Nyota ya uzazi inavyotesa mahusiano yangu

Ungempuzika kwanza mahusiano mpaka u heal break up na uache kutesa wanawake kihisia then ndio uje utafte mahusiano mapya ukiwa umepona. Bila hivo utakuwa na 100 ka wakukusahaulisha ila maumivu yatakuwa pale pale
Mi hua nawaambia situation niko nayo kwamba inahitaji muda kufanya maamuzi ya ndoa ama kuzaa.... Nadhini wenyewe katika kuniaminisha kwamba naweza pendwa na kujaliwa wanakimbilia kwenye kubeba mimba kitu ambacho sitaki kukisikia kabisa kwa sasa.
 
Nilikua na mwanafunzi wa mwl nyerere age 23 naye akawa anataka mtoto na kuishi kwangu kabisa alikua anakuja kwa speed ya sgr nikapita kushoto.

Pengine ni aina ya wanawake nawachagua mimi ni tofauti na unaowachagua wewe.
 
Yani week moja umeshaji verify kwamba huyo ni wife material na kila kitu mmejuana!

Wasichana wa kipare japo ni dada zangu ila kwa hilo hapana 😅~in JPM vocals!
 
we jamaa unaanzisha mahusiano kwanini? ili umsahau ex-wife wako au ili kuendeleza familia.... fumbua hilo fumbo kwanza.
 
Maana uhusiano wetu ndo kwanza una wiki moja japo yeye anafahamu
Wiki moja!!

Bado ni mapema sana.

Kaa naye, zungumza naye kwa kina, kubaliana naye kuwa nawe pia wahitaji watoto, ila ni wajibu wake kusubiria wakati sahihi, hasa baada ya kuwa tayari mko katika ndoa, na mahusiano yenu yana muda wa kutosha, kwa sasa mjipe muda zaidi , nina hakika ukizungumza naye kwa dhati atakuelewa na atafuata kile unachotaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…