Nyota ya Mandonga imeanza kufifia, sasa ni zamu ya Zumaridi na DJ Ally B

Nyota ya Mandonga imeanza kufifia, sasa ni zamu ya Zumaridi na DJ Ally B

Mondi ameshukaje kimziki, siku chache tu juzi hapa kaachia kibao cha Zuwena na naona kimepata mamilioni ya views duniani.
Muziki wowote hata wa zamani, ikitokea umefanywa kwa ustadi basi utasklizwa miaka yote, huyo Z-Anto mpaka leo napenda sana ngoma yake.
Kimsingi wewe enjoy ngoma, achana na msanii.....

Mkuu kashashuka kimziki ,sasa hivi anaachia wimbo ndani ya mwezi My baby una view 980k(Audio) ,Zuwena imeenda kwasababu ya Kiki ,watu wanataka wamuone zuwena amefanya nini kwenye hiyo video ,yaani amejulikana Zuwena kuliko Mziki wenyewe.

Tungekuwa na Organization hapa tanzania kama RIAA ungeona trend ya kushuka kwa huyo Damondi....Ni kweli mkuu mimi napenda mziki mzuri na si mwanamziki,kuna ngoma za zamani za dayamondi nazikubali mpaka leo kama Mbagala,Nenda kamwambie na Nitarejea hayo makopokopo na madebedebe aliyotoa tena sijawahi kuyapenda kwa kiba wimbo wake wa cinderela/macmuga/utu na utulivu nazipenda nyingine hapana!
 
.
Screenshot_20230326-122512.jpg
Screenshot_20230326-150802.jpg
Screenshot_20230326-150814.jpg
Screenshot_20230326-150714.jpg
 
Mkuu kashashuka kimziki ,sasa hivi anaachia wimbo ndani ya mwezi My baby una view 980k(Audio) ,Zuwena imeenda kwasababu ya Kiki ,watu wanataka wamuone zuwena amefanya nini kwenye hiyo video ,yaani amejulikana Zuwena kuliko Mziki wenyewe.

Tungekuwa na Organization hapa tanzania kama RIAA ungeona trend ya kushuka kwa huyo Damondi....Ni kweli mkuu mimi napenda mziki mzuri na si mwanamziki,kuna ngoma za zamani za dayamondi nazikubali mpaka leo kama Mbagala,Nenda kamwambie na Nitarejea hayo makopokopo na madebedebe aliyotoa tena sijawahi kuyapenda kwa kiba wimbo wake wa cinderela/macmuga/utu na utulivu nazipenda nyingine hapana!
Hizo za 'nenda kamwambie' , 'Mbagala' na nyinginezo za aina hiyo ni kwa ajili ya local audience na asingekuwa mjanja wa akili kujua soko la kimataifa linataka kitu gani leo hii msingekuwa mnamnanga kwamba hawawezi akina Burna Boy bali mngekuwa mnamcheka kwamba hawawezi artists wa Uganda na Kenya. Kwenye entertainment industry si rahisi kumburudisha kila mtu bali kitu muhimu ni kukonga nyoyo za majority na wachache(I mean minority) ambao hawatakukubali basi nao wataburudika kutoka kwa artists wengine.
Umetoa mfano wa wimbo 'My baby' ambavyo haujafanya vizuri lakini overall kuna msanii gani anayeuza zaidi yake kwenye digital platforms katika East Africa? Jibu ni hakuna. Zuwena alright kwenye YouTube tukubali walitaka kumuona huyo Zuwena(japo hakuwa popular kabla) je kwenye digital platforms wana stream kuona kitu gani? It's purely audio that side. Before Zuwena si alitoa wimbo tena unafanya vizuri zaidi ya hiyo Zuwena, the dude is genius in showbiz na si wa kushuka kiwango leo wala kesho na ushahidi ni graph ya streams.
 
Mkuu kashashuka kimziki ,sasa hivi anaachia wimbo ndani ya mwezi My baby una view 980k(Audio) ,Zuwena imeenda kwasababu ya Kiki ,watu wanataka wamuone zuwena amefanya nini kwenye hiyo video ,yaani amejulikana Zuwena kuliko Mziki wenyewe.

Tungekuwa na Organization hapa tanzania kama RIAA ungeona trend ya kushuka kwa huyo Damondi....Ni kweli mkuu mimi napenda mziki mzuri na si mwanamziki,kuna ngoma za zamani za dayamondi nazikubali mpaka leo kama Mbagala,Nenda kamwambie na Nitarejea hayo makopokopo na madebedebe aliyotoa tena sijawahi kuyapenda kwa kiba wimbo wake wa cinderela/macmuga/utu na utulivu nazipenda nyingine hapana!
Diamond kashuka? Aliye panda juu yake nani ?
 
Back
Top Bottom