Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

GIRITA

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
4,432
Reaction score
5,864
Hii ni sumu Kali inayotokana na nyongo inayopatikana katika mwili Wa mamba ambae ni mnyama hatari sana kwa binaadamu na wanyama wengine.

Kama tunavyojua ukali na nguvu aliyonayo mamba awapo ndani ya maji basi hata nyongo yake ni hatari kwa maisha ya binaadamu.sumu hii hupatikana baada ya kuichukua nyongo ya mamba nakuchanganywa na dawa flani za kienyeji ambapo kutokea silaha hatari sana ya kibaolojia ambayo huua kwa muda mfupi sana,huwa haichukui muda zaidi ya dakika kumi habari huwa imekwisha.
images.jpeg
df8272d7-1bb5-49ba-b7bd-abae4fc516ae.jpeg



Watu wenye imani za kishirikina huitumia kuangamiza watu kwa kuwawekea kwenye kinywaji kama chai au kahawa na MTU anapotumia kinywaji hicho basi huwa uhai wake umeishia hapo inakuwa baibai kwaheri mwalimu,ndugu na jamaa mnaanza kuandaa mazishi na matanga.
Sumu hii ni maarufu sana katika mkoa Wa kigoma,sehemu za kigoma mjini na mwambao Wa ziwa Tanganyika maeneo zinapofanyika shughuli za uvuvi,maeneo kama ujiji,katonga,kibirizi mwanga na vijiji vya ukanda Wa kusini wilaya ya uvinza kama lubengela,sigunga,mgambo.Na upande Wa vijiji vya mwamgongo,mtanga sumu hii imekuwa ikitumika kupoteza uhai Wa watu wengi sana.Ukijaaliwa kufika maeneo tajwa jihadhari sana ndugu yangu kwa kutokunywa kahawa,chai au kinywaji chochote kwa MTU usiemtambua kwani wengi wamepoteza uhai kwa kunywesha vijwaji vyenye sumu ya mamba au(nyongo ya mamba).

Kuna watu wengi wamepoteza wapendwa wao kupitia sumu hii akiwemo mzazi mmoja Wa mwanafunzi hassan sio jina halisi,ambae alikuwa msimamizi Wa ujenzi Wa shule ya sekondari buteko,sasa katika ushindani na aliyekuwa injinia Wake wakamtegea chain iliyokuwa imechanganywa na sumu ya mamba alivyokunywa tu akasikia kama utumbo unakatika katika akaimwaga chai kwenye majani ya mkomamanga pale pale majani yakakauka kama umetokea ukame, basi hakuchukua muda Wa dakika tano akapoteza uhai,sio mchezo hii kitu,mpaka sasa imebaki historia ya kusikitisha katika familia yake.
Mfano IPO mingi Ila cha kuzingatia unapofika maeneo niliyotaja bado kuwa muangalifu usianzishe uadui na watu usiowajua utapotezwa kwa sekunde kadhaa kwani wengi huangamiza maadui zao kwa kutumia kinywaji kilicho changanywa na sumu hii.
 
Hii ni sumu Kali inayotokana na nyongo inayopatikana katika mwili Wa mamba ambae ni mnyama hatari sana kwa binaadamu na wanyama wengine.

Kama tunavyojua ukali na nguvu aliyonayo mamba awapo ndani ya maji basi hata nyongo yake ni hatari kwa maisha ya binaadamu.sumu hii hupatikana baada ya kuichukua nyongo ya mamba nakuchanganywa na dawa flani za kienyeji ambapo kutokea silaha hatari sana ya kibaolojia ambayo huua kwa muda mfupi sana,huwa haichukui muda zaidi ya dakika kumi habari huwa imekwisha.
View attachment 1304009View attachment 1304014


Watu wenye imani za kishirikina huitumia kuangamiza watu kwa kuwawekea kwenye kinywaji kama chai au kahawa na MTU anapotumia kinywaji hicho basi huwa uhai wake umeishia hapo inakuwa baibai kwaheri mwalimu,ndugu na jamaa mnaanza kuandaa mazishi na matanga.
Sumu hii ni maarufu sana katika mkoa Wa kigoma,sehemu za kigoma mjini na mwambao Wa ziwa Tanganyika maeneo zinapofanyika shughuli za uvuvi,maeneo kama ujiji,katonga,kibirizi mwanga na vijiji vya ukanda Wa kusini wilaya ya uvinza kama lubengela,sigunga,mgambo.Na upande Wa vijiji vya mwamgongo,mtanga sumu hii imekuwa ikitumika kupoteza uhai Wa watu wengi sana.Ukijaaliwa kufika maeneo tajwa jihadhari sana ndugu yangu kwa kutokunywa kahawa,chai au kinywaji chochote kwa MTU usiemtambua kwani wengi wamepoteza uhai kwa kunywesha vijwaji vyenye sumu ya mamba au(nyongo ya mamba).

Kuna watu wengi wamepoteza wapendwa wao kupitia sumu hii akiwemo mzazi mmoja Wa mwanafunzi hassan sio jina halisi,ambae alikuwa msimamizi Wa ujenzi Wa shule ya sekondari buteko,sasa katika ushindani na aliyekuwa injinia Wake wakamtegea chain iliyokuwa imechanganywa na sumu ya mamba alivyokunywa tu akasikia kama utumbo unakatika katika akaimwaga chai kwenye majani ya mkomamanga pale pale majani yakakauka kama umetokea ukame, basi hakuchukua muda Wa dakika tano akapoteza uhai,sio mchezo hii kitu,mpaka sasa imebaki historia ya kusikitisha katika familia yake.
Mfano IPO mingi Ila cha kuzingatia unapofika maeneo niliyotaja bado kuwa muangalifu usianzishe uadui na watu usiowajua utapotezwa kwa sekunde kadhaa kwani wengi huangamiza maadui zao kwa kutumia kinywaji kilicho changanywa na sumu hii.
Kiboko yake..mafuta ya chatu

Goite
 
Hivi hiyo nyongo ya mamba akilishwa koboko yule nyoka mwenye sumu kali atakufa?

Au kitoto cha mamba ukikipa nyama ambayo imechanganywa na nyongo ya mamba kitakufa?

It's Scars
Nahisi haiwezi wadhuru maana wana sumu ya kutosha.
 
Sasa unasema ni sumu maarufu kwa washirikina ina maana washirikina hao bila kumpata muhusika physically ushirikina wao hauna nguvu, hivyo nahitimisha hamna ushirikina hapo.
Kunadawa inachanganywa ya kienyeji ili kuwahi kuleta matokeo haraka kwa mtumiaji.
 
Hii ni sumu Kali inayotokana na nyongo inayopatikana katika mwili Wa mamba ambae ni mnyama hatari sana kwa binaadamu na wanyama wengine.

Kama tunavyojua ukali na nguvu aliyonayo mamba awapo ndani ya maji basi hata nyongo yake ni hatari kwa maisha ya binaadamu.sumu hii hupatikana baada ya kuichukua nyongo ya mamba nakuchanganywa na dawa flani za kienyeji ambapo kutokea silaha hatari sana ya kibaolojia ambayo huua kwa muda mfupi sana,huwa haichukui muda zaidi ya dakika kumi habari huwa imekwisha.
View attachment 1304009View attachment 1304014


Watu wenye imani za kishirikina huitumia kuangamiza watu kwa kuwawekea kwenye kinywaji kama chai au kahawa na MTU anapotumia kinywaji hicho basi huwa uhai wake umeishia hapo inakuwa baibai kwaheri mwalimu,ndugu na jamaa mnaanza kuandaa mazishi na matanga.
Sumu hii ni maarufu sana katika mkoa Wa kigoma,sehemu za kigoma mjini na mwambao Wa ziwa Tanganyika maeneo zinapofanyika shughuli za uvuvi,maeneo kama ujiji,katonga,kibirizi mwanga na vijiji vya ukanda Wa kusini wilaya ya uvinza kama lubengela,sigunga,mgambo.Na upande Wa vijiji vya mwamgongo,mtanga sumu hii imekuwa ikitumika kupoteza uhai Wa watu wengi sana.Ukijaaliwa kufika maeneo tajwa jihadhari sana ndugu yangu kwa kutokunywa kahawa,chai au kinywaji chochote kwa MTU usiemtambua kwani wengi wamepoteza uhai kwa kunywesha vijwaji vyenye sumu ya mamba au(nyongo ya mamba).

Kuna watu wengi wamepoteza wapendwa wao kupitia sumu hii akiwemo mzazi mmoja Wa mwanafunzi hassan sio jina halisi,ambae alikuwa msimamizi Wa ujenzi Wa shule ya sekondari buteko,sasa katika ushindani na aliyekuwa injinia Wake wakamtegea chain iliyokuwa imechanganywa na sumu ya mamba alivyokunywa tu akasikia kama utumbo unakatika katika akaimwaga chai kwenye majani ya mkomamanga pale pale majani yakakauka kama umetokea ukame, basi hakuchukua muda Wa dakika tano akapoteza uhai,sio mchezo hii kitu,mpaka sasa imebaki historia ya kusikitisha katika familia yake.
Mfano IPO mingi Ila cha kuzingatia unapofika maeneo niliyotaja bado kuwa muangalifu usianzishe uadui na watu usiowajua utapotezwa kwa sekunde kadhaa kwani wengi huangamiza maadui zao kwa kutumia kinywaji kilicho changanywa na sumu hii.
Watu wenye imani za kishirikina huitumia kuangamiza watu kwa kuwawekea kwenye kinywaji kama chai au kahawa...

Kumbe watu wenye imani za kishirikina nao hutumia sumu kuua?
 
Watu wenye imani za kishirikina huitumia kuangamiza watu kwa kuwawekea kwenye kinywaji kama chai au kahawa...

Kumbe watu wenye imani za kishirikina nao hutumia sumu kuua?
Usishangae sumu,kuna hadi ukimwi Wa kurogwa unaitwa (pesee)mgonjwa wake hana tofauti na mwenye ngoma.
 
Back
Top Bottom