Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ungempuzika tu mahusiano utafte wakupooza machungu ya hamu the rest sio kuzaa wataanza kukusumbua mpaka ujute. Huo ni mda wako wakutafakarika ni wapi ulikosea na kumtuliza kichwa kufanya mambo makubwa na sio mahusiano mwishowe urogwe bure na huo unayemuoa awe kichomi kuliko wa mwanzo na hapo kashazaa mwishowe uwe mzee wa kuoa na kuachaMi hua nawaambia situation niko nayo kwamba inahitaji muda kufanya maamuzi ya ndoa ama kuzaa.... Nadhini wenyewe katika kuniaminisha kwamba naweza pendwa na kujaliwa wanakimbilia kwenye kubeba mimba kitu ambacho sitaki kukisikia kabisa kwa sasa.
mzee jinsi ananipetpeti na story za kazini kwao wanavyomuelezea ndo zinafanya niseme wife material ila sija verify bado maana now nina project ya kuwapitia tuu na sio makaziYani week moja umeshaji verify kwamba huyo ni wife material na kila kitu mmejuana!
Wasichana wa kipare japo ni dada zangu ila kwa hilo hapana 😅~in JPM vocals!
Kwan walikua wapj siku zote mpaka anigande mimi mzee??Pole sana, kama huwezi waachie wengine wafanye yao...
Jipe muda mzee😅! Siwezi sema sio wife material ila wanawake wengi wakitaka ndoa ni malaika wa peponi kabisa😅 unaweza tamani wewe ndio ungekuwa adam yeye Evamzee jinsi ananipetpeti na story za kazini kwao wanavyomuelezea ndo zinafanya niseme wife material ila sija verify bado maana now nina project ya kuwapitia tuu na sio makazi
Umeongea point saana binafsi si mlazimishi akishindwa ntamuacha aende maana mwenyewe anadai ata nikikimbia mtoto atakua zawadi kwake atalea mwenyewe kitu ambacho si afikiWiki moja!!
Bado ni mapema sana.
Kaa naye, zungumza naye kwa kina, kubaliana naye kuwa nawe pia wahitaji watoto, ila ni wajibu wake kusubiria wakati sahihi, hasa baada ya kuwa tayari mko katika ndoa, na mahusiano yenu yana muda wa kutosha, kwa sasa mjipe muda zaidi , nina hakika ukizungumza naye kwa dhati atakuelewa na atafuata kile unachotaka.
One love ndugu hatuto mwaga ndani tenaNasistiza tumia akili usitumie hisia
Sister umeongea point kubwa saana, ila nini mwanamke ukimwambia mahusiano haya ni ya muda tuu hakupi nafasi mpaka umdanganye danganye ila binafsi sina mpango wa kuoa leo wala kesho na mpango wa kuzaa sina nishaliga chini wengi wenye pigo hizi....Ila ungempuzika tu mahusiano utafte wakupooza machungu ya hamu the rest sio kuzaa wataanza kukusumbua mpaka ujute. Huo ni mda wako wakutafakarika ni wapi ulikosea na kumtuliza kichwa kufanya mambo makubwa na sio mahusiano mwishowe urogwe bure na huo unayemuoa awe kichomi kuliko wa mwanzo na hapo kashazaa mwishowe uwe mzee wa kuoa na kuacha
mkuu we unaweza kusema kitu ambacho unakiskia au unaona kwa jamaa zako ila binafsi hivi viumbe navijua maana hata huyo xwife alijijaza mimba fasta fasta na kulazimisha ndoa ila chamoto nilikionaJipe muda mzee😅! Siwezi sema sio wife material ila wanawake wengi wakitaka ndoa ni malaika wa peponi kabisa😅 unaweza tamani wewe ndio ungekuwa adam yeye Eva
Kitu gani io??Hii kitu siipendi sana
uko sawa mkuu wanakuwaga wapole kichizi, weka ndani weeeee!Jipe muda mzee[emoji28]! Siwezi sema sio wife material ila wanawake wengi wakitaka ndoa ni malaika wa peponi kabisa[emoji28] unaweza tamani wewe ndio ungekuwa adam yeye Eva
hayu ni mwanamke wa mkoani banaWiki moja tu?Tayari mnataka kuzaliana?
Mzee mie pia sio mgeni kama unavyoweza kudhani😅!mkuu we unaweza kusema kitu ambacho unakiskia au unaona kwa jamaa zako ila binafsi hivi viumbe navijua maana hata huyo xwife alijijaza mimba fasta fasta na kulazimisha ndoa ila chamoto nilikiona
Atakavyokuchenjia hutakaa uamini kabisa😅uko sawa mkuu wanakuwaga wapole kichizi, weka ndani weeeee!
Hio hoja hainishtui, kwasababu 100%watoto ni wangu wala shaka sina kuhusu kuachana na mke wangu inshu ilikua ni kupoteza muelekeo wakiuchumi.Aje atolee ufafanuzi hii hoja.
Ndo mana we ni mwelewa saana mkuu! Hawajui wanataka nini hawa dada zetuMzee mie pia sio mgeni kama unavyoweza kudhani😅!
Yani hao watu nawajua vizuri sana saikolojikale na watu wengi tu nishawasaidia ku resolve vipengele
Yani ukiwa huwajui watahangaisha sana akili yakoNdo mana we ni mwelewa saana mkuu! Hawajui wanataka nini hawa dada zetu
AMEEN & AMEEN!MWANZO 1:28
Naona unachanganya mada ila nikusaidie mimi sichukii watoto ila nachukia uzazi usiokua na mpango.Aahh wait...unamaanisha wewe hupendi kabisa Watoto.
Hata mkeo kuzaa hao watoto. Ni yeye alilazimisha huko mwanzon??? Bila kulazimisha Msingezaa ???.( HAPA NAZUNGUMZIA MKEO, MWANAMKE WA NDOA, ULOMPENDA, UKATOA MAHARI, UKAFUNGA NDOA KABISAA, KWAMBA TUOANE TUJENGE FAMILIA, KWAMBA FAMILIA LAZIMA IWE NA WATOTO)
KISHA MKAACHANA.......ukawa na mahusiano kadhaaa, wote unawaacha sababu wanataka mtoto..
Huyu Umempata....anataka kuzaa, ila unahoji "Et kama anazaa"... Nmpe mimba??... Nini shauku lako juu ya uzazi wake mpaka uhoji ????....
Anayejua anazaa au hazai si ni mwanamke Mwenyewe ???
JE WEWE UNAZALISHA ????...
MKUU JICHUNGUZE, NAPATA HOFU, NAHISI HUZALISHI,,,, HATA MKEO ALIZAA NA MWANAUME MWENGINE, NDIO MAANA AKAZAA NA MMEACHAN