Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Bondia wetu Mandonga taratibu anaanza kutoka nje ya reli. Ule umaarufu wake umeanza kupotea kiaina. Yeye sio wa mwanzo wala sio wa mwisho katika watu walioibuka na ku-vibe kisha kupotea.
Huko nyuma alishawahi kuwepo babu wa loliondo, nabii tito, pierre likwidi, Dr. Shika na wengineo wengi.
Sasa naona zamu ya Zumaridi ambaye anapewa airtime na media ya Tanzania kuongea vitu vya kufikirika.
Pia kuna mtu anajiita DJ Ally B almaarufu Profesa au Asumani.
Yeye hupiga kelele na miluzi akiwa kwenye gari lake...basi nae kawa maarufu.
Wakati ni ukuta!
Huko nyuma alishawahi kuwepo babu wa loliondo, nabii tito, pierre likwidi, Dr. Shika na wengineo wengi.
Sasa naona zamu ya Zumaridi ambaye anapewa airtime na media ya Tanzania kuongea vitu vya kufikirika.
Pia kuna mtu anajiita DJ Ally B almaarufu Profesa au Asumani.
Yeye hupiga kelele na miluzi akiwa kwenye gari lake...basi nae kawa maarufu.
Wakati ni ukuta!