Nyota yangu na mpenzi wangu hazi match kabisa

Nyota yangu na mpenzi wangu hazi match kabisa

em ntaftie couple walio compatible hzo nyota zao af tuone km hawanaga bifu..hzi mambo mi naonaga km uchawi aisee
 
Masai dada, katika maisha ni vema sana kujua unachohitaji, vipaumbele vya mtu unaetaka kuwa nae, never make harsh decition, jua kuheshimu fikra zako, na jiamini kwa maamuzi unayoyachukua. Hii itakuweka huru sana na utayafurahia sana maisha yako..
Usiamini vitu usivyovijua wala kuviona hasa mambo kama hayo ya nyo

Ushajiuliza y unamuogopa, na kumuacha mtu na kumrudia pasipokutatua kile kilichokufanya umuache ni kosa kubwa.
Inaonekana huwa unakurupuka unapofanya maamuzi sababu kwa maelezo yako inaonekana unafanya uamuzi bila kujiridhisha na sababu za ku

Mwisho nakushauri, uliyempata amini ndo mtu sahihi,Jiamini, Acha au punguza wivu kama unao, muwelke
 
Back
Top Bottom