Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
kamgombanisha mama na sisi watu wa chinHapo madelu ndo kajiona genius kweri kweri....
Mambo ya serikali haya didi ake acha tu, wana danganya toto nyingi sana, ukija kwenye utekelezaji utachoka. Labda uwe na cheo cheo ndio utakula mema ya nchiJamani wengine hatuelewi hata nchi inakwendaje.. emu tuambieni kwa mapana kumtokea nini huko mabenk?
Lenie kaa tu huko, na nchi imeuzwa
Hayo hayanihusu bana π€£Mambo ya serikali haya didi ake acha tu, wana danganya toto nyingi sana, ukija kwenye utekelezaji utachoka. Labda uwe na cheo cheo ndio utakula mema ya nchi
Sijajua ila itakua tozo zishaongezeka huko πHayo hayanihusu bana π€£
Nataka kujua bank kumefanyaje
Ili kama nachonga kibubu nijue πππ
πππ ndio watuambie hawa waangalia taarifa ya habariSijajua ila itakua tozo zishaongezeka huko π
Nenda bank kafanye muamala utajua, ukiona hamna mabadiliko basi bank yako haijapandisha tozoπππ ndio watuambie hawa waangalia taarifa ya habari
Siendiii ππNenda bank kafanye muamala utajua, ukiona hamna mabadiliko basi bank yako haijapandisha tozo
π€£π€£ utaenda tu ukifuliaSiendiii ππ
Crimea nakusalimu mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu ni utaahira kabisa.
Hata wakifika watakula viti vyote vimeshakaliwa, mikeka yote imeshakaliwa, wataambulia kukataa mchangani kuleeeeeeeee, hata sauti hawataisikia ya master of ceremonyHivi kweli maisha ya huko Bongo yalivyo tait unamuongezea mshahara mtumishi Tsh 8567 then bank wanakula makato ya Tsh 9500 kweli jamani, mtafika mbinguni mmechoka sana ndugu zangu