Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe binadamu tumepotezana kama wachawi. [emoji23]
Mekumith mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe binadamu tumepotezana kama wachawi. [emoji23]
Hatari Sana Mkuu kama ndio hiyvi inaua taratibu.Hii sumu si kwamba mshirikina peke yake anaitumia isipokua hata mtu baki anaweza kutumia kuhusu ufanyaji kazi inaenda kushambuliwa Ini,hapa katika ini hutofautiana na wingi wa sumu akitaka ufe taratibu anakuwekea kidgo maximum hhuwezi kuzidi miezi 9,unafariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua nayachezea kipindi Niko mdogo,ujue yanataka kufanana na kipepeo,siyajui jina,kumbe bana ni poisonHaya maua yanatoa sumu,yanaitwaje?
Ok,nimekuelewa sasa stone timbers, aliyebuni hiyo sumu ndye alofanya makosa sasa[emoji5],kama hauna hiyo kinga ndyo kwaherii.Naam ndiyo lengo la kutumia hiyo dawa.
Hivi nikwanini Kankoko inaongoza kuwa na Wehu wengi katika Mkoa wa Kigoma?!Hua haiuzwi kiholela sijawahi kusikia mtu anauza,ila kwa kuanzia jaribu kwenda Kibondo anzia Mabamba,shuka hdi Kakonko Anzia Rugenge na Gwarama hope nimekupa pa kuanzia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha ulongo!Hiyo sumu huwa haipatikani kwa urahisi na mara nyingi hutumiwa na watu ambao ni mahasimu km ndugu wanaogombania mali ya ukoo
Au mume wa mtu anatoka na mke wa mtu kumkomesha anawekewa kwenue kinywaji chake
Mchezo huu upo maeneo ya visiwa vya ziwa victoria.......!! ....wakerewe,wajita , waluli , wanatabia hii ya kukuwekea
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kwa Wakala au Walegi watakusaidia jinsi ya kupata sumu ya Mamba au Bulalo maana hawa Jamaa wanawafuga!Ok, so mamba anauliwa ili vipatikane hivo vitu?, au anavitoa mwenyewe tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu, sina shida na hiyo sumu,nilitaka tu kufahamu namna inavopatikana kutoka kwa hao mamba.Nenda kwa Wakala au Walegi watakusaidia jinsi ya kupata sumu ya Mamba au Bulalo maana hawa Jamaa wanawafuga!
Ndio Mkuu,hushambulia ini taratibu hatimaye kifo.Hatari Sana Mkuu kama ndio hiyvi inaua taratibu.
Aisee unaonekana kwa nadra sana. Kwanza ule mkataba upo au umevunjika?
Inakaa benchi kwanza!Kwa hiyo Sodium Cyanide (NaCN) inasubiri kwenye nyongo ya mamba!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa ni fala Sana [emoji1787][emoji23]Ina ladha fulani ya uchachu ambao sijaupenda.
Eeeh umewahi onja hiyo?Kiboko yake..mafuta ya chatu
Goite
Common man,mbona uko mzito hivi?,we kila nyasi huko ulikokulia wazijua majina?.Hayana jina?