sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Nyoso kafungiwa kwa kosa la "kumtomasa" sehemu za siri Maguli katika mechi ya Simba na Mbeya City.
Agrey kafungiwa kwa kosa la kumpiga "kiwiko" Okwi katika mechi kati ya Simba na Azam.
Source: Bin Zubeiry
NB: Asante TFF kwa kutenda haki, nadhani sasa wale mabeki "katili" wengine kama Michael wa Ruvu Shooting na Tumba wa Coastal n.k watakua wamejifunza kitu.
Agrey kafungiwa kwa kosa la kumpiga "kiwiko" Okwi katika mechi kati ya Simba na Azam.
Source: Bin Zubeiry
NB: Asante TFF kwa kutenda haki, nadhani sasa wale mabeki "katili" wengine kama Michael wa Ruvu Shooting na Tumba wa Coastal n.k watakua wamejifunza kitu.