NYUMA YA PAZIA: CHADEMA ilivyosalitiwa 2015 - Dkt. Slaa

Ameeleza sababu za kupigwa mlinzi wake akiwa Katibu Mkuu pale chadema ,na wapigaji ni kina Boniface
 
Nakumbuka kwenye orodha ya mafisadi awamu ya pili alimtaja na Magufuli,je ameandika kwenye hicho kitabu kwamba alimtaja Kama fisadi?
 
asante kwa dibaji nzuri,nitachukua nakala yangu leo
Chadema hawawezi kununua hata uwape bure,kuna ukweli mchungu humo
Mkuu. Wale CHADEMA original lazima tukinunue tukumbushie enzi zetu kabla akina Tundu Lisu na mwenyekiti hawajakiuza chama chetu kwa CCM.
 
Naomba mzee mwanakijiji utuelezee na summary ya list ya mafisadi ya pale Igunga tafadhali
 
Akirudi kutoka Swedeni kwenye maandishi ya mwanakitongoji atamkuta Lowasa CCM "strange bed fellows "...alikuwa hataki kulala na Lowasa kitanda kimoja sasa atalala naye.
Duh!
Mi bado sijakisoma hicho kitabu kamanda.
Kaandika amerudi CCM kama akina Prof Mkumbo na Anna Mgwira?
 

Nashukuru mkuu kwa kunipandishia hizo na kuielewa hoja yangu, Unapodhamiria kuandika kitabu usifocus tu biashara bali ni vyema pia ukafocus ukweli wa mambo mengi yaliyojificha hata kama ni aibu kuyasema ni vyema tu ukayasema maana umeamua kuandika kitabu uondoe sintofahamu kwenye jamii tofauti na hapo bado utakuwa umeiacha bado jamii kwenye sintofahamu..

Kitabu hiki maudhui yake pia yanapaswa kutuambia JE NI KWELI GWAJI BOY ANAFAA KUWA NA WAFUASI/NABII/MCHUNGAJI WA KWELI AU NAYE NI MSANII TU aka Opportunistic anayetafuta msosi tu hasa katika kila fursa ikiwemo fursa ya 2015..
 
Huyu Mwanakijiji was siku hizi hata simuelewi elewi kabisa. Anyway kila zama na watu wake kwa sasa tuna " 🔑gogo" walau anatoa vitu halisi na haja egemea kokote.
 
Umesoma ukaona hayo uliyoyatarajia hayamo?
 
Hivi kuna fact gani ya kumfanya mchadema HALISI enzi zile akubali eti LOWASA ndo apeperushe bendera ya CHADEMA?
Hata mimi hiyo sikukubaliana nanyi. Ndo maana hata kwenye UCHAGUZI niliona Bora kura yangu ya URAIS nimpe Magufuli tu.
Wengi tulioumizwa na uamuzi wa kihayawani kama ule tulimpa kura yetu JPM.
 
Lipumba aliishaeleza na akaeleweka,sikuwahi kudhani inahitajika kuandika kitabu kuelezea ule upuuzi. Credibility ya Dr. Slaa kuelezea nini kilichokuwa nyuma ya pazia ni ndogo sana, sababu gwajima aliishatueleza na Dr. Slaa hakukanusha kwamba kitu chochote ambacho Dr anataka kutujuza kwenye kitabu hicho kitakuwa ni hearsays, sababu wakati mambo yanahappen Josephine alikuwa amemfungia ndani asitoke. sasa anataka kuelezea yaliyokuwa nyuma ya pazia huko kwa Josephine au wapi?
 
Dr Slaa hawezi kuwa mwalimu mzuri wa siasa kwa sasa.

CHADEMA ni center party kinachofuata ideology ya social democracy na kwa miaka yake yote katika siasa amehubiri ideology alipohama CDM hakutangaza kuwa ideology hiyo ilikuwa haifai je kuhamia Kwake ccm amekubaliana na ideology ya ujamaa ya ccm ?

Kwangu mimi Dr Slaa ameshapoteza moral authority ya kuwa mwalimu wa siasa ije mvua like mvua hana ideology anayoiamini zaidi ya useless activism tu.
 
Mwanakijiji Slaa anakula, tukiwa tunakula Africa hatuongei tukiongea ni kwa ruhusa ya baba au mama. Huyu (sijasoma na sitasoma kitabu hicho) ameandika kusifia Jiwe, most likely, ANAKULA, HARUHUSIWI "KUONGEA"
 
AANDIKE KILICHOMTOA KWENYE UPADRE BLAA BLAA ZINGINE NI KUPOTEZA WAKATI, YEYE ANA LAANA.YA YESU
 
Ndiyo kinyesi kimerudi chooni ambako na yeye yuko. Kumbe alisema ivyo kwa kuwa alijua mwisho wa siku atarudi chooni?

Sebule imeshakuwa safi, jee choo kinaweza kugeuka kuwa chumba cha kulala ama sebule?
harufu bado ipo sebleni; mjifunze kuishi kwa misingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…