Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

Msiongee vitu hamjui nyongo ya mamba haichanganywi na kitu chochote wala haihitaji ushirikina ikisuuzwa kwenye glass na ukawekewa kitu ukanywa dakika 3 huchukui na huyo anayesema uchachu wake haupendi ni mpuuzi hiyo kitu haionjwi na mtu.
Miaka ya 70 alinyweshwa SSP mmoja walikuwa shahidi wa kesi ya mauaji mahali alitapika na kufia hapo matapishi yaliweka alama for more than 15 yrs.
Pia Mara nyingi akiuawawa mamba maliasili hufika na kumtoa nyongo navkuondoka Mayo.
Kuna wengine wanamix na mavitu ya kichawi mzee,ujuzi unatofautiana mkuu.
 
Hua haiuzwi kiholela sijawahi kusikia mtu anauza,ila kwa kuanzia jaribu kwenda Kibondo anzia Mabamba,shuka hdi Kakonko Anzia Rugenge na Gwarama hope nimekupa pa kuanzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maeneo ya kibondo haiwezi kosekana maana uchawi unauzwa sokoni!!!
 
Hiyo sumu huwa haipatikani kwa urahisi na mara nyingi hutumiwa na watu ambao ni mahasimu km ndugu wanaogombania mali ya ukoo

Au mume wa mtu anatoka na mke wa mtu kumkomesha anawekewa kwenue kinywaji chake

Mchezo huu upo maeneo ya visiwa vya ziwa victoria.......!! ....wakerewe,wajita , waluli , wanatabia hii ya kukuwekea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nyongo ya mamba + mate ya kenge no dawa nzuri sana ya nguvu za kiume,ikitumika kwa kipimo maalumu sio ujinywee tu,Utakufa wewe..!
 
Back
Top Bottom