Nyota zinasema Taifa stars washashinda mechi,lesotho inabidi wafanye mafusho kupindua matokeo

Nyota zinasema Taifa stars washashinda mechi,lesotho inabidi wafanye mafusho kupindua matokeo

Na hichi ndicho mnachokiamini.

Hatutoendelea abadan tusipoacha ramli na kuanza kuelekeza nguvu zetu kwenye mafanikio.

Mtu ajipinde mchana jioni wee uangalie nyote uwaambie watashinda.

Ndio maana watu wanapimwa oil chafu kwa kupenda rahisi rahisi.
 
Taifa stars lesotho
18

Mechi itachezwa tarehe 18 na namba 18 ni shufa inagawanyika kwa mbili..Tanzania namba yake ya kitabibu ni 20,Lesotho namba yake kitabibu ni 12 hivyo Tanzania na Lesotho wote wans namba shufa.

T=20+1=21+9=20
L=12+5=17+18=35


Tanzania mechi hii watashinda uhakika kwa 100% sababu namba ya siku na tarehe na nyota inaibeba Taifa stars ..41 ni namba witiri na mwezi 11 ni witiri na siku yakuchezwa mechi jumapili hutawaliwa na nyota ya jus hivyo kitabibu lesotho kazi wanayo...pia Taifa stars nyota yao ni ya Nge hivyo huu ndio mwezi wake kinyota wanaendana sababu november hutawaliwa na Nge wakati lesotho nyota yao ni ya mashuke.

Lesotho iliwapindue matokeo inabidi wajisafishe kwa kufanya mafusho na mafusho yao ni kisti,sandarusi na vijiti vya kahawia pamoja na kafuru na wafanye mafusho haya kuanzia saa sita mchana hadi saa saba mchana..


Sioni sababu au haja ya mashabiki kusafiri kwenda kuipa sapoti mechi..mechi ishaisha
Hongera sana Nyota imeisaidia Tanzania Kushinda
 
We jamaa ulinipa matumain kumbe bora niendelee kutoamini izo habari zenu......


Stupid kabisa.....!
Alisema mambo yatabadilika kama watafusha kwahyo huwez jua mzee
 
Taifa stars lesotho
18

Mechi itachezwa tarehe 18 na namba 18 ni shufa inagawanyika kwa mbili..Tanzania namba yake ya kitabibu ni 20,Lesotho namba yake kitabibu ni 12 hivyo Tanzania na Lesotho wote wans namba shufa.

T=20+1=21+9=20
L=12+5=17+18=35


Tanzania mechi hii watashinda uhakika kwa 100% sababu namba ya siku na tarehe na nyota inaibeba Taifa stars ..41 ni namba witiri na mwezi 11 ni witiri na siku yakuchezwa mechi jumapili hutawaliwa na nyota ya jus hivyo kitabibu lesotho kazi wanayo...pia Taifa stars nyota yao ni ya Nge hivyo huu ndio mwezi wake kinyota wanaendana sababu november hutawaliwa na Nge wakati lesotho nyota yao ni ya mashuke.

Lesotho iliwapindue matokeo inabidi wajisafishe kwa kufanya mafusho na mafusho yao ni kisti,sandarusi na vijiti vya kahawia pamoja na kafuru na wafanye mafusho haya kuanzia saa sita mchana hadi saa saba mchana..


Sioni sababu au haja ya mashabiki kusafiri kwenda kuipa sapoti mechi..mechi ishaisha
Nyie ndo sababu ya mpira wetu kutoendelea
 
Mkuu hawa watu wametumia mbalamwezi baada ya sisi kutumia nyota.
 
Taifa stars lesotho
18

Mechi itachezwa tarehe 18 na namba 18 ni shufa inagawanyika kwa mbili..Tanzania namba yake ya kitabibu ni 20,Lesotho namba yake kitabibu ni 12 hivyo Tanzania na Lesotho wote wans namba shufa.

T=20+1=21+9=20
L=12+5=17+18=35


Tanzania mechi hii watashinda uhakika kwa 100% sababu namba ya siku na tarehe na nyota inaibeba Taifa stars ..41 ni namba witiri na mwezi 11 ni witiri na siku yakuchezwa mechi jumapili hutawaliwa na nyota ya jus hivyo kitabibu lesotho kazi wanayo...pia Taifa stars nyota yao ni ya Nge hivyo huu ndio mwezi wake kinyota wanaendana sababu november hutawaliwa na Nge wakati lesotho nyota yao ni ya mashuke.

Lesotho iliwapindue matokeo inabidi wajisafishe kwa kufanya mafusho na mafusho yao ni kisti,sandarusi na vijiti vya kahawia pamoja na kafuru na wafanye mafusho haya kuanzia saa sita mchana hadi saa saba mchana..


Sioni sababu au haja ya mashabiki kusafiri kwenda kuipa sapoti mechi..mechi ishaisha
Konyoooooo
 
Back
Top Bottom