Nyota yangu na mpenzi wangu hazi match kabisa

Nyota yangu na mpenzi wangu hazi match kabisa

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Mpenzi wangu ana mshale na mimi ni ngombe ki ukweli ukijaribu kuziangalia hizo nyota haziendani hata kidogo

kwani tulishaingia katika mahusiano mwanzo na kuachana hii ni kushindwa kumuhandle
ki ukweli hana kosa lakini ugomvi hauishi lakini kubwa ni kipindi hicho nilikua NAMUOGOPA na hiyo ni mpaka sasa namuogopa as if ashakuwa mume wangu ki ukweli napata hofu sana hata akinipigia huwa naogopa

by the time tukiwa pamoja mimi ndo nilikuwa chanzo kwani nilishasema sikuwez bora tuachane and the like lakin hii yote ni kutokana na kuogopa so yeye ndo akaniacha maana aliniona insecure sana

sasa this time around mpaka najishangaa sin pingamizi la kuendeleza kuwa nae as long as he is there for me ila sasa bado namuogopa namuhofia sana

nikamueleza mtu akaniambia uwenda ni nyota zenu
na ni ukweli nimejaribu kuangalia nyota yangu na yake haviendani kabisaa

WATAALAMU WA NYOTA MSAADA
ki ukweli sitaki kumpoteza
maana ukiangalia nyota yangu inapenda mtu wa kunilinda sana ila yake ni ya mtu anaependa uhuru sanaa
 
Mpenzi wangu ana mshale na mimi ni ngombe ki ukweli ukijaribu kuziangalia hizo nyota haziendani hata kidogo

kwani tulishaingia katika mahusiano mwanzo na kuachana hii ni kushindwa kumuhandle
ki ukweli hana kosa lakini ugomvi hauishi lakini kubwa ni kipindi hicho nilikua NAMUOGOPA na hiyo ni mpaka sasa namuogopa as if ashakuwa mume wangu ki ukweli napata hofu sana hata akinipigia huwa naogopa

by the time tukiwa pamoja mimi ndo nilikuwa chanzo kwani nilishasema sikuwez bora tuachane and the like lakin hii yote ni kutokana na kuogopa so yeye ndo akaniacha maana aliniona insecure sana

sasa this time around mpaka najishangaa sin pingamizi la kuendeleza kuwa nae as long as he is there for me ila sasa bado namuogopa namuhofia sana

nikamueleza mtu akaniambia uwenda ni nyota zenu
na ni ukweli nimejaribu kuangalia nyota yangu na yake haviendani kabisaa

WATAALAMU WA NYOTA MSAADA
ki ukweli sitaki kumpoteza
maana ukiangalia nyota yangu inapenda mtu wa kunilinda sana ila yake ni ya mtu anaependa uhuru sanaa

Masai dada kuja hapa.
 
mmmmhhhhhh hii ni breaking news to me
 
Mama yeyoo, Masai naogopa mshale itachoma ng'ombe
 
zodiaccircle.jpg


Hope wewe ni Taurus naye ni Sagittarius.

Generaly hao hawacompete kwenye love coz Sag ni fire na Tau ni earth, on earth we make fire.

But ukumbuke hakuna nyota zinazokuwa compatible kwa asilimia mia.

Katika kila nyota kunatofauti kubwa ya tabia ya watu wenye nyota moja. Hapa tumia logic tu kwa kujiuliza jee binadamu sote tunatofautiana kitabia kwa mgawanyo wa nyota kumi na mbili?

Kumbuka nyota ni mgawanyo tu wa kuzingatia position ya jua ndani ya siku 30. Hiyo inamaana watu wote watakaozaliwa ndani ya siku 30 hizo watakuwa na nyota hiyo but hawatakua na tabia moja!

What makes them difference?

Katika solar sytem si jua pekee ndio huzunguka. Planets nazo huzunguka na kila position ya planet moja inaathari kubwa kwa mtu huyo, na ukumbuke planets hazijagawanywa kwa mtindo wa kumi na mbili kama hizo nyota (zodiac signs) planets ni nyingi na kila planet ina field yake ktk life, eg: venus inahusika na malavi davi, jupita inaongelea mambo mengine ktk life ya mtu, mzunguko wa jupita katika signs/nyota unatofautiana sana na mzunguko wa jua, Jupita hupita kwa leo/simba kila baada ya miaka 12!

When it comes to love, ni venus planet ndio inayodetermine, kwa kawaida wanazingatia sun signs/zodiac signs/nyota iliyodominate venus planet wakati unazaliwa.

Hiyo haina maana kwamba wewe ni taurus hivyo ni lazima venus yako iwe dominated by taurus. Eg, mimi ni leo but venus imekuwa dominated na virgo wakati nazaliwa, ukumbuke kuna leo venus yao imekuwa dominated na sign nyengine.

