#COVID19 Nyomi ya maandamano kupinga chanjo nçhini Uingereza: Kwa wale mbumbumbu wanaodhani upinzani wa chanjo ya corona upo TZ tu!!

#COVID19 Nyomi ya maandamano kupinga chanjo nçhini Uingereza: Kwa wale mbumbumbu wanaodhani upinzani wa chanjo ya corona upo TZ tu!!

Hii inaenda sawa pia na watu walioaminishwa chanjo inafaa, ikatokea kuwaeleza facts kuhusu madhara ya chanjo kinyume na Imani zao bado wataendelea kukataa
Matokeo ya waliochanja yako wazi kaka
 
Zombie hawataamini maana wanaamini chanjo inazuia maambukizi na vifo.

Ndo maana mtu mashuhuri akiugua akiwa hajachanjwa utasikio kwa sababu hakuchanjwa.Ila wanaokufa hata baada ya kuchanjwa hawatajwi hasa hapa TZ
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Jacob Desvarieux mwanzilishi wa Band ya Kassav na dancing style ya Zouk, alikufa kwa covid 19, July 30/2020, akiwa amechanjwa chanjo 3..Bado aliambukizwa na kufa hatimaye kuzikwa kwao Guadelope.
Na huko mitaani alipchanja wanakufa,sijui kwann
 
Back
Top Bottom