabu zaidi ya 120, kila gari watu watano minimum( si unajua mafuta ya bure) unapata watu karibu 800. Plus wajumbe na mabalozi ambao lazima wahudhurie kwa maelekezo.
 
Wanafunzi mana lazima shule zote zifungwe na walimu na watu wa halamshauri ya sehemu husika😃😃😃
Kwa mikoni pekee shule moja ya msingi inajaza takribani 300 hadi 500 na siku ya ugeni wa kotaifa huwa hawasomi na walimu wanapumzika siku hiyo ni kama Outing na wanafunzi wanafurahi sana. Hivyo shule mbili tatu za karibu zinamwagwa zote.
 
Yale magari tuliyohesabu zaidi ya 120, kila gari watu watano minimum( si unajua mafuta ya bure) unapata watu karibu 800. Plus wajumbe na mabalozi ambao lazima wahudhurie kwa maelekezo.
Kweli kabisa, Nashangaa mbna watu nyomi na mtaani kila mtu busy na kazi.. anasema siwezi acha mambo yangu kufuata ujinga.
 
Kweli kabisa, Nashangaa mbna watu nyomi na mtaani kila mtu busy na kazi.. anasema siwezi acha mambo yangu kufuata ujinga.
Wapambe wanamdanganya mama, bora kwenda sehem ukakutana na watu 10 ,then unajua namna ya kujipanga ,kuliko tengenezewa nyomi bandia , ningekua mimi machawa ningewavulumisha wajute
 
Ukijumlisha na vibaka wanaokwenda kupora simu za watu 4000+100=4100 nyomi tayari
 
Back
Top Bottom