NYON, USWIZI: Droo ya Ligi ya UEFA; Bayern v R.Madrid, Liverpool v Roma! Droo ya EUROPA League; Arsenal apewa Atletico

NYON, USWIZI: Droo ya Ligi ya UEFA; Bayern v R.Madrid, Liverpool v Roma! Droo ya EUROPA League; Arsenal apewa Atletico

Timu Zote Zinazoanza Home Katika First Leg (Liverpool, Bayern, Arsenal and Marseille) Ndiyo Zitakazocheza Final.

Kwahiyo Finals Zitakuwa Hivi.

1) Bayern v/s Liverpool ([HASHTAG]#UCL[/HASHTAG])

2) Arsenal v/s Marseille ([HASHTAG]#UEL[/HASHTAG])


KAMA KUNA ANAEBISHA BASI NAMUOMBA AHIFADHI HII POST.

NOTE: USINIBISHE SASAHIVI BALI SUBIRI BAADA YA SEMI FINAL KUMALIZIKA NDIYO UJE NA HOJA.
 
ila hawajui kuwa mancity haijawahi hata fika nusu fainali ya uefa champions league.
Kumbe eeeeh. Mimi nilijua msimu wa 2015/16 walitinga nusu fainali na kucheza na Real Madrid. Gemu ya home kwao wakatoka suluhu, ila wakapigwa goli moja ugenini. Ama UCL nayoijua mimi ni tofauti na unayoijua wewe mkuu barafuyamoto
 
Kumbe eeeeh. Mimi nilijua msimu wa 2015/16 walitinga nusu fainali na kucheza na Real Madrid. Gemu ya home kwao wakatoka suluhu, ila wakapigwa goli moja ugenini. Ama UCL nayoijua mimi ni tofauti na unayoijua wewe mkuu barafuyamoto
Yawezekana nimesahau kutokana na rekodi yao mbovu ulaya.
Hii haiifanyi iwe timu bora au timu zinazoifunga ziwe bora.
 
Timu Zote Zinazoanza Home Katika First Leg (Liverpool, Bayern, Arsenal and Marseille) Ndiyo Zitakazocheza Final.

Kwahiyo Finals Zitakuwa Hivi.

1) Bayern v/s Liverpool ([HASHTAG]#UCL[/HASHTAG])

2) Arsenal v/s Marseille ([HASHTAG]#UEL[/HASHTAG])


KAMA KUNA ANAEBISHA BASI NAMUOMBA AHIFADHI HII POST.

NOTE: USINIBISHE SASAHIVI BALI SUBIRI BAADA YA SEMI FINAL KUMALIZIKA NDIYO UJE NA HOJA.
Faida kubwa huwa kwa yule ambaye anamalizia gemu nyumbani.
 
Waingereza na mashabiki wa liver wanaamini Mancity ni timu bora kabisa duniani kwa sasa hivyo kuitoa kwa goli za kutosha basi kunawapa wao uwezo wa kumfunga yeyote ila hawajui kuwa mancity haijawahi hata fika nusu fainali ya uefa champions league.
Hivi hata mchezaji mmoja mmoja, unawezaje walinganisha na kina Ronaldo, Modric, Casemiro, Marcelo, Verane, etc na kina Salah, Mane, Firmino, etc ambao hata hawajashinda vitu.

Napenda wakutane na Real fainali wapewe somo, tena inaweza kuwa fainali moja ya one sided sana!!
Acha chuki.. chambua mpira acha mapenz.. ulitegemea roma kumtoa barcelona.. ulitegemea juve kushinda goli 3 bernabeu.. ulitegeme chelsea achukue kombe mbele yavtimu bora enz hizo bayern wakay chelsea alkuwa wa 6 kwa ligi.. ulitegemea Liverpool kuchukua ucl mbele ya ac milan aliyekuwa mbele goli 3.. mpira ni.mchezo wa mbinu.. mbinu zako zikiwin against mpinzan wako unajipigia tu, ndo maan man u amewah kumla arsenal goli 8.. na huwez kuidharau man city utakuwa hujui soka
 
Acha chuki.. chambua mpira acha mapenz.. ulitegemea roma kumtoa barcelona.. ulitegemea juve kushinda goli 3 bernabeu.. ulitegeme chelsea achukue kombe mbele yavtimu bora enz hizo bayern wakay chelsea alkuwa wa 6 kwa ligi.. ulitegemea Liverpool kuchukua ucl mbele ya ac milan aliyekuwa mbele goli 3.. mpira ni.mchezo wa mbinu.. mbinu zako zikiwin against mpinzan wako unajipigia tu, ndo maan man u amewah kumla arsenal goli 8.. na huwez kuidharau man city utakuwa hujui soka
Umeanza kushabikia mpira msimu uliopita, sio kosa lako.
Siidharau Mancity, ila rekodi HAZIDANGANYI, ulaya ni wachovu na pia rekodi hazidanganyi, REAL NDIO KINGS OF EUROPE, hutaki acha!!
 
Umeanza kushabikia mpira msimu uliopita, sio kosa lako.
Siidharau Mancity, ila rekodi HAZIDANGANYI, ulaya ni wachovu na pia rekodi hazidanganyi, REAL NDIO KINGS OF EUROPE, hutaki acha!!
"Hutaki acha" always ni kauli za watu wadhaifu..eti nimeanza kushabikia soka msimu uliopita.... hahahahahaha
 
Yani nikishaona timu inamchezaji anapenda penda sifa huwa siikubali hata kidogo,,madrid akiondoka ronaldo tu sina shida nao
FB_IMG_15170910129924620.jpg
 
REAL MADRID VS AS ROMA.. UCL FINAL, REAL MADRID WIN

SALZBURG VS ATLETICO MADRID.. UEL FINAL, AT MADRID WIN
 
14:43 13 Apr
Shared


Roma published ticket information on their website for their Champions League semi-final with Liverpool...

Yesterday!

Plenty of conspiracy theories on Twitter.

But there always is for every Uefa draw ("oh they've kept those teams apart", "they're trying to get whoever to the final"

hiyo ni tweet ya bbc

Bet hiyo....lakini Liver anaanzia home siyo away kama hiyo.
 
Waingereza na mashabiki wa liver wanaamini Mancity ni timu bora kabisa duniani kwa sasa hivyo kuitoa kwa goli za kutosha basi kunawapa wao uwezo wa kumfunga yeyote ila hawajui kuwa mancity haijawahi hata fika nusu fainali ya uefa champions league.
Hivi hata mchezaji mmoja mmoja, unawezaje walinganisha na kina Ronaldo, Modric, Casemiro, Marcelo, Verane, etc na kina Salah, Mane, Firmino, etc ambao hata hawajashinda vitu.

Napenda wakutane na Real fainali wapewe somo, tena inaweza kuwa fainali moja ya one sided sana!!
Kwanza fainali wameshaingia hao Liverpool. Tusubiri tuone kwanza mtanange. Amini nakwambia hamna mechi ngumu kama ya Liverpool na Roma. Madrid anaonekanaga anamechi ngumu ila utashangaa mechi inakua nyepesi hadi watu wataanza kutukana humu jikwaani.
 
Back
Top Bottom