NYUMA YA PAZIA: CHADEMA ilivyosalitiwa 2015 - Dkt. Slaa

NYUMA YA PAZIA: CHADEMA ilivyosalitiwa 2015 - Dkt. Slaa

Hiv Kat ya slaa na chadema alie mkosea mwenzako Nan na Nan Kati yao apo alistail kumlaum mwenzako hiv Ile sentes ya ukimwaga mboga namwaga ugali ni yakishujaa au kijinga kama ni mjinga naomba usijibu ili mana utajibu matango tu ili linaitaji iq

Wacha mikwara.

Kwenye siasa hakuna kumwaga mboga na kumwaga ugali.

Kila ufantalo ni kifo au uhai wako.

Dr. Amekufa kisiasa mazima kwa matendo yake ya kusaliti watanzania na sio wanachadema tu.

Tupo tusio chadema na tulimpenda na kumkuza ila akaja kutusaliti kama lipumba.
 
Nilikuwa sijasoma kitabu hicho.Niliposoma nilisikitika sana kwa sababu nilikuwa naipenda na kuwakubali sana akina Mbowe.

Kumbe hawa jamaa ndiyo waliowamwagia tindikali wanachama wao,walimuua na kumtekeleza maeneo ya Ununio mwanachama na kiongozi wao kupitia Red Brigade.

Pia wamefanya hujuma nyingi na kuwasingizia CCM.

Mimi sitaki hata kuwaona akina Mbowe.
 
Nilikuwa sijasoma kitabu hicho.Niliposoma nilisikitika sana kwa sababu nilikuwa naipenda na kuwakubali sana akina Mbowe.
Kumbe hawa jamaa ndiyo waliowamwagia tindikali wanachama wao,walimuua na kumtekeleza maeneo ya Ununio mwanachama na kiongozi wao kupitia Red Brigade.
Pia wamefanya hujuma nyingi na kuwasingizia CCM.
Mimi sitaki hata kuwaona akina Mbowe.
Chadema ni chamajinai.
 
Nilikuwa sijasoma kitabu hicho.Niliposoma nilisikitika sana kwa sababu nilikuwa naipenda na kuwakubali sana akina Mbowe...
Nabado Serikali imeogopa kuwakamata inaonekana wananguvu mpaka Serikali inawaogopa
 
Vipi ameelezea pia uhusika wa Josephine Mushumbuzi kwenye harakati zake na uhusika wake pale 2015??...
Nakuunga mkono...kama atataja mwigulu alihusikaje hapo rose kamili alihusikaje hapo canada aliendaje kitabu nanunua...
 
Nilikuwa sijasoma kitabu hicho.Niliposoma nilisikitika sana kwa sababu nilikuwa naipenda na kuwakubali sana akina Mbowe...
Kwa hiyo Serikali bado haijasoma hicho kitabu na kuanza uchunguzi ili hao waliohusika wachukuliwe hatua?
 
Ushauri kwa Dr. Slaa:

Atafute mdhamini alipie gharama za utunzi na uchapaji, halafu kitabu hicho kigawiwe bure kwa wasomaji.
Watanzaia wengi hawawezi hata kununua gazeti la buku siku hizi.
Ni shida.
Sisi tuna hela nyingi sana na tupo uchumi wa kati, hata wauze laki 2 tutanunua tu.
 
Back
Top Bottom