Nyota 5 'wa Kimataifa' wa Simba SC kulitetemesha bara La Afrika.

Nyota 5 'wa Kimataifa' wa Simba SC kulitetemesha bara La Afrika.

Dk 67: Zambia 2-0 Guinea-Bissau

Zambia bado wanaendelea kumiliki mpira kwa kiwango kikubwa.. Na hii inachagizwa na viwango bora kabisa vinavyooneshwa na Chama pamoja na 'Patna wake' Sinkala.
 
Dk 75: Zambia wanafanya Sub ya Kwanza; Mwepu anatoka Salulani anaingia
 
Dk 76: Zambia wanafanya Sub ya pili: Patson Daka anaingia kuchukua nafasi ya Augustine Mulenga
 
Dk 79: Dakika 3 baada yakuingia Patson anashindwa kutumia vyema majalo ya Chama baada ya kukosa nafasi ya wazi hapa.. Alikua yeye na kipa.
 
Goal

Dk 81: Zambia 2-1 Guinea-Bissau (Silva)

Hii goli limetokana na uzembe wa hali ya juu baada ya beki wa Zambia Mweene kujaribu kumpiga chenga Silva.. Matokeo yake kanyang'anywa na mpira ukatiwa kimiani.
 
Dk 88: Zambia 2-1 Guinea-Bissau

Guinea ni kama wamechokoza mzinga wa Nyuki, wanashambuliwa haswa
 
FT: Zambia 2-1 Guinea-Bissau

Mpira umemalizika, na Zambia akiondoka na point 3 muhimu ambazo zinawasogeza hadi nafasi ya 2 katika msimamo wa kundi lao.

NB: Man of the match leo ni Clatous Chota Chama, ambaye ameassit magoli yote mawili ya Zambia.
 
FT: Zambia 2-1 Guinea-Bissau

Mpira umemalizika, na Zambia akiondoka na point 3 muhimu ambazo zinawasogeza hadi nafasi ya 2 katika msimamo wa kundi lao.

NB: Man of the match leo ni Clatous Chota Chama, ambaye ameassit magoli yote mawili ya Zambia.
Cc Prince Kunta
 
Hivi yule Mwaikambo hajaitwa DRC hata timu ya Ndombolo?[emoji196][emoji196][emoji16][emoji16]
unafananisha DRC na Uganda,Rwanda na Zambia ..kweli nyie vilaza..mbona wakina Gyan na Kotei hawajaitwa Ghana
 
Mechi Ndo inaanza hapa National Heroes Stadium.. Ni Zambia vs Guinea-Bissau

Kikosi Cha Kwanza Cha Zambia.
1. Kennedy Mweene
2. Solomon Sakala
3. Stoppilla Sunzu
4. Kabaso Chongo
5. Lawrence Chungu
6. Nathan Sinkala
7. Enock Mwepu
8. Clatous Chota Chama
9. ubambo Musonda
10. Augustine Mulenga
11. Justin Shonga
Sub:
1. Toaster Nsabata
2. Gideon Sichone
3. Isaac Shamujompa
4. Salulani Phiri
5. Rainford Kalaba
6. Patson Daka
7. Fashion Sakala
8. Bruce Musakanya
9. Lazarous Kambole

Kikosi Cha Kwanza Cha Guinea-Bissau
1. Jonas Asvedo Memdes
2. Eliseu Soares
3. Edigerson Gomes
4. Juary Marinho Soares
5. Bocak Balde
6. Manconi Soriano Mane
7. Jose Luiz Lopes
8. Francesco Santos
9. Tony Silva
10. Carlos Apna Eubalo
11. Frederic Mendy

Cc Prince Kunta

Vipi chirwa hajaitwa hata kuchoma mahindi
 
Kwa hiyo mechi ya juma pili na stand United haipo?
 
Back
Top Bottom