Nyuki wavamia wana Jubilee na polisi supreme court

Hizo form 34 "Bees" zimefanya kazi leo.
 
Halo sio hali humu jijini tumen'gatwa sana[emoji3] [emoji109] [emoji191]
 

Ni jana wakati majaji waliotoa hukumu kurudiwa uchaguzi wa urais nchini Kenya walipokuwa wakitoa maelezo ya kina juu ya kufikia uamuzi huo.

My take: Jubilee maji yamekuwa marefu mpaka wanaona sasa wajaribu na ushirikina?
 
Roho mbaya ya wakikuyu sijui niifananishe ya kabila gani hapa Tanzania
 
Uhuru amekamatwa pabaya na Raila, mpaka ameamua kutumia third part ya jeshi? Hahhaaaa
 
Kumbe wanajeshi na polisi wanaweza kukimbia na ma silaha yao sababu ya nyuki?kumbe washawasha na ma smg ma ak 47 hayawezi kuua nyuki?
Heshima kwenu wakamba wa wakenya.....kuna story nilipewa ilitokea huko mt kenya sikuamini ila kwa hiki kisa cha juzi hapo mahakamani nimeamini
Rutto na kenyata walienda huko mlimani na helicopter kufika uhuru anataka kushuka rutto akamzuia,uhuru akauliza kwa nini,akamuambia we kaa ndani acha niende mimi kuna tatizo,akatangulia rutto na kupiga mkwara mkubwa kwamba hao nyuki mliotega huko mlimani msithubutu kuwaachalia,jamaa wakapigwa na butwaa kajuaje,anyway inajulikana Rutto ni gangsta na mshirikina wa hali ya juu
All in all nimependa hii mbinu ya wanyonge wa kenya,hawalii na albadiri wanatembea na ndoo za nyuki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…