Vile vile haina maana kwamba sign iliyodominate venus ndio sign itakayo leta upatano wa kimapenzi baina ya mwenye sign na huyo aliyomdominate ktk venus yake.

Sign itakayodominate venu inatoa picha ni vipi mtu huyo atareact na mapenzi, how he think, what he believe, how he handle etc.

Nakushauri usome nyota ya kwako, uwangalie udhaifu wako then ujirekebishe na usijaribu kujudge mtu because of nyota.

You are compatible with all men.
...
Nakaribisha swali kwa yoyote.
 
Nyota yangu ni Apple let love lead the way
 
zodiaccircle.jpg


Hope wewe ni Taurus naye ni Sagittarius.

Generaly hao hawacompite kwenye love coz Sag ni fire na Tau ni earth, on earth we make fire.

But ukumbuke hakuna nyota zinazokuwa compatible kwa asilimia mia.

Katika kila nyota kunatofauti kubwa ya tabia ya watu wenye nyota moja. Hapa tumia logic tu kwa kujiuliza jee binadamu sote tunatofautiana kitabia kwa mgawanyo wa nyota kumi na mbili?

Kumbuka nyota ni mgawanyo tu wa kuzingatia position ya jua ndani ya siku 30. Hiyo inamaana watu wote watakaozaliwa ndani ya siku 30 hizo watakuwa na nyota hiyo but hawatakua na tabia moja!

What makes them difference?

Katika solar sytem si jua pekee ndio hujunguka. Planets nazo huzunguka na kila position ya planet moja inaathari kubwa kwa mtu huyo, na ukumbuke planets hazijagawanywa kwa mtindo wa kumi na mbili kama hizo nyota (zodiac signs) eg: jupita hupita kwa leo/simba kila baada ya miaka 12!

When it comes to love, ni venus planet ndio inayodetermine, kwa kawaida wanazingatia sun signs/zodiac signs/nyota iliyodominate venus planet wakati unazaliwa.

Hiyo haina maana kwamba wewe ni taurus hivyo ni lazima venus yako iwe dominated by taurus. Eg, mimi ni leo but venus imekuwa dominated na virgo wakati nazaliwa, ukumbuke kuna leo venus yao imekuwa dominated na sign nyengine.

Vile vile haina maana kwamba sign iliyodominate venus ndio sign itakayo leta upatano wa kimapenzi baina ya mwenye sign na huyo aliyomdominate ktk venus yake.

Sign itakayodominate venu inatoa picha ni vipi mtu huyo atareact na mapenzi, how he think, what he believe, how he handle etc.

Nakushauri usome nyota ya kwako, uwangalie udhaifu wako then ujirekebishe na usijaribu kujudge mtu because of nyota.

You are compatible with all men.
...
Nakaribisha swali kwa yoyote.

Nataka kupata ufafanuzi hapo kwenye red, ni lini Jua lilianza kuzunguka?
Hizo sayari zina mahusiano gani na maisha yetu hapa Duniani? (Kisayansi imeshakuwa proved?)
 
Nataka kupata ufafanuzi hapo kwenye red, ni lini Jua lilianza kuzunguka?

Jua linazunguka katika orbit yake.

Mkuu wapi mbona hilo la kuzunguka jua limeshakuwa proved na science!

Embu toa uvivu na ugugo hilo swali.

Hizo sayari zina mahusiano gani na maisha yetu hapa Duniani?

Mahusiano yapo mkuu!

Ikiwa tu unaamini dunia imeumbwa kwa physical objects na na non physical or mwanadamu aneumbwa kwa body and spirit nitakufafanulia hayo mahusiano but if huamini au hujawahi kuskia hivo vitu, bora nisikujibu hautoelewa.

(Kisayansi imeshakuwa proved?)

Sayansi imeprove hiyo mizunguka (astronomy/elimu ya anga) na mambo ya nyota ni astrology (interpretation of astronomy to the earthly life)
Science haiwezi kuthibitisha tafsiri.
 
Aah mie zamani nilikuwa nafuatilia sana nyota Ila nikagundua kuna uongo ndani yake!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
zodiaccircle.jpg


Hope wewe ni Taurus naye ni Sagittarius.

Generaly hao hawacompete kwenye love coz Sag ni fire na Tau ni earth, on earth we make fire.

But ukumbuke hakuna nyota zinazokuwa compatible kwa asilimia mia.

Katika kila nyota kunatofauti kubwa ya tabia ya watu wenye nyota moja. Hapa tumia logic tu kwa kujiuliza jee binadamu sote tunatofautiana kitabia kwa mgawanyo wa nyota kumi na mbili?

Kumbuka nyota ni mgawanyo tu wa kuzingatia position ya jua ndani ya siku 30. Hiyo inamaana watu wote watakaozaliwa ndani ya siku 30 hizo watakuwa na nyota hiyo but hawatakua na tabia moja!

What makes them difference?

Katika solar sytem si jua pekee ndio huzunguka. Planets nazo huzunguka na kila position ya planet moja inaathari kubwa kwa mtu huyo, na ukumbuke planets hazijagawanywa kwa mtindo wa kumi na mbili kama hizo nyota (zodiac signs) planets ni nyingi na kila planet ina field yake ktk life, eg: venus inahusika na malavi davi, jupita inaongelea mambo mengine ktk life ya mtu, mzunguko wa jupita katika signs/nyota unatofautiana sana na mzunguko wa jua, Jupita hupita kwa leo/simba kila baada ya miaka 12!

When it comes to love, ni venus planet ndio inayodetermine, kwa kawaida wanazingatia sun signs/zodiac signs/nyota iliyodominate venus planet wakati unazaliwa.

Hiyo haina maana kwamba wewe ni taurus hivyo ni lazima venus yako iwe dominated by taurus. Eg, mimi ni leo but venus imekuwa dominated na virgo wakati nazaliwa, ukumbuke kuna leo venus yao imekuwa dominated na sign nyengine.

Vile vile haina maana kwamba sign iliyodominate venus ndio sign itakayo leta upatano wa kimapenzi baina ya mwenye sign na huyo aliyomdominate ktk venus yake.

Sign itakayodominate venu inatoa picha ni vipi mtu huyo atareact na mapenzi, how he think, what he believe, how he handle etc.

Nakushauri usome nyota ya kwako, uwangalie udhaifu wako then ujirekebishe na usijaribu kujudge mtu because of nyota.

You are compatible with all men.
...
Nakaribisha swali kwa yoyote.

mkuu nimekuelewa vyema

lakini jaribu kuangalia tabia za taurio na sagitario mwanamume yeye hupenda maisha ya uhuru na mahusiano yasio comitted hiyo ni kinyume sana na tabia za taurio ambae anapenda security,care,concern and the like lakini mshale yeye ni insensitive uoni hapo kuna tofauti kubwa sana
na pia miezi ya kuwa romanticina utofauti mkubwa
JE KUNA solution YEYOTE maana naona ni ngumu sana ku handle hii issue
 
Masai dada oooh mama yeyooo Unajua kwann unamuogopa unampenda mm nikipenda mtu moyo wangu huwa na hofu sjui.kwann yaan nikimuona tuu moyo unapiga paaaaa jaman mapenzi ......

Usiamini sana mama yeyoo mambo hayo ila najua ww unaweza kusoma alama za nyakati unajua yupi ananifaa yupi hanifai so huyo mtu Mungu hajapanga awe mwenza wako come to mee😀😀 heheee nyota zetu zinafanana yani sare sare maua
 
Masai dada oooh mama yeyooo Unajua kwann unamuogopa unampenda mm nikipenda mtu moyo wangu huwa na hofu sjui.kwann yaan nikimuona tuu moyo unapiga paaaaa jaman mapenzi ......

Usiamini sana mama yeyoo mambo hayo ila najua ww unaweza kusoma alama za nyakati unajua yupi ananifaa yupi hanifai so huyo mtu Mungu hajapanga awe mwenza wako come to mee😀😀 heheee nyota zetu zinafanana yani sare sare maua

lakini umeshasema hapo ukimpenda mtu unamuogopa
 
lakini umeshasema hapo ukimpenda mtu unamuogopa

Hali hiyo inatokea mwanzoni binaadamu tunatofautiana masai dada yaan huwa ni km ugonjwa ila nikimzoea tuu katika mboni zangu najikubalisha kuufata moyo wangu hali hiyo hutoweka kabisa so naamini hali yakukuogopa itatoweka

So may be tunafanana ila jifunze kitu jikubalishe unapoamua kufata moyo wako sasa ww unaogopa kuufata moyo wako kwa kile kilicho chagua kuona si sahihi ndomana unakuwa nahofu.😀😀
 
Hali hiyo inatokea mwanzoni binaadamu tunatofautiana masai dada yaan huwa ni km ugonjwa ila nikimzoea tuu katika mboni zangu najikubalisha kuufata moyo wangu hali hiyo hutoweka kabisa so naamini hali yakukuogopa itatoweka

So may be tunafanana ila jifunze kitu jikubalishe unapoamua kufata moyo wako sasa ww unaogopa kuufata moyo wako kwa kile kilicho chagua kuona si sahihi ndomana unakuwa nahofu.😀😀

ngoja nikuulize mkuu
wewe ni TAURUS na umezaliwa tarehe ngapi ????
je una tabia za uoga?,unapenda mahusiano kamili???.unapenda kustay indoor sana
 
Mtu anaeamini nyota na kuzifuatilia ni lazima awe anaamini ushirikina pia.
 
Back
Top Bottom