Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

Ndugu GIRITA, UKIMWI ni Upungufu wa Kinga Mwilini, hiyo kitu Pesee itakuwa ni mambo mengine tu ya urozi!
Ndio ni ugonjwa unaotengenezwa kishirikina una athiri kama ukimwi,kama haujakwenda ushirikinani kupima tatizo utajua ni ukimwi!!
 
Kule kwetu tunaichukua tunatengeneza mkuki basi tunapaka pale mbele kidogo sasa ole wako unikorofishe nikuchome nao uone hilo jeraha kama litapona
Hii ni sumu Kali inayotokana na nyongo inayopatikana katika mwili Wa mamba ambae ni mnyama hatari sana kwa binaadamu na wanyama wengine.

Kama tunavyojua ukali na nguvu aliyonayo mamba awapo ndani ya maji basi hata nyongo yake ni hatari kwa maisha ya binaadamu.sumu hii hupatikana baada ya kuichukua nyongo ya mamba nakuchanganywa na dawa flani za kienyeji ambapo kutokea silaha hatari sana ya kibaolojia ambayo huua kwa muda mfupi sana,huwa haichukui muda zaidi ya dakika kumi habari huwa imekwisha.
View attachment 1304009View attachment 1304014


Watu wenye imani za kishirikina huitumia kuangamiza watu kwa kuwawekea kwenye kinywaji kama chai au kahawa na MTU anapotumia kinywaji hicho basi huwa uhai wake umeishia hapo inakuwa baibai kwaheri mwalimu,ndugu na jamaa mnaanza kuandaa mazishi na matanga.
Sumu hii ni maarufu sana katika mkoa Wa kigoma,sehemu za kigoma mjini na mwambao Wa ziwa Tanganyika maeneo zinapofanyika shughuli za uvuvi,maeneo kama ujiji,katonga,kibirizi mwanga na vijiji vya ukanda Wa kusini wilaya ya uvinza kama lubengela,sigunga,mgambo.Na upande Wa vijiji vya mwamgongo,mtanga sumu hii imekuwa ikitumika kupoteza uhai Wa watu wengi sana.Ukijaaliwa kufika maeneo tajwa jihadhari sana ndugu yangu kwa kutokunywa kahawa,chai au kinywaji chochote kwa MTU usiemtambua kwani wengi wamepoteza uhai kwa kunywesha vijwaji vyenye sumu ya mamba au(nyongo ya mamba).

Kuna watu wengi wamepoteza wapendwa wao kupitia sumu hii akiwemo mzazi mmoja Wa mwanafunzi hassan sio jina halisi,ambae alikuwa msimamizi Wa ujenzi Wa shule ya sekondari buteko,sasa katika ushindani na aliyekuwa injinia Wake wakamtegea chain iliyokuwa imechanganywa na sumu ya mamba alivyokunywa tu akasikia kama utumbo unakatika katika akaimwaga chai kwenye majani ya mkomamanga pale pale majani yakakauka kama umetokea ukame, basi hakuchukua muda Wa dakika tano akapoteza uhai,sio mchezo hii kitu,mpaka sasa imebaki historia ya kusikitisha katika familia yake.
Mfano IPO mingi Ila cha kuzingatia unapofika maeneo niliyotaja bado kuwa muangalifu usianzishe uadui na watu usiowajua utapotezwa kwa sekunde kadhaa kwani wengi huangamiza maadui zao kwa kutumia kinywaji kilicho changanywa na sumu hii.
 
Hii ni sumu Kali inayotokana na nyongo inayopatikana katika mwili Wa mamba ambae ni mnyama hatari sana kwa binaadamu na wanyama wengine.

Kama tunavyojua ukali na nguvu aliyonayo mamba awapo ndani ya maji basi hata nyongo yake ni hatari kwa maisha ya binaadamu.sumu hii hupatikana baada ya kuichukua nyongo ya mamba nakuchanganywa na dawa flani za kienyeji ambapo kutokea silaha hatari sana ya kibaolojia ambayo huua kwa muda mfupi sana,huwa haichukui muda zaidi ya dakika kumi habari huwa imekwisha.
View attachment 1304009View attachment 1304014


Watu wenye imani za kishirikina huitumia kuangamiza watu kwa kuwawekea kwenye kinywaji kama chai au kahawa na MTU anapotumia kinywaji hicho basi huwa uhai wake umeishia hapo inakuwa baibai kwaheri mwalimu,ndugu na jamaa mnaanza kuandaa mazishi na matanga.
Sumu hii ni maarufu sana katika mkoa Wa kigoma,sehemu za kigoma mjini na mwambao Wa ziwa Tanganyika maeneo zinapofanyika shughuli za uvuvi,maeneo kama ujiji,katonga,kibirizi mwanga na vijiji vya ukanda Wa kusini wilaya ya uvinza kama lubengela,sigunga,mgambo.Na upande Wa vijiji vya mwamgongo,mtanga sumu hii imekuwa ikitumika kupoteza uhai Wa watu wengi sana.Ukijaaliwa kufika maeneo tajwa jihadhari sana ndugu yangu kwa kutokunywa kahawa,chai au kinywaji chochote kwa MTU usiemtambua kwani wengi wamepoteza uhai kwa kunywesha vijwaji vyenye sumu ya mamba au(nyongo ya mamba).

Kuna watu wengi wamepoteza wapendwa wao kupitia sumu hii akiwemo mzazi mmoja Wa mwanafunzi hassan sio jina halisi,ambae alikuwa msimamizi Wa ujenzi Wa shule ya sekondari buteko,sasa katika ushindani na aliyekuwa injinia Wake wakamtegea chain iliyokuwa imechanganywa na sumu ya mamba alivyokunywa tu akasikia kama utumbo unakatika katika akaimwaga chai kwenye majani ya mkomamanga pale pale majani yakakauka kama umetokea ukame, basi hakuchukua muda Wa dakika tano akapoteza uhai,sio mchezo hii kitu,mpaka sasa imebaki historia ya kusikitisha katika familia yake.
Mfano IPO mingi Ila cha kuzingatia unapofika maeneo niliyotaja bado kuwa muangalifu usianzishe uadui na watu usiowajua utapotezwa kwa sekunde kadhaa kwani wengi huangamiza maadui zao kwa kutumia kinywaji kilicho changanywa na sumu hii.
Naitaka naipata wapi?
 
Kule kwetu tunaichukua tunatengeneza mkuki basi tunapaka pale mbele kidogo sasa ole wako unikorofishe nikuchome nao uone hilo jeraha kama litapona
Haahaa,kwenu mnafuga mamba kwa ajili ya kuwaletea misukule maeneo ya ziwani?
 
Screenshot_20191226-212124~2.png

Don't eat this
 
Sasa unasema ni sumu maarufu kwa washirikina ina maana washirikina hao bila kumpata muhusika physically ushirikina wao hauna nguvu, hivyo nahitimisha hamna ushirikina hapo.
Brother, mshirikina huja kwa Mtu anayetaka kumuangamiza kwa kujiweka katika trance ya kutoonekana, kisha huidondoshea katika kinywaji au chakula cha aliyemlenga kudhurika na kisha kuondoka zake.
Sehemu kubwa ya vifo vya sumu, wachawi ni asilimia 85.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mtu akikupa kinywaji halafu baada ya dakika 10 ukakata moto watu si wataanza kudeal na aliyekupa kinywaji?
 
Tunaenda kuwashika ziwani au mto ruaha ile nyongo tunatoa ile sumu kwa ajili ya mishale yetu ya kuwindia tunachanganya namiti pori fulani mizizi yake basi hata tembo ukimpiga mshale ule au nyati mita 5 tu mbele hapo hapo ganzi anadondoka
Haahaa,kwenu mnafuga mamba kwa ajili ya kuwaletea misukule maeneo ya ziwani?
 
Kunadawa inachanganywa ya kienyeji ili kuwahi kuleta matokeo haraka kwa mtumiaji.
Msiongee vitu hamjui nyongo ya mamba haichanganywi na kitu chochote wala haihitaji ushirikina ikisuuzwa kwenye glass na ukawekewa kitu ukanywa dakika 3 huchukui na huyo anayesema uchachu wake haupendi ni mpuuzi hiyo kitu haionjwi na mtu.
Miaka ya 70 alinyweshwa SSP mmoja walikuwa shahidi wa kesi ya mauaji mahali alitapika na kufia hapo matapishi yaliweka alama for more than 15 yrs.
Pia Mara nyingi akiuawawa mamba maliasili hufika na kumtoa nyongo navkuondoka Mayo.
 
Duh, kuna watu niliwakuta wamemtega mamba... Baada ya kumnasa na kumuua wakamchuna, nikawauliza mnakula nyama? Wakasema "tunachukua ngozi tukawambe ngoma"

Ilikuwa mto Ruvu.
Mamba analika nyama yake kama samaki na anakaribia kufanana na chatu isipokuwa chatu ana hsrufu nyingine nyingine.
 
Hii ni sumu Kali inayotokana na nyongo inayopatikana katika mwili Wa mamba ambae ni mnyama hatari sana kwa binaadamu na wanyama wengine.

Kama tunavyojua ukali na nguvu aliyonayo mamba awapo ndani ya maji basi hata nyongo yake ni hatari kwa maisha ya binaadamu.sumu hii hupatikana baada ya kuichukua nyongo ya mamba nakuchanganywa na dawa flani za kienyeji ambapo kutokea silaha hatari sana ya kibaolojia ambayo huua kwa muda mfupi sana,huwa haichukui muda zaidi ya dakika kumi habari huwa imekwisha.
View attachment 1304009View attachment 1304014


Watu wenye imani za kishirikina huitumia kuangamiza watu kwa kuwawekea kwenye kinywaji kama chai au kahawa na MTU anapotumia kinywaji hicho basi huwa uhai wake umeishia hapo inakuwa baibai kwaheri mwalimu,ndugu na jamaa mnaanza kuandaa mazishi na matanga.
Sumu hii ni maarufu sana katika mkoa Wa kigoma,sehemu za kigoma mjini na mwambao Wa ziwa Tanganyika maeneo zinapofanyika shughuli za uvuvi,maeneo kama ujiji,katonga,kibirizi mwanga na vijiji vya ukanda Wa kusini wilaya ya uvinza kama lubengela,sigunga,mgambo.Na upande Wa vijiji vya mwamgongo,mtanga sumu hii imekuwa ikitumika kupoteza uhai Wa watu wengi sana.Ukijaaliwa kufika maeneo tajwa jihadhari sana ndugu yangu kwa kutokunywa kahawa,chai au kinywaji chochote kwa MTU usiemtambua kwani wengi wamepoteza uhai kwa kunywesha vijwaji vyenye sumu ya mamba au(nyongo ya mamba).

Kuna watu wengi wamepoteza wapendwa wao kupitia sumu hii akiwemo mzazi mmoja Wa mwanafunzi hassan sio jina halisi,ambae alikuwa msimamizi Wa ujenzi Wa shule ya sekondari buteko,sasa katika ushindani na aliyekuwa injinia Wake wakamtegea chain iliyokuwa imechanganywa na sumu ya mamba alivyokunywa tu akasikia kama utumbo unakatika katika akaimwaga chai kwenye majani ya mkomamanga pale pale majani yakakauka kama umetokea ukame, basi hakuchukua muda Wa dakika tano akapoteza uhai,sio mchezo hii kitu,mpaka sasa imebaki historia ya kusikitisha katika familia yake.
Mfano IPO mingi Ila cha kuzingatia unapofika maeneo niliyotaja bado kuwa muangalifu usianzishe uadui na watu usiowajua utapotezwa kwa sekunde kadhaa kwani wengi huangamiza maadui zao kwa kutumia kinywaji kilicho changanywa na sumu hii.
Acha kupotosha na kuwatisha watu bhana toka nakua kwetu mwambao wa ziwa kuelekea Kagunga sijawahi kusikia mtu kauawa au kufa kwa kuwekewa sumu ya mamba kwenye kahawa.Nasikia sumu ya nyongo ya mamba ni hatari ila huo utaratibu ndio mgeni kwangu maana toka Kalalangabo,mtanga na ngelwe yake,Kazinga,mwamgongo,Bugamba,Zashe kagunga mpaka kuelekea huko nchi jirani sijasikia historia hii labda huko kusini.

Cha msingi ni kujihadhari kabla ya hatari hakuna sumu tamu na wala hakuna muuaji asiyekujua.

"Proudly, brought to u by Bachelor Sugu"
 
Back
Top Bottom