Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
-
- #81
Kunakitu wanawekewa kwenye nyumba ya uzazi tulichagua cha 12 yrs ila hata kabla unaweza kitoa abebe mimba.Kufunga kizazi? njia gan hiyo ya uzazi mpango ?
Je unaposema, ulimwambia ,hamuwezi kuzaa watoto wengine Zaidi...maana yako ilikua ni hutaki kuzaa tena yaan umetosheka na watoto wawili???? Au huko baadae mngezaa ???.
Ex Wife wako ana umri gani sasa??
Ha ha haaa mkuu umeniita mi panya kweli? Wanaigizaga hao si wakweli na uzuri watoto nnao ndoa na ijua unadhani anakipi kipya!?Halafu mi namshangaa huyu jamaa,.. Keshasema mwanamke ana sifa zote za kuitwa mke, sasa anasubiri nini uyu jamaa panya nini uyu...
Kumbuka ni mahusiano yakutuliza nyege tuu na si vinginevyoHu ni uhusiano wa tano au zaid tangu nijaribu kumsahau xwife wangu, na yote niliyavunja sababu ya kudaiwa mtoto ila kwa huyu imenigusa kidogo kutokana na haiba yake, namna anavyojiona hana bahati kutokua na mtoto mpaka umri huo.
Hapa unakiri kua ni uhusiano wako wa Tano au Zaidi...... Yaan baada ya kuachana na MKEO , ambapo unakiri wazi kua ni "MUDA MFUPI" ....
ila tayari umeshaanza mahusiano Zaidi ya matano, nayote wakwanza mpaka wangapi huko, wanataka uwape mimba ?? NIKWAMBA wee ndio unawakimbia ???.
Ila huyu Mpare , unamuonea huruma. Sababu kaenda Age..... Analalama kufika 30 bila mtoto...
Duuhh
Jaza mimba wewe acha uoga,.. Wewe jaza afu kataaHa ha haaa mkuu umeniita mi panya kweli? Wanaigizaga hao si wakweli na uzuri watoto nnao ndoa na ijua unadhani anakipi kipya!?
Itakua hawajui wanaumeila wanawake kuna mambo huwa tunajitakia wenyewe,na kuanza kulaumu baadae
Anapajua home mzee sio wakumkimbia kirahisJaza mimba wewe acha uoga,.. Wewe jaza afu kataa
Usiombe ukutane na mimi dada angItakua hawajui wanaume
Hautakua na maajabu mkuuUsiombe ukutane na mimi dada ang
Hata mama zenu wange date na mimi wangataka niwajaze
Bishia kwa mbali usinisogelee mkuu unaweza vunja ndoa yakoHautakua na maajabu mkuu
Inawezekana pia japo mimi kivyovyote haiwezekaniMwanamke akikuambia nataka unipe mimba jua hakupendi anakutega akuache
Mwanamke anayetaka mimba hakuambii kamwe yeye anakutega tu akiwa kwenye hatari afyatue
Elewa jamaa
Afadhali aniombe hela mkuu ila si mtotoTatizo ni umri. Hiv unatoka na mwanamke wa miaka 30 au zaid na hajawai pata mtoto, hapo unategemea akuombe nn tena?
Ngoja nipite hivi nikuachie umpige guu la jino mkuuMzee fanya kama wafugaji vile, jike akiwa kwenye joto anaenda kupandishwa..
Mpare wako akiwa siku za hatari, mlete nimsukumie guu la jini..
Masihara pembeni, muoe umpe hitaji la moyo wake kama unampenda kweli, kama unahisi unaweza pita hivi, muache kabisa.
Unajua we jamaa mpaka sasa bado sijajua sababu za kukataa mtoto?, unakataa kwasababu unao wawili au unakataa kwasababu maisha magumu kulea hutaweza? Au unakataa kwasababu hutaki kuachiwa watoto tena?Afadhali aniombe hela mkuu ila si mtoto
kama watazaa waniachie sio shida, shida wanang'ang'ania ili wakusumbue na mambo ya child support na ujinga mwingi kitu ambacho kita haribu malezi ya watoto wangu.Unajua we jamaa mpaka sasa bado sijajua sababu za kukataa mtoto?, unakataa kwasababu unao wawili au unakataa kwasababu maisha magumu kulea hutaweza? Au unakataa kwasababu hutaki kuachiwa watoto tena